zipompa
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 11,432
- 24,596
kuelekeza nini mkuu, unataka nkuelekeze niniDuuh ata kuelekeza tu ni kuvunja masharti kaz kweli kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuelekeza nini mkuu, unataka nkuelekeze niniDuuh ata kuelekeza tu ni kuvunja masharti kaz kweli kweli
Uko waganga walipokuelekeza nini mkuu, unataka nkuelekeze nini
mkuu mbona nimeeleza mazingira yalivyo na ugumu wakeUko waganga walipo
Je mizimu ya ukoo inaweza ikamkwamisha mtu asiweze fanikiwa?Waganga na wapandisha mashetani na majini wengi wana uwezo tu wa kukwambia kilichokwisha kukutokea lakini si kijacho ama suluhu yake..
Na hicho kilichokwiahatokea kiroho tunaita ni tendo mfu lilishakamilika na linajulikana hivyo halina madhara tena
Hawa matatibu wanachofanya sio kutibu mzizi wa tatizo bali ni kutafuta tu kukupa unafuu ama kubahatisha
Tiba halisi za kichawi ni kutumia formula ileile iliyotumika kukuroga ili upate codes na tracking mpaka tatizo lilipoanzia. Tofauti na hapo ni story tuu..
Kama kucha ama nywele zako zilifungwa na kufukiwa mahali ni mpaka mtaalam avipate hivyo vitu avifukue avifubaze .. Akishindwa kufanya hivyo hakuna tiba hapo
Shida inayowakumba wengi ni kupata ile formula na mahali kitu kilipowekwa.. Kwakuwa kama kuna kitu kiko complicated kwenye ushirikina ni njia iliyotumika kukuroga
[emoji1]Mm najamaangu alikuwa na kesi nkapata waganga 3 wote hamna kitu.ila sasa nina mgodi kuna mzee mlozi nataka nimtumie.nilimpataje? Kuna kimke cha mtu huwa na mm napiga piga .ila ni kimalaya kabisa nimekikula toka usichana kwa hiyo tumejenga urafiki wenye maslahi ya kibandar.siku moja alifumaniwa live bila chenga na mumewe uchi na njemba moja .jamaa pale pale alinyanganya simu na kumtupia vilago nje .demu akanambia anaenda kwa mganga kigoma ujiji akirudi ndoa imerudi.demu kurudi jamaa alienda mwenyewe kumpokea na hadi leo jamaa anaishi nae kwa amani.nikaomba aniunge na huyo mbabu mzee kanifurahisha kasema hataki hela hadi mgodi uteme.ntawaletea mrejesho maana nampeleka wiki ijayo
Maana kama hataki hela kaka mpaka mzigo hata ww ungekataa?[emoji1]
Ova
Nifanyie mazuri mkuu pmMm najamaangu alikuwa na kesi nkapata waganga 3 wote hamna kitu.ila sasa nina mgodi kuna mzee mlozi nataka nimtumie.nilimpataje? Kuna kimke cha mtu huwa na mm napiga piga .ila ni kimalaya kabisa nimekikula toka usichana kwa hiyo tumejenga urafiki wenye maslahi ya kibandar.siku moja alifumaniwa live bila chenga na mumewe uchi na njemba moja .jamaa pale pale alinyanganya simu na kumtupia vilago nje .demu akanambia anaenda kwa mganga kigoma ujiji akirudi ndoa imerudi.demu kurudi jamaa alienda mwenyewe kumpokea na hadi leo jamaa anaishi nae kwa amani.nikaomba aniunge na huyo mbabu mzee kanifurahisha kasema hataki hela hadi mgodi uteme.ntawaletea mrejesho maana nampeleka wiki ijayo
Salam,
Katika maisha kuna wakati unapitia mambo magumu sana mpaka unataka kukata tamaa, na ukiwa katika hali hiyo washauri wanakuwa wengi lakini huwezi kukosa mtu mmoja atakaye kwambia "Jaribu kuangalia upande wa pili", "Nenda kwa mtaalam, sio bure wewe umerogwa."
Hali hiyo nimeipitia kipindi cha nyuma, mambo yangu yalikuwa hayaendi kabisa nimebanwa hasa. Mshauri akaja akaniambia atanipeleka Kibaha kwa mganga, kweli nilienda kwa mganga. Hiyo ndio ilikuwa mara yangu ya kwanza katika maisha, niliogopa sana siku hiyo lakini nikasema haina jinsi.
