V.V.U na Upimaji wake (Coincidences)

V.V.U na Upimaji wake (Coincidences)

Umejidunga lini hyo sindano ya mtu mwenye HIV????

Angalia huenda ukawa window period
 
Dear All
This subject is a bit complex but as an expert in the field of HIV testing since 1986 nitajaribu kurahisisha kidogo
1 detection of HIV antibodies is one of the methods to diagnose infection. The other test detect HIV antigen (p24). These tests are very sensitive and specific although some may give false positive or false negative results
2. Using PCR. Method one can also diagnose HIV infection. This is done for children below 18 months because of possible presence of maternal antibodies
3. HIV. Viral load and CD4 are used to monitor the disease but not diagnosis.

As a mater of principle antibodies produced by viral of bacterial infections are specific

1.This subject is a bit complex .....

Ungesema hivi;"uongo kuhusu HIV/AIDS umesukwa vizuri sana kiasi cha mtu mwenye uelewa wa kawaida kutoweza kugundua"

2....These tests(HIV antigen tests) are very sensitive and specific although some may give false positive or false negative results.....

Kama hizi tests nazo huweza kutoa false +ve na false -ve basi mantiki nzima ya hizi test kuwa very sensintive na very specific haipo.Cha msingi tunakuomba utuambie kwa nini pamoja na test hizi kuwa very sensintive na very specific lakini bado huweza kutoa majibu ya uongo.Hebu wajuze wana jamii kwenye suala hili.Umefanya kazi hii tangu 1986,natumaini una uzoefu wa kutosha,sasa tuelimishe vizuri kwa nini hili linatokea.

3. Using PCR. Method one can also diagnose HIV infection.....

Mgunduzi wa hiyo PCR mnayotumia ameshawakimbia baada ya kugundua kwamba HIV hasababishi AIDS,yeye mwenyewe anasema HIV hasababishi AIDS,Je,unalijua hilo?Narudia,Profesa Kary Mullis anasema HIV hasababishi AIDS.Tuambie kama anapotosha au amesema kweli.

Kary Mullis anasema pia,"The only way to stop HIV/AIDS is to stop funding it".Unajua maneno haya yana maana gani?


4.HIV. Viral load and CD4 are used to monitor the disease ....

Kary Mullis huyohuyo anakwambia CD4 has nothing to do with healthy of someone,a lot of things can cause CD4 to go down,a lot of things also can cause CD4 to errupt.Kuna watu wana CD4 below 50 na wana afya njema kabisa,unajua hili?

Kinga ya mwili sio CD4,CD4 ni kipande kidogo sana kwenye kinga ya mwili.Kuna watu wana CD4 nyingi tu na wanaugua mara kwa mara.Sasa hivi watu wamedanganyika kiasi kwamba hawawezi kutofautisha kati ya kinga ya mwili na CD4,hao wanajua kwamba CD4 ndio kinga ya mwili.
 
Umejidunga lini hyo sindano ya mtu mwenye HIV????

Angalia huenda ukawa window period

He he heee,yaani hata hilo neno 'window period' umekaririshwa,hii ndio kasumba chafu nayotaka kuiondoa kutoka kwa walio wengi.Watu wanadhani wanafikiria kwa akili/uwezo wao wenyewe kumbe wanafikiria kwa kutumia akili za kupandikizwa na wengine.

Tujitahidi kujikwamua kutoka kwenye vifungo vya kufikiri ambavyo wamiliki wa viwanda vya madawa wametuweka,watu hawajui kama kuna watu wanaofikiri kwa niaba yao.Hawajui pia kwamba maneno wanayotamka sio ya kwao bali ni ya wengine ambao ndio wameshikilia akilia zao.Hii ndio kazi ya kitengo cha mindcontrol.Mind control ni kitengo kinachofanya kazi kwa utaalam na siri kubwa sana,huwezi kuona kirahisi jinsi kitengo hiki kinavyofanya kazi,sasa hivi athari zake zimeshajitokeza katika sekta nyingi sana ikiwemo hii ya afya.

Nilijidunga mwaka mmoja uliopita,hadi leo ni HIV-.Hiyo window period yenu ni muda gani?

