Uzoefu wangu wa Kutisha kwa Timu ambazo huenda Kucheza Mechi Khartoum Sudan

Uzoefu wangu wa Kutisha kwa Timu ambazo huenda Kucheza Mechi Khartoum Sudan

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
1. Mapokezi ya Uwanjani huwa ni ya Kikatili

2. Wachezaji Kulishwa Sumu ni Kawaida sana

3. Basi mtakalotumia kupigwa Mawe si jambo geni

4. Mechi ikiwa inaendelea Wachezaji wenu muhimu Kupigwa Chupa au Kuvamiwa si la Kushangaa

5. Timu ikiwa inaenda Vyumbani wakati wa Mapumziko Wachezaji kutishiwa Kuuwawa ni kawaida sana

6. Wachezaji wenu ( hasa wa Kiafrika ) kuchokozwa kwa Makusudi ili kuwatoa Mchezoni kwa kila mara Kushikwashikwa Makalio yao katika hali ya Kudhalilishwa ni la Kutegemea mno.

7. Timu yenu ikiwa imeshinda na Wao ( Wasudani ) wametoka rasmi Mashindanoni baada ya Mechi Kumalizika tegemeeni Wachezaji wenu Kujeruhiwa vibaya na hapa nina uhakika huenda atakayepona ni TK Master pekee kwa Kutoka zake Baru ( kuwa na Mbio na Kukatisha Mitaa ) ya Khartoum ila kwa Wenzake wengi kuna Uwezekano breki yao ya Kwanza ikawa ni ICU katika Hospitali Kuu ya Jijini Khartoum.

Nikikumbuka Simba SC ilivyofanyiwa Khartoum Sudan miaka ya mwishoni ya 90 na Kipa Mwameja, Mshambuliaji Edward Chumila na Kiungo Idi Selemani Kibode ( Nyigu ) walivyofanyiwa kwa Kupigwa na Kujeruhiwa vibaya huku Mshambuliaji Malota Soma akikimbia Mbio na kwenda Kujificha Chooni sina hamu nao na nawaonea mno Huruma wanaoenda huko na kibaya zaidi mnaanza nao hapa na mnaenda Kumalizana nao Kwao Uwanja wa Vita na Mapambano Jijini Khartoum nchini Sudan.

Kazi ipo......!!!!!!
 
1. Mapokezi ya Uwanjani huwa ni ya Kikatili

2. Wachezaji Kulishwa Sumu ni Kawaida sana

3. Basi mtakalotumia kupigwa Mawe si jambo geni

4. Mechi ikiwa inaendelea Wachezaji wenu muhimu Kupigwa Chupa au Kuvamiwa si la Kushangaa

5. Timu ikiwa inaenda Vyumbani wakati wa Mapumziko Wachezaji kutishiwa Kuuwawa ni kawaida sana

6. Wachezaji wenu ( hasa wa Kiafrika ) kuchokozwa kwa Makusudi ili kuwatoa Mchezoni kwa kila mara Kushikwashikwa Makalio yao katika hali ya Kudhalilishwa ni la Kutegemea mno.

7. Timu yenu ikiwa imeshinda na Wao ( Wasudani ) wametoka rasmi Mashindanoni baada ya Mechi Kumalizika tegemeeni Wachezaji wenu Kujeruhiwa vibaya na hapa nina uhakika huenda atakayepona ni TK Master pekee kwa Kutoka zake Baru ( kuwa na Mbio na Kukatisha Mitaa ) ya Khartoum ila kwa Wenzake wengi kuna Uwezekano breki yao ya Kwanza ikawa ni ICU katika Hospitali Kuu ya Jijini Khartoum.

Nikikumbuka Simba SC ilivyofanyiwa Khartoum Sudan miaka ya mwishoni ya 90 na Kipa Mwameja, Mshambuliaji Edward Chumila na Kiungo Idi Selemani Kibode ( Nyigu ) walivyofanyiwa kwa Kupigwa na Kujeruhiwa vibaya huku Mshambuliaji Malota Soma akikimbia Mbio na kwenda Kujificha Chooni sina hamu nao na nawaonea mno Huruma wanaoenda huko na kibaya zaidi mnaanza nao hapa na mnaenda Kumalizana nao Kwao Uwanja wa Vita na Mapambano Jijini Khartoum nchini Sudan.