Mganga yule ni mmama maarufu sana pale Kibaha, baada ya kufika nikapanga foleni maana kulikuwa na watu wengi kidogo. Hatimaye zamu yangu ilifika ya kumuona mtaalamu, nilipofika akasema utaniambia shida yako au nikwambie mimi?
Nikaomba aniambie, akapandisha majini pale akaanza kufunguka aliniambia vitu vingi ambavyo vyote ni vya kweli. Nikasema hapa ndio penyewe sasa, akaniambia tatizo lako ndani ya wiki moja litakuwa limeisha. Akanipa dawa za kuoga, nyingine nilioga pale pale na nyingine nilienda kuoga nyumbani.
Ikaisha wiki hamna kitu, wiki mbili mpaka mwezi tatizo bado. Ukipiga simu kuuliza akasema watu wanatofautiana, wengine dawa hufanya kazi haraka na wengine huchelewa kwa hiyo uwe mvumilivu. Mara kadhaa pia nilikuwa naenda pale kwa ajili ya kuongezewa dozi.
Baada ya miezi miwili nikaona labda tatizo langu kashindwa na hapo ka roho kwa kupenda waganga kaliniingia, nikaanza kuzunguka sehemu mbali pamoja na kuuliza watu waganga nitawapata wapi. Nilipata waganga maeneo mbalimbali; Manzese, Magomeni, Bagamoyo, Morogoro, Tanga, Iringa na Musoma.
Nilichogundua waganga wengi sana wanakwambia mambo ya kila siku ambayo hata wewe unaweza kumwambia mtu mwingine. Mganga anasema; hapa naona pesa kwako haikai (wakati hilo ni swala la kawaida kabisa) au unapishana pishana na mke wako/mume wako, huko kazini kuna watu wanakuchukia nk.
Mganga alikuwa akiniambia hayo mambo ya kawaida nilikuwa naachana nae namwambia ntarudi kupata tiba.
Kwa kipindi chote cha mwaka na kitu, sehemu zote nilizoenda ambaye aliweza kunipa taarifa sensitive ambazo najua hizi hazijui mtu ni sehemu moja tu hapo Kibaha lakini naye hakuweza kutatua matatizo yangu.
Hivyo, binafsi naona waganga hawana uwezo wa kutatua shida za watu bali wamejawa na uongo na utapeli. Huo ndio uzoefu wangu mimi kwa kipindi cha mwaka mmoja kwenda kwa waganga, kama una uzoefu tofauti share na wewe.
Duuh..Mm najamaangu alikuwa na kesi nkapata waganga 3 wote hamna kitu.ila sasa nina mgodi kuna mzee mlozi nataka nimtumie.nilimpataje? Kuna kimke cha mtu huwa na mm napiga piga .ila ni kimalaya kabisa nimekikula toka usichana kwa hiyo tumejenga urafiki wenye maslahi ya kibandar.siku moja alifumaniwa live bila chenga na mumewe uchi na njemba moja .jamaa pale pale alinyanganya simu na kumtupia vilago nje .demu akanambia anaenda kwa mganga kigoma ujiji akirudi ndoa imerudi.demu kurudi jamaa alienda mwenyewe kumpokea na hadi leo jamaa anaishi nae kwa amani.nikaomba aniunge na huyo mbabu mzee kanifurahisha kasema hataki hela hadi mgodi uteme.ntawaletea mrejesho maana nampeleka wiki ijayo
Kanyaga twende tumecheleweshwa mnooo kwenye utajiri.Mm najamaangu alikuwa na kesi nkapata waganga 3 wote hamna kitu.ila sasa nina mgodi kuna mzee mlozi nataka nimtumie.nilimpataje? Kuna kimke cha mtu huwa na mm napiga piga .ila ni kimalaya kabisa nimekikula toka usichana kwa hiyo tumejenga urafiki wenye maslahi ya kibandar.siku moja alifumaniwa live bila chenga na mumewe uchi na njemba moja .jamaa pale pale alinyanganya simu na kumtupia vilago nje .demu akanambia anaenda kwa mganga kigoma ujiji akirudi ndoa imerudi.demu kurudi jamaa alienda mwenyewe kumpokea na hadi leo jamaa anaishi nae kwa amani.nikaomba aniunge na huyo mbabu mzee kanifurahisha kasema hataki hela hadi mgodi uteme.ntawaletea mrejesho maana nampeleka wiki ijayo
Kwahyo umeloga mwaka mmoja tu umetoa hitimisho😂😂 mm hapa naandika nipo kwa mganga na mambo yanaenda kama upepo. Sihitaji mtu pm maana mnapenda sana ushirikinaSalam,
Katika maisha kuna wakati unapitia mambo magumu sana mpaka unataka kukata tamaa, na ukiwa katika hali hiyo washauri wanakuwa wengi lakini huwezi kukosa mtu mmoja atakaye kwambia "Jaribu kuangalia upande wa pili", "Nenda kwa mtaalam, sio bure wewe umerogwa."