Mgunduzi wa HIV,Robert Gallo naye amekuja na yake;baada ya kuona kwamba watu wenye HIV hawaumwi hata kama hawatumii ARVs kwa muda mrefu,akasema 'eti' HIV anaweza kuchukua miaka hata 10 kuanza kusababisha ugonjwa.He he heee,HIV/AIDS regime ina vituko sana.Yaani hapa maana yake wanasubiri sababu nyingine zisababishe ugonjwa halafu waanze kumsingizia HIV.Miaka 10 ni mingi sana kwa mtu yeyote kukaa bila kuumwa,hivyo mtu akiumwa tu basi wataanza kusingizia HIV.
 
hebu elezea watu wanakufaje katika hali ya kudhoofika saana, kwa kitu kama mindset tu, na kumbuka wanaokufa kwa hali hiyo ni pamoja na wale wasiopima.

Mimi huwa sizungumzi kwa kutumia hisia,huwa natumia mifano hai yenye data zinazojitosheleza.Sasa ili nikujibu vizuri uelewe inabidi unipe mifano angalau 3 ya watu hao na uniambie walikuwa na dalili zipi kabla ya kufa au walikufa kwa magonjwa gani.

ANGALIZO:

Ukimwi hauui,ukimwi ni hali tu ya mabadiliko ya kinga ya mwili.Ili ufe ni lazima ugonjwa fulani(aidha TB,Malaria,Pneumonia,Hepatitis nk) ukuingie mwilini na kukudhoofisha kutokana na upungufu wa kinga ya mwili wako.Bila magonjwa kama haya huwezi ukafa hata kama kinga yako iko chini.Sasa ninachokitaka ni wewe uniambie hao watu walikufa kwa magonjwa gani?Ukimwi si ugonjwa.Watu walikuwa wanakufa kwa kudhoofika tangu mwanadamu alipoumbwa hata kabla ya huyo HIV(feki) hajatangazwa,je,hawa watu nao walikufa kwa HIV/AIDS?Nipe mifano hai nikuelezee kwa nini,mimi nimeshauguza sana,ndio maana nakwambia nipe mifano hai.
 
'There is no way to test for HIV'/Hakuna njia yoyote inayoweza kupima HIV.HIV jina ambalo watu wawili tu wamekaa na kuamua kulipachika kundi fulani la 'genetic materials' jina hilo.Mpaka sasa tunapozungumza,HIV hakuwahi kunyofolewa kutoka kwenye damu ya mtu yeyote yule(HIV has never been isolate/purified,I can rather say that HIV is a belief but not fact).

Kwa kuwa HIV hakuwahi kuonekana hivyo huwezi kupata kipimo chake,na ndio maana HIV tests zote zimeegemea kuangalia antibodies dhidi ya set fulani za protini ambazo zinaaminika zimetoka kwa HIV lakini ukweli ni kwamba kuna sababu/hali lukuki kwenye mwili wa mwanadamu ambazo pia husababisha kuzalishwa kwa protini hizo.Baadhi ya hali hizo ni malaria,TB,Hepatitis,IV drug use,kaswende na magonjwa mengine zaidi ya 50,pia mimba huweza kufanya mwili kuzalisha protini hizo.Ndio maana nasema 'there is no way to test for HIV'.

Kitu kimoja ambacho watu wanaokumbatia HIV/AIDS hypothesis kinawapa jeuri ni kuhusu vipimo vyao feki ku detect antibodies ambazo wao wanasema ni specific kwa HIV.Lakini hawawezi kuelezea kwanini/kwa vipi hizo antibodies haziwezi kumkinga mtu dhidi ya huyo HIV(feki).

The basic fact in science/ukweli wa msingi kabisa usiopingika wa kisayansi:Kama mwili wako umetoa antibodies/kinga dhidi ya kirusi kwa mfano,basi mwili wako utakuwa tayari umeokolewa kutoka kwenye madhara ya kirusi hicho,huu ukweli hata mtoto wa shule ya msingi anaujua.Hakuna kirusi yoyote duniani ambaye amesababisha ugonjwa baada ya antibodies/kinga kujitokeza,virusi husababisha ugonjwa kabla ya kinga na si baada ya kinga,hii ndio sayansi ya kweli.Lakini ukweli huu wa kisayansi umekiukwa kabisa katika suala hili la HIV/AIDS.

