Uzushi wa kifo cha meja kunta

Uzushi wa kifo cha meja kunta

Habari ya kifo cha huyu dogo iliniumiza sana.
Huyu meneja sidhani kama ni "timamu", hauwezi kutafuta "kiki" kwa kuumiza hisia za mashabiki zako.
Ningependa kumshauri kijana Meja Kunta atafute meneja mwengine haraka sana, huyu meneja wake wa sasa ni anguko lake kimuziki.
 
George Betram,

Keshampoteza kwenye ramani watu washaamchukia kik ya kipumbavu sana kama meneja mwenyewe alivyo
 
Kiki kivipi? Maana ye mwenyewe kalala hospitali waliozusha wengine, aliwatuma?

Kaangalie YouTube

Msanii mwenzake anasema wakati wapo kwenye gari waliongelea kua watengeneze kik naona ndio wakafikia muafaka huo

Wanasema ametoka hosp tangu jmoc saa3 asubuhi na wakarudi dar it means simu yake alikua nayo kama hahusiki kwann asikanushe hiyo ye mwenyewe? Na aliwasiliana na watu ila baadae kuanzia yeye mameneja na dj wake wakawa hawapatikani wote
 
Back
Top Bottom