Uzinzi umeharibu maisha ya familia yetu

Sali sana.
 
Kuwa makini sana, hapo ulipo ukikosea kidogo tuu, utazama kama ndugu zako.
Maana huko chuo kuna pisikali kinyama.


Kuwa makini na vitu unavyotazama, hata baadhi ya nyuzi za JF usitembelee kabisa.
 
Uongo mtupu
 
Shikilia dini usifate mkumbo
 
Situation kama yako inaeleweka ila cha muhimu ni kufanya maamuzi pasipo hisia bali hoja. Ni vigumu sana kuwa na huu uwezo kwa umri wako. Maana inahitaji kukosea na kutoogopa hisia za mtu mwingine. Ukijitahidi ndani ya miaka mitano utafika mbali. Siri ya kufanikiwa kimaisha ni kuepuka socialism. Kuna watu wanafanikiwa kwa sababu wana mazingira mazuri. Kama mazingira yako sio mazuri inabidii uyakatae na ujilazimishe kuchukua maamuzi magumu. Ukiwa na self control hata uchawi haotofanya kazi. Maana katika maamuzi yako una reasoning kaili na kila anaejaribu kuipindisha unamtambua mapema.
 
Pole sana mtoa mada.
Ukweli ni kwamba kwenye kila familia kunakuwa na jambo zuri au baya ambalo linaiandama familia hiyo na huwa inatokana na wazazi na huendelea hadi kizazi cha tatu cha huyo mzazi msababishi.

Kwa mfano kuna familia utakuta mzazi wao alikuwa na akili sana, hii itaenda hadi kwa vitukuu vya huyu mzee. Ikitokea kwa mzazi mpenda Pombe, AU mwizi au Mama ni Malaya sana, hali hiyo huwa inaendelea hadi kizazi chake cha tatu. Na ikitokea kuna mtoto mmoja anakuwa na tabia za tofauti na wazazi wake, huu mcharuko huwa unakuja kujitokeza kwa mke wa huyo mtoto atakapokuja kuoa. Hivyo hilo tatizo litarudi kwa staili nyingine.

Mfano mimi kwenye Familia yetu kuna mjomba wetu aliwahi kutembea na Dada yake wa tumbo moja. Sasa tukaja sikia na mtoto wa yule mjomba alikuja kutembea na ndugu yake.

Laana inayoikabili familia tuliambiwa huwa inaondolewa kwa wahusika kuanyiwa tambiko la kimila la kuondoa hilo tatizo au kwa Wakristo huwa kuna maombi maalum ya kufuta misingi ya kifamilia. Hapo ndio hilo tatizo linamalizika.

Hata haya majina ya wazazi sio vizuri kumpa mtoto jina la Bibi yake au Babu yake, Jina huwa linakuja kurithi micharuko yote ya hao wazazi. Na kama huyo Mzazi aliuwa mchawi, ndio balaa linahamia kwa mtoto
 
"Uka fall in love"! Au ukaanza uzinzi?
Kuepuka ngono, ni rahisi tu, inaanzia kwenye fikra zako,
 
kuna funzo hapa, anyway pole sana ndugu yangu!!
 
Laana inayoikabili familia tuliambiwa huwa inaondolewa kwa wahusika kuanyiwa tambiko la kimila la kuondoa hilo tatizo au kwa Wakristo huwa kuna maombi maalum ya kufuta misingi ya kifamilia. Hapo ndio hilo tatizo linamalizika
Hizi ni bla bla.....laana huwa inatolewa na Mungu.

Na itafutwa kwa Toba.
 
Ka fall mkuu in love chap, ili ujue kwa nn dingi
 
Mmetupiwa roho chafu za Uzinzi ili mmalizike.

Tubu kwa Mungu wako na simama sana kwenye imani yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…