Stephen bryson
Senior Member
- Oct 1, 2016
- 151
- 126
Unapatikana wapi mkuu?Nilizonazo ni 1.9m lkni ukipata site nzuri miezi 2 hela imerudi
Weka picha 2zione za mkono na umeme, soko huriaTunazo mashine za miwa za kutumia umeme kwa M1.5.
Na zakutumia mikono ni laki 8
Hii bei gani mkuu?
Weka picha na bei. Uko wapi pia?Mi nauza ya roller 2 bei 750,000/
Mkuu hizo hauna shida ya kusumbuka sana, huwa zinatengeza na mafundi welding, au veta,Weka picha 2zione za mkono na umeme, soko huria
Ninazo 1m za umeme 3 rollersView attachment 432889
bro hz glass '' dispozabo'' ni bei gan na je una vifungashio vjngine vya fast food na matunda?