Uzinzi unavyogharimu mipango ya familia nyingi

Uzinzi unavyogharimu mipango ya familia nyingi

Kiukweli ngono za nje zinawacost sana wanaume yani mnooooo!! Sema ndio hivo huwezi mpangia tu maisha!
Injinia amesimamia upande mmoja lakini kiukweli Wanawake walioko kwenye ndoa ni warahisi kuliko mabinti wadogo walioko nje ya Ndoa.
Na kitakwimu matokeo ya DNA yanaonyesha kuwa katika kila watoto 10 wanne mpaka SITA sio wa baba anayetajwa ndani ya Ndoa ,ikiwa na maana kuwa Wanawake wengi walioko ndani ya Ndoa wanazaa nje ya Ndoa na kuwapa kazi kubwa akina baba kulea watoto wasio wao.

Kwa hiyo kusema kuwa wanaume wanaotoka sana nje ya Ndoa ni Mawazo ya kiharakati lakini kiuhalisia sio kweli .
Siku hizi fimbo ya Wanawake kutoka nje ya Ndoa ni kusema kuwa mwanaume haniridhishi kwenye mapenzi kitandani. Hii inafanya wanaume wengi kuogopa kulalamika na kujikuta wanakaa kimya .

Ilivyo ni kwamba mwanaume mmoja Malaya mwenye Pesa za hovyohovyo anaweza akatembea na Wanawake 20 ikaonekana kuwa ni wanaume 20 wenye tabia za uzinzi kumbwa ni Wanawake 20.

Siku hizi huwezi kusikia Mwanamke akisema Mimi ni mke wa mtu ,utasikia TU nyie wanaume hamjatulia. Anajing"ata ng'ata na kufuata chatu kama mbwa Koko.

Kinachowasaidia Wanawake ni uwezo wao wa kuficha madhambi mbele ya watu na kutangaza madhaifu ya mwenza wake.

Lakini light pangekua na SHERIA Kali ya kudhibiti wanandoa Hakika Wanawake wengi wangepatikana na hatia uchunguzi ungefanyiaka kila mtu angepata takwimu halisi.
Kwa Sasa ni stori tunza vijiweni kuwa kila mwanaume ana mchepuko bila kuangalia kuwa ili mwanaume awe na mchepuko nyakati hizi ni lazima awe na pesa za kulipia marejesho ya vikoba. Hivyo ni wanaume wachache ila Wana pesa HARAMU.
 
Hapana, suluhisho ni kuoa mke zaidi ya mmoja na kuwaacha washindane kukupenda. Wasiwe michepuko, wawe ni wake kwa ndoa kulingana na asili na imani yako.
Na watakua waaminifu sana mana watakua wanachungana na kumpiga vita yule mzinzi asiwaletee magonjwa. Lakini pia mwanaume atakua mwaminifu mana atakua ana zamu tofauti kwa wake zake.

Mila za Wapagani wa Kizungu ndizo chanzo Cha madhambi yote Duniani. Sodama na Gomora yalikua ni mataifa yasiyokuwa na SHERIA ya mambo ya ngono . Watu walikua huru bila SHERIA kama ilivyo leo ndiyo maana ndoa zinakua kama Jehanam mana serikali nyingi zinatumia Mila za kipagani Toka Ulaya na kuacha Mila zetu nzuri za Kiafrika na za kibiblia na Korani zinazotambua wake wengi na kuondoa wimbi la Wanawake wengi wanozagaa mitaani Kwa kushindana kutikisa marako kwenye mitandao kama sifa ya uzuri.
 
Na watakua waaminifu sana mana watakua wanachungana na kumpiga vita yule mzinzi asiwaletee magonjwa. Lakini pia mwanaume atakua mwaminifu mana atakua ana zamu tofauti kwa wake zake.

Mila za Wapagani wa Kizungu ndizo chanzo Cha madhambi yote Duniani. Sodama na Gomora yalikua ni mataifa yasiyokuwa na SHERIA ya mambo ya ngono . Watu walikua huru bila SHERIA kama ilivyo leo ndiyo maana ndoa zinakua kama Jehanam mana serikali nyingi zinatumia Mila za kipagani Toka Ulaya na kuacha Mila zetu nzuri za Kiafrika na za kibiblia na Korani zinazotambua wake wengi na kuondoa wimbi la Wanawake wengi wanozagaa mitaani Kwa kushindana kutikisa marako kwenye mitandao kama sifa ya uzuri.
Mkuu, umemaliza kabisa kwa hili andiko. Watu wanalazimishwa na madhehebu yao kuwa na mke mmoja sababu ukiwa nao wengi ni dhambi, na wanafanya hivyo hadharani huku sirini wana michepuko kibao. Matokeo yake ni kuwa na ndoa za ovyo ovyo na wanawake kibao wanabaki bila waume, tunapata wazinifu ilhali jambo hilo lingeepukwa kama hayo madhehebu yasingepotosha misingi ya uumbaji wa Mungu na taratibu alizoweka kibiblia.

Oeni wake wengi tuponye Taifa
 
Injinia amesimamia upande mmoja lakini kiukweli Wanawake walioko kwenye ndoa ni warahisi kuliko mabinti wadogo walioko nje ya Ndoa.
Na kitakwimu matokeo ya DNA yanaonyesha kuwa katika kila watoto 10 wanne mpaka SITA sio wa baba anayetajwa ndani ya Ndoa ,ikiwa na maana kuwa Wanawake wengi walioko ndani ya Ndoa wanazaa nje ya Ndoa na kuwapa kazi kubwa akina baba kulea watoto wasio wao.

Kwa hiyo kusema kuwa wanaume wanaotoka sana nje ya Ndoa ni Mawazo ya kiharakati lakini kiuhalisia sio kweli .
Siku hizi fimbo ya Wanawake kutoka nje ya Ndoa ni kusema kuwa mwanaume haniridhishi kwenye mapenzi kitandani. Hii inafanya wanaume wengi kuogopa kulalamika na kujikuta wanakaa kimya .

Ilivyo ni kwamba mwanaume mmoja Malaya mwenye Pesa za hovyohovyo anaweza akatembea na Wanawake 20 ikaonekana kuwa ni wanaume 20 wenye tabia za uzinzi kumbwa ni Wanawake 20.

Siku hizi huwezi kusikia Mwanamke akisema Mimi ni mke wa mtu ,utasikia TU nyie wanaume hamjatulia. Anajing"ata ng'ata na kufuata chatu kama mbwa Koko.

Kinachowasaidia Wanawake ni uwezo wao wa kuficha madhambi mbele ya watu na kutangaza madhaifu ya mwenza wake.

Lakini light pangekua na SHERIA Kali ya kudhibiti wanandoa Hakika Wanawake wengi wangepatikana na hatia uchunguzi ungefanyiaka kila mtu angepata takwimu halisi.
Kwa Sasa ni stori tunza vijiweni kuwa kila mwanaume ana mchepuko bila kuangalia kuwa ili mwanaume awe na mchepuko nyakati hizi ni lazima awe na pesa za kulipia marejesho ya vikoba. Hivyo ni wanaume wachache ila Wana pesa HARAMU.
Wanawake wa siku hizi wanapenda de libolo jamani acheni tuu tuwapelekee moto.
 
Back
Top Bottom