Uzushi wenye utata kuhusu diamond platnumz

Uzushi wenye utata kuhusu diamond platnumz

Kuwa namba moja milele haiwezekani ipo siku naye atapokeza kijiti kwa mwingine hiyo ndio nature mkuu haipingiki ipo siku watu watakuja kumuona DIMONDI kama mwijuma muumini kwa sasa,ingawa utapinga utasema walishatabiri lakini "HUO NDIO UKWELI" in WHOZU's VOICE.
Itatokea but ikiwa kwa miaka 30 ahead itakuwa good sana
 
Hakuna muujiza mahali pa wajibu....mchawi au freemason hana nguvu ya kumnyanyua mtu from empty set....na ndo mana wachawi au freemason huwa wanasubiri kwanza mtu apate mafanikio ndo wanakuja..ni uongo tuuu....Diamond analoga sana...
Alisha kuloga?
 
Jamaa inawezekana anauchawi wa kisomi wa freemason kuna account ya marehem chande ile ipo instagram member wote wa freemason wanapostiwa sina hakika sana ila nawaona wcb wote masanja,gwajima,sheta,alikiba, na wenyine wengi
 
Ziagalie tatoo zilizoubamba mwili wake halafu angalia za Rihana na mastaa wengine halafu tafuta common denominator yao hutalikosa jibu !

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom