Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 3,340
- 4,659
Hakuna ubishi unapoomba kazi moja ya sifa na kigezo kinachozingatiwa ni uzoefu wa kazi how long you work for the position?una yafahamu vyema majukumu yako na kuna impact gani umeifanya katika taasisi yako uliyotoka?
Lakini mambo yamekuwa tofauti katika mahusiano hivi kwanini wanaume tunawakataa single mamaz wakati wao ndiyo wanaexperience ya mahusiano?
Hatuoni faida ya kuwa nao?
Lakini mambo yamekuwa tofauti katika mahusiano hivi kwanini wanaume tunawakataa single mamaz wakati wao ndiyo wanaexperience ya mahusiano?
Hatuoni faida ya kuwa nao?