Tatizo watanzania mnapemda kutafuta tatizo hata kama halipo, ikitolewa watu wa kabila fulani wakazidi hatawatatu, tayari hoja ya ukabila inaingia ndani. Mara nyingine inatokea tu, watu unaowaona wanafaa wametokea upande fulani ya nchi au upande fulani wa dini.
Ni mda wa wazanzibar kupata nafasi za juu za uongozi kwenye serikali ya Muungano. Ukisikia wazanzibar wamejaa Wizara mbali mbali usishangae. Inawezekana ni shida kubwa kiliko kipindi cha MagufuliKatika jambo ambalo limelalamikiwa sana lilikua ni suala la ukabila.
Watu wengi walikua na manung'uniko ya chini kwa chini kua kabila moja kubwa hapa nchini ndio lilikua linawaweka sana ndugu zao juu mpaka ilifikia mpwa wa mtu anafanya kazi ngazi nyeti na watu walipohoji wakaambiwa eti wana vigezo.
Hakuna suala la kusema unapendelea kanda flani kimiundombinu, sasahivi mama anaangalia ni wapi kuna tatizo au ni wapi panahitaji kutazamwa kipekee.
Utaanza kumlaumu Mama Samia kuhusu kabila utaanzia wapi? Yaani hii ni kuanzia kwenye chama hadi serikalini.
Na hata zanzibari hana kabila maana yeye ni suriyama wa kiarabu na mmakunduchiKatika jambo ambalo limelalamikiwa sana lilikua ni suala la ukabila.
Watu wengi walikua na manung'uniko ya chini kwa chini kua kabila moja kubwa hapa nchini ndio lilikua linawaweka sana ndugu zao juu mpaka ilifikia mpwa wa mtu anafanya kazi ngazi nyeti na watu walipohoji wakaambiwa eti wana vigezo.
Hakuna suala la kusema unapendelea kanda flani kimiundombinu, sasahivi mama anaangalia ni wapi kuna tatizo au ni wapi panahitaji kutazamwa kipekee.
Utaanza kumlaumu Mama Samia kuhusu kabila utaanzia wapi? Yaani hii ni kuanzia kwenye chama hadi serikalini.
Wasukuma wapo wangapi kwenye taasisi nyeti(enzi za jpm)?Tatizo watanzania mnapemda kutafuta tatizo hata kama halipo, ikitolewa watu wa kabila fulani wakazidi hatawatatu, tayari hoja ya ukabila inaingia ndani. Mara nyingine inatokea tu, watu unaowaona wanafaa wametokea upande fulani ya nchi au upande fulani wa dini.
Sijuwi wapo wangapi, wewe unaweza kunipa hilo jibu?Wasukuma wapo wangapi kwenye taasisi nyeti(enzi za jpm)?
Kwahiyo ikitokea eneo fulani kuna maduka mengi ya Wachagga itakuwa mtoa leseni wa eneo hilo amewapemdelea?Haitokei tu hivyo, acha kudanganya watu.
hakuna Mzanzibari anaetamni kufanya kazi kwenye wizara za Tanganyika kwani zimejaa udini ,ukabila na ubaguzi na dharau , hata ukiangali Serikali zote zilizopita wanaotoka kusini ni wa kuhesabu hawazidi hata kumi.hatuwezi kwenda kwa kubaguana,ubaguzi ni dhambi.Ni mda wa wazanzibar kupata nafasi za juu za uongozi kwenye serikali ya Muungano. Ukisikia wazanzibar wamejaa Wizara mbali mbali usishangae. Inawezekana ni shida kubwa kiliko kipindi cha Magufuli
Na hiyo tunu ya Ukabila na Ukanda ndo aliotuachia meko na huku akitusi watu kutoka makabila mengine na kuwachukia wazi waziUkishakua na akili ya mgando kuwaza utengano kwa namna yoyote ujue utawaza tu, kama sio ukabilia basi utawaza udini, na kama sio udini, utawaza ukanda, this kind of mental slavery inatafuna sana bongo za wengi.
Makabila ni kwa ajili ya kutaniana tuTatizo watanzania mnapemda kutafuta tatizo hata kama halipo, ikitokewa watu wa kabila fulani wakazidi hata watatu, tayari hoja ya ukabila inaingia ndani. Mara nyingine inatokea tu, watu unaowaona wanafaa wametokea upande fulani ya nchi au upande fulani wa dini.
Nyie watu ebu acheni husda na chuki kiasi hicho, waislamu katika viongozi aliowateua hadi sasa hata asilimia 20 haifiki lakini roho zimewapaa, nakushauri kwakuwa bunge la sasa limejaa wakristo wengi washawishini wapitishe kifungu cha katiba na sheria za kuifanya nchi hii iwe ya kikristo muwe na amani mioyoni mwenu.
Katika jambo ambalo limelalamikiwa sana lilikua ni suala la ukabila.
Watu wengi walikua na manung'uniko ya chini kwa chini kua kabila moja kubwa hapa nchini ndio lilikua linawaweka sana ndugu zao juu mpaka ilifikia mpwa wa mtu anafanya kazi ngazi nyeti na watu walipohoji wakaambiwa eti wana vigezo.
Hakuna suala la kusema unapendelea kanda flani kimiundombinu, sasahivi mama anaangalia ni wapi kuna tatizo au ni wapi panahitaji kutazamwa kipekee.
Utaanza kumlaumu Mama Samia kuhusu kabila utaanzia wapi? Yaani hii ni kuanzia kwenye chama hadi Serikalini.
Mwinyi alikuwa ruksa kauza mpaka.mbuga kwa waarabu, wahindi shemejie, Kikwete Epa , escrow, dowans, unanujua mi ni nani bila kusahau Kubenea, Kibanda na UlimbokaEbana eeh kila mtu ana mtuwe Magu mwenyewe alijaza wakatoliki kila kona kwanza wakatoliki ndio wanatulostishaga tu. Nyerere, Mkapa na Magu wote wakatoliki wanazingua heri kidogo Mkapa Ila ndio waliiba wale balaa.