Uki test antibody +ve maana yake tayari mwili umeshatoa kinga dhini ya vijidudu/virusi.Hivyo,huwezi kupata ugonjwa baada ya kinga kujitokeza kwa kuwa kinga hu neutralize virusi.Lakini kwenye HIV/AIDS unapo test HIV+ baada ya kushangilia na kupongezwa,unalia na kuitiwa washauri nasaha.Why would everybody get AIDS after antibody immunity?No body ever explained it,I say no body.NIH,CDC,WHO ca never explain it.

Antibodies is the basis of all vaccines,so why you are now in trouble after testing antibody +ve to HIV?

Pia kuhusu CD4 count na viral load.Mambo yote haya ni nonsence kama utaujua ukweli kuhusu HIV.Kwa kuwa HIV(feki) hasababishi AIDS,hivyo dhana nzima ya CD4 count na viral load inakosa maana.HIV(feki) haui CD4 cells kama inavyofahamika na wengi.Ndio maana kuna watu rundo mtaani hawatumii ARVs na wame test HIV+ zaidi ya miaka 10 iliyopita na wana CD4 za kutosha.

Unajua kama fikra za watu ziko kiimani zaidi,hata kama wataona kwa macho yao mambo yanayopingana na fikra zao si rahisi kukubalina nayo,sanasana watasema ni uchawi tu.Hizi fikra walizonazo wengi kuhusu suala la HIV/AIDS ni zao la kitengo cha MIND CONTROL cha inteligensia ya USA.Kitengo hiki pia ndicho kinachofanya wengi wajue kwamba Global warming husababishwa na hewa ya ukaa ilihali sivyo,wamarekani waliwahi kufika mwezini wakati si kweli,democracy is real but is not,bangi haramu wakati sivyo hivyo,cancer haina tiba wakati tiba ipo,na mambo mengine lukuki.

Mleta mada nakushukuru sana kwa kutuchokoza.

braza ni noma
 
1.The definitive test ni kufanya kitu tunaita DNA-PCR for HIV ambayo ita-confirm presence ya HIV virus katika damu...

Kama mimi napotosha watu,naomba uniambie kama mgunduzi wa kipimo mnachokitegemea ulichotaja hapo juu,yaani PCR kama na yeye anapotosha pia.Sikiliza kwa makini anachosema Profesa huyu kwenye link hapo chini halafu sema wapi amepotosha.Hii ni video iliyomrekodi Prof.Kary Bank Mullis yeye mwenyewe akizungumzia uongo tuliomezeshwa kuhusu HIV/AIDS,kumbuka kwamba huyu ni profesa wa biochemistry na Nobel prize winner baada ya ugunduzi wake na ana akili zake timamu wakati anasema maneno haya.Sasa sikiliza mwenyewe kwa makini hapa chini halafu tuambie wapi kapotosha;

https://www.youtube.com/watch?v=uPYFjDSG0JU ....Nobel prize winner Kary Mullis challenges the AIDS myth.

2.Pia using a high resolution electro-magnetic microscope unaweza kuona virusi vya hiv....

SI KWELI.Kama unachosema ni kweli tuletee electromigraphs za huyo HIV kutoka popote pale duniani ambapo aliwahi kuonekana kwa njia hiyo.Labda wewe utakuwa unazungumzia cellular debris au typical type-C particles halafu umedanganyika kama ni HIV.Tuletee electromicrographs zake hapa ili wote tumuone huyo HIV anafananaje.Mimi nina hamu ya kumuona picha yake,maana nilikuwa nasikia hadithi zake tu tangu alipotangazwa mwaka 1984 na kale kawaziri kafupi pamoja na yule fisadi wa medical science Robert Gallo.

3.Antibody test ya HIV ni specific to antibodies against HIV....

SI KWELI.Kama ingekuwa kweli kusingekuwa na rundo la watu waliopima HIV+ halafu baadaye wakaja kupima HIV-.Mimi nilijidunga kwa makusudi damu ya mtu alipima HIV+ lakini nina test HIV- hadi leo hii.Ukijua ukweli huu ni raha sana,mimi najua raha yake ndio maana nataka wengine pia wajue,sasa watu kama wewe aidha hamjui ukweli au hamtaki kujua ukweli kwa sababu za kimaslahi.Ukitaka tunaweza kuonana kwa siri halafu nijidunge damu inayosadikika ina huyo HIV,na nina uhakika 100% nita test negative,kama hujaelewa hapo basi utakuwa umeshindikana.

4.The concept of HIV ni kubwa kuliko mkuu hapo juu anavyotaka tuamini...

Ungesema hivi; 'The deception about HIV ni kubwa kuliko uongo wowote katika sayansi kuwahi kutokea.'

5.Tuache kupotoshana maana HIV ni serious,, usiombe ikutokee....

Ungesema hivi;'Uongo kuhusu HIV/AIDS ni serious case ambayo kila mtu anatakiwa ajifunge mkanda kujisomea/kudadisi ili ajikwamue kutoka kwenye uongo huu.'

Ukitaka kujua ukweli wa hiki ninachosema,basi msikilize MGUNDUZI ORIGINAL wa huyo HIV mnayemkumbatia anavyosema hapa chini.Sasa msikilize kwa makini Prof.Luc Montagnier ambaye ndiye mgunduzi wa huyo HIV anavyosema halafu tuambie kama kasema kweli au kapotosha.Hapa ndipo nitakapojua wewe ni mtu wa aina gani.

Sikiliza kwa makini kwenye link hii hapa chini;

https://www.youtube.com/watch?v=ET0cgvo7UnM ....AIDS can be cured with proper nutrition-Prof Luc Montagnier.

6.Tuache watu na fani zao, hapa tunaongelea maisha ya watu..

Hizi ndio fikra za walio wengi,kwamba kama mtu kasomea lugha basi hawezi/hatakiwi kujua kuhusu sheria,au kama kasomea sheria basi hawezi/hatakiwi kujua kuhusu medicine.Fani haina mwenyewe,yeyote anayetaka kujua na ana uwezo wa kujua jambo/fani yoyote ile atajua tu bila kujali hapo mwanzo alikuwa na fani gani,usiwe na ubinafsi usio na maana.Haya ndio mambo yanayoturudisha nyuma kimaendeleo.

Yaani hata mashuleni kuna kasumba kama hizi,utaona mtu anang'ang'ania PCM halafu lugha hajui,au geografia hajui,sasa ndio nini?Watu kama hawa ukiwapeleka kwenye mazingira tofauti hawawezi wakaendana na mazingira hayo.Sasa nakufundisha kwamba binadamu yeyote anatakiwa kuwa generalist,yaani awe na elimu angalau kidogo kuhusu kila sekta ya elimu kama vile Biology,chemistry,geography,mathematics,language,economics,Money science,politics,history nk.

Sasa nimekuwekea video mbili peke yake kwa kuanzia,kama unataka scientific papers pia utapata,lakini hebu tuanzie hapo kwenye hizo video.Tuchambue video kwanza.

Wewe sio wa kwanza kuwa ktk denial, we nako walianza zamani. Pia, acha uongo kwamba ulijidunga damu ya mtu positive, face it bro,, you don't have the guts!!
 
kila ugonjwa unapoingia mwilin unakua specific receptor cell ambayo huo ugonjwa unategemea il uweze kuenea mwilin,mfano malaria wanategemea yt blood cells (WBC)Ili waendelee kujiproduce mwilin, so mwil utatengeza specific ant bodies za malaria,hvo hvo na kwa magonjwa mengne
 
Wewe sio wa kwanza kuwa ktk denial, we nako walianza zamani. Pia, acha uongo kwamba ulijidunga damu ya mtu positive, face it bro,, you don't have the guts!!

Soma hii makala hapa chini utaelewa,...

Hutaki kujibu hoja zangu za msingi,badala yake una copy na ku paste mzigo wa maandishi ambayo hayako kimpangilio na yana ukakasi kuyasoma.Ni afadhali ungetoa link watu wafuatilie wenyewe.Kwa akili yako unadhani hayo mimi siyajui,mambo hayo nilishayajua muda mrefu sana huko nyuma,wewe unastuka leo hii.

Pia hata huna uelewa wa western medical system ilivyo,ndio maana nilikwambia wewe bado sana.Walioandika hayo mambo ni hao hao wenyewe,wewe hujui hilo,sasa toka lini mtu akaikashifu kazi yake mwenyewe?

Huna hata dira na hujui uzungumze nini,hoja za msingi hutaki kujibu.OK,wewe unawapinga HIV/AIDS denialists,sasa mimi nimekubandikia link mojawapo inayoonesha pro HIV/AIDS,Prof Luc Montagnier akisema mambo ambayo ni tofauti kabisa na ninyi madaktari wengine mnavyosema,nikakuuliza,Je,mgunduzi huyu naye amepotosha?Kama kapotosha tuambie ukweli ni upi?Ninyi wote mnategemea basics za HIV/AIDS kutoka kwa huyu mgunduzi,sasa tuambie kama amepotosha kwenye ile video.

Maswali haya muhimu unayakimbia na badala yake unashusha mzigo wenye ukakasi kuusoma huku ukijiona kama ni mjanja sana kumbe hamna kitu.Lakini sikushangai kwa kuwa hata darasani ndivyo mlivyokuwa,mnapenda sana ku copy kazi za wengine,mitihani pia mlikuwa mnaibia.Ndio maana huna uwezo wa kujadiliana na mimi kwa hoja.

Usikimbie hoja za msingi,jibu hoja kama wewe kweli unajua,usituwekee rundo la maandishi ya ku copy hapa,andika unachokijua kwa kiswahili ili kila mtu akuelewe una hoja gani.

Halafu unaposema mimi sikujidunga hiyo damu,mimi ni muongo,Je,una uhakika kama kweli mimi ni muongo?Ulishawahi kuniona?Nilikupa nafasi tukutane ili uone kwa macho yako mwenyewe nikifanya hivyo,Je,uliitumia hiyo nafasi kuthibitisha kama mimi ni muongo?Vita kati yangu na ninyi mnaonufaika kwa kudhulumu uhai wa wengine wasioelewa haitaisha hadi muda wangu wa kuishi hapa duniani utakapokwisha.Mnanuka dhambi na hamna hata chembe ya huruma,mnawalisha watu ARVs maisha yao yote,mnategemea nini?Mtu akifa mnasema HIV ndio amehusika,hivi hamjiulizi mtu kula dawa zenye sumu kila siku maisha yake yote anapata athari gani?Ubongo wenu una matatizo sana ninyi.

Mkiambiwa ARVs zina madhara makubwa na ndio yanayoua,eti mnasema "si wote wanaopata madhara hayo",hivi unafanya uchunguzi wako wewe?au unakurupuka tu kupinga.Sasa nakupa homework,fanya uchunguzi wako kwenye vituo vya afya kwa wale wote waliolazwa hospitali wanaotumia ARVs utaona wana matatizo yafuatayo;

1.Moyo, 2.Ini, 3.Figo, 4.Cancer yoyote ile, 5.Matatizo ya damu/anaemia, 6.Kisukari. Matatizo mengine madogomadogo ni; Nywele kuwa dhaifu/kunyonyoka,ngozi kufubaa/kuota vipele/vidonda/kuwasha,kuvimba vitezi shingoni nk.

Haya yote ni madhara ya ARVs na ndio yanayowaua,hakuna hata tatizo moja hapo juu linalosababishwa na HIV.

Don't take my words,just do your own research,fanya uchunguzi wako wewe mwenyewe na uje hapa tena kutoa marejesho.

Watu hamna elimu ya kutosha halafu mnakurupuka kupinga tu.
 
Ila we jamaa Deception hoja zako zinamashiko usije tufanya watu tukapiga kavukavu

He he hee,ndio maana nilisema kwamba