ccm mtoto wao
JF-Expert Member
- Dec 19, 2018
- 562
- 482
Ndumba inashika vizuri kwa mtu mwenye juhudi na pia nyota iwe njema. mfano yupo binamu.
Itatokea but ikiwa kwa miaka 30 ahead itakuwa good sanaKuwa namba moja milele haiwezekani ipo siku naye atapokeza kijiti kwa mwingine hiyo ndio nature mkuu haipingiki ipo siku watu watakuja kumuona DIMONDI kama mwijuma muumini kwa sasa,ingawa utapinga utasema walishatabiri lakini "HUO NDIO UKWELI" in WHOZU's VOICE.
Imani na mziki wapi na wapi NA ya dini gani ebooooh?Sijaisoma yote ila nina cha kurekebisha mkuu. Ukisema kwann wengine nao wasitumie ndumba wawe kama Mond unakosea sana. Watu wana imani zao zinazowalinda, na ndumba ni kinyume na imani za dini. Walioshikilia imani zao hawajitesi na uchawi ili wawe juu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Alisha kuloga?Hakuna muujiza mahali pa wajibu....mchawi au freemason hana nguvu ya kumnyanyua mtu from empty set....na ndo mana wachawi au freemason huwa wanasubiri kwanza mtu apate mafanikio ndo wanakuja..ni uongo tuuu....Diamond analoga sana...
Hata miaka 100 muda ndio jibu mkuu....Kuwa namba moja milele haiwezekani just matter of time....kuna watu walihit DIMONDI cha mtoto.Itatokea but ikiwa kwa miaka 30 ahead itakuwa good sana
Mi namkubali mondi sana
Ila katika safari yake ya mafanikio "kilinge" kimehusika pia utake usitake .
Sent using Jamii Forums mobile app