Kazi ipo......!!!!!!
Kama St George walipitia vyote na wakawasumbua mpaka dakika ya 80+ basi hayo yote uliyoyaandika hayana msaada kwao. Yanga ni kupanga kikosi vyema hasa hasa kwenye kiungo na beki imara. Hiyo timu haina cha ajabu kama wameenyeshwa na Wa Ethiopia kiasi kile
 
Kama St George walipitia vyote na wakawasumbua mpaka dakika ya 80+ basi hayo yote uliyoyaandika hayana msaada kwao. Yanga ni kupanga kikosi vyema hasa hasa kwenye kiungo na beki imara. Hiyo timu haina cha ajabu kama wameenyeshwa na Wa Ethiopia kiasi kile
St. George FC ndiyo Yanga SC Mkuu?
 
Al Hilal nimeona game yao wala siyo ya kutisha.
Formula ya mashindano haya ukianzia nyumbani inatakiwa mechi uimalize nyumbani.

Kama Kaizer Chiefs wasingewapiga goli za kutosha Simba Kule Soweto, maana yake Simba ingepinduwa meza Kwa Mkapa.

Kwa njia rahisi ya kusonga mbele ukianzia nyumbani kwanza usiruhusu goli, Pili ushinde ushindi mnono.
 
Kweli miaka imeenda, zamani hao Wasudan walikuwa wanazihofia timu za Tanzania mno...

Wakijua kuna Yanga au Simba mbele yao, walikuwa wanajua kuna kufa au kupona...
 
1. Mapokezi ya Uwanjani huwa ni ya Kikatili

2. Wachezaji Kulishwa Sumu ni Kawaida sana

3. Basi mtakalotumia kupigwa Mawe si jambo geni

4. Mechi ikiwa inaendelea Wachezaji wenu muhimu Kupigwa Chupa au Kuvamiwa si la Kushangaa

5. Timu ikiwa inaenda Vyumbani wakati wa Mapumziko Wachezaji kutishiwa Kuuwawa ni kawaida sana

6. Wachezaji wenu ( hasa wa Kiafrika ) kuchokozwa kwa Makusudi ili kuwatoa Mchezoni kwa kila mara Kushikwashikwa Makalio yao katika hali ya Kudhalilishwa ni la Kutegemea mno.

7. Timu yenu ikiwa imeshinda na Wao ( Wasudani ) wametoka rasmi Mashindanoni baada ya Mechi Kumalizika tegemeeni Wachezaji wenu Kujeruhiwa vibaya na hapa nina uhakika huenda atakayepona ni TK Master pekee kwa Kutoka zake Baru ( kuwa na Mbio na Kukatisha Mitaa ) ya Khartoum ila kwa Wenzake wengi kuna Uwezekano breki yao ya Kwanza ikawa ni ICU katika Hospitali Kuu ya Jijini Khartoum.

Nikikumbuka Simba SC ilivyofanyiwa Khartoum Sudan miaka ya mwishoni ya 90 na Kipa Mwameja, Mshambuliaji Edward Chumila na Kiungo Idi Selemani Kibode ( Nyigu ) walivyofanyiwa kwa Kupigwa na Kujeruhiwa vibaya huku Mshambuliaji Malota Soma akikimbia Mbio na kwenda Kujificha Chooni sina hamu nao na nawaonea mno Huruma wanaoenda huko na kibaya zaidi mnaanza nao hapa na mnaenda Kumalizana nao Kwao Uwanja wa Vita na Mapambano Jijini Khartoum nchini Sudan.

Kazi ipo......!!!!!!
Mbona sheria zipo wazi! Sidhana kama FIFA inaruhusu vitu hivyo- timu zijitayarishe kukusanya ushaidi wa matukio hayo. Shida inakuja kama timu imefungwa magoli mengi alafu inalalamika- wengi watafikiri ni visingizio tu.
 
Kama St George walipitia vyote na wakawasumbua mpaka dakika ya 80+ basi hayo yote uliyoyaandika hayana msaada kwao. Yanga ni kupanga kikosi vyema hasa hasa kwenye kiungo na beki imara. Hiyo timu haina cha ajabu kama wameenyeshwa na Wa Ethiopia kiasi kile
Hao wahabeshi tulipowachapa taifa mlisema waimba kwaya leo imekuwaje ihenyeshe timu ya super coach ibenge?
 
Mbona sheria zipo wazi! Sidhana kama FIFA inaruhusu vitu hivyo- timu zijitayarishe kukusanya ushaidi wa matukio hayo. Shida inakuja kama timu imefungwa magoli mengi alafu inalalamika- wengi watafikiri ni visingizio tu.
Kwani Simba SC ilivyofanyiwa hiyo FIFA na CAF yako haikuwepo / hawakuwepo?
 
Back
Top Bottom