Hali hiyo nimeipitia kipindi cha nyuma, mambo yangu yalikuwa hayaendi kabisa nimebanwa hasa. Mshauri akaja akaniambia atanipeleka Kibaha kwa mganga, kweli nilienda kwa mganga. Hiyo ndio ilikuwa mara yangu ya kwanza katika maisha, niliogopa sana siku hiyo lakini nikasema haina jinsi.
Mganga yule ni mmama maarufu sana pale Kibaha, baada ya kufika nikapanga foleni maana kulikuwa na watu wengi kidogo. Hatimaye zamu yangu ilifika ya kumuona mtaalamu, nilipofika akasema utaniambia shida yako au nikwambie mimi?
Nikaomba aniambie, akapandisha majini pale akaanza kufunguka aliniambia vitu vingi ambavyo vyote ni vya kweli. Nikasema hapa ndio penyewe sasa, akaniambia tatizo lako ndani ya wiki moja litakuwa limeisha. Akanipa dawa za kuoga, nyingine nilioga pale pale na nyingine nilienda kuoga nyumbani.
Ikaisha wiki hamna kitu, wiki mbili mpaka mwezi tatizo bado. Ukipiga simu kuuliza akasema watu wanatofautiana, wengine dawa hufanya kazi haraka na wengine huchelewa kwa hiyo uwe mvumilivu. Mara kadhaa pia nilikuwa naenda pale kwa ajili ya kuongezewa dozi.
Baada ya miezi miwili nikaona labda tatizo langu kashindwa na hapo ka roho kwa kupenda waganga kaliniingia, nikaanza kuzunguka sehemu mbali pamoja na kuuliza watu waganga nitawapata wapi. Nilipata waganga maeneo mbalimbali; Manzese, Magomeni, Bagamoyo, Morogoro, Tanga, Iringa na Musoma.
Nilichogundua waganga wengi sana wanakwambia mambo ya kila siku ambayo hata wewe unaweza kumwambia mtu mwingine. Mganga anasema; hapa naona pesa kwako haikai (wakati hilo ni swala la kawaida kabisa) au unapishana pishana na mke wako/mume wako, huko kazini kuna watu wanakuchukia nk.
Mganga alikuwa akiniambia hayo mambo ya kawaida nilikuwa naachana nae namwambia ntarudi kupata tiba.
Kwa kipindi chote cha mwaka na kitu, sehemu zote nilizoenda ambaye aliweza kunipa taarifa sensitive ambazo najua hizi hazijui mtu ni sehemu moja tu hapo Kibaha lakini naye hakuweza kutatua matatizo yangu.
Hivyo, binafsi naona waganga hawana uwezo wa kutatua shida za watu bali wamejawa na uongo na utapeli. Huo ndio uzoefu wangu mimi kwa kipindi cha mwaka mmoja kwenda kwa waganga, kama una uzoefu tofauti share na wewe.
Asilimia 95 ya walokole ni masikini wa kutupwa.wale wa gwajima wanakosaga hadi nauli ya daladala.kilichopo ukitaka uchawi wa yesu uikane dhambi kiukweli ambapo 85% ya walokole wanawake na wanaume tunapishana malodgeKuna mganga mmoja anaitwa Yesu wa Nazareti huyo hashindwi na kitu mawakala wake ni Wachungaji wa makanisa ya kilokole uzuri wake yeye haitaji damu Bali alishatoa damu yake inafuta laana na mikosi yote