Picha linaanza nlianza mahusiano na dada mmoja mrembo sana, nkamtambulisha had nyumban na nikahakikisha naeka kila kitu sawa kwa ajili ya kuchukua jiko.
Yule mjinga popote alipo afe tu.
Baadae aliaga kuwa anaenda mjini (15km kutoka tunapoishi) kwa ajili ya shopping ya mahitaj ya nyumban. Kumbe alienda kuonana na mzazi mwenzake ilihali alinihakikishia kuwa hawana mawasiliano.
Aliporudi alikuwa na majibu ya vifupisho sanaaaaa as if hajali kipi nnachomwambia. Kumbe alishajazwa ujinga kuwa warudiane waanze maisha.
Nilifuma sms zao siku moja baadae. Nlimfukuza mapema sana siku hio na wala hakuwa na mshtuko akijua atapokelewa na mwenzake.
Mungu si Athumani Iddy Chuji... Alizimiwa simu.
Alirudi kwa machozi tele. Nikaapa siwez kuwa fala aloo.
Huko nyumban nliwaambia mchumba angu kafariki kwa ajali. OVER