chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 20,834
- 26,217
Habari wanaJukwaa
Wakati huu kumekuwepo na uzalishaji mkubwa wa uzushi unaoelekezwa zaidi kwenye chama tishio cha upinzani Tanzania , yaani Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).
Na uzushi wenyewe ni wa kesi kubwakubwa za kijinai ikiwemo hilo linaloendelea mitandaoni sasa kuhusiana na uchomwaji wa vituo vya polisi n.k
Naomba nichukue nafasi hii kuwataka rai CHADEMA kutopuuzia madai haya kwani linaandaliwa bomu la kuwaweka gerezani viongozi tishio ndani ya chama tukiwa tunaelekea kwenye uchaguzi mkuu wa mwakani, malengo ya Serikali ya CCM ni kuhakikisha hawapati upinzani wa aina yoyote ukizangatia mpaka sasa hawana mgombea anayeuzika kwa wananchi.
Niwaase viongozi wa Chadema akiwemo mwenyekiti Mbowe , M/mwenyekiti Lissu , Katibu Mkuu Mnyika, na viongozi wengine wasaidizi kuhakikisha wanawahi mahakamani kudai uthibitisho wa tuhuma hizi nzito zinazoelekezwa kwao.
Asalam aleykum!
Wakati huu kumekuwepo na uzalishaji mkubwa wa uzushi unaoelekezwa zaidi kwenye chama tishio cha upinzani Tanzania , yaani Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).
Na uzushi wenyewe ni wa kesi kubwakubwa za kijinai ikiwemo hilo linaloendelea mitandaoni sasa kuhusiana na uchomwaji wa vituo vya polisi n.k
Naomba nichukue nafasi hii kuwataka rai CHADEMA kutopuuzia madai haya kwani linaandaliwa bomu la kuwaweka gerezani viongozi tishio ndani ya chama tukiwa tunaelekea kwenye uchaguzi mkuu wa mwakani, malengo ya Serikali ya CCM ni kuhakikisha hawapati upinzani wa aina yoyote ukizangatia mpaka sasa hawana mgombea anayeuzika kwa wananchi.
Niwaase viongozi wa Chadema akiwemo mwenyekiti Mbowe , M/mwenyekiti Lissu , Katibu Mkuu Mnyika, na viongozi wengine wasaidizi kuhakikisha wanawahi mahakamani kudai uthibitisho wa tuhuma hizi nzito zinazoelekezwa kwao.
Asalam aleykum!