tupo zungumzia tabia tuna maana ya tabia zipi ? ukweli ni kwamba wanadamu hatufanani kwa lolote kwa maana yakua kila mmoja ana tabia yake isipo kua kuna tabia pendwa au tabia rafki, hii ina tegemea na mtu anae kaa na mwanamke mwenyewe, mleta mada rabda ungetueleza ni tabia zipi ambazo ni kusudio kwa kudumisha ndoa,usicho kipenda wewe mwenzako ana kipenda ,mleta uzii una maana yakua tabia ni kwa mwanamke tuu ? mwanamee c muhimu? mkuu una maana yakua ndoa kudumu ni kwa tabia ya kina mama zetu tuu ? mwana ume awezi achwa hata akawa na tabia mbovuu,? mkuu una taka kuniambia walio na tabia mbovu wasiolewe kwa kua ndoa hazita dumuu au waolewe na walio na tabia sawiya? kiupande wangu mm watu wawili kukosana mpaka kuachana mara nyingi ni kwa tabia ilio jitokeza wala c tabia asilia, neno langu kwa wana jf si wanawake pekee kwa tabia zao ndo usababisha kusto dumu kwa mausiano hata wanaume pia[emoji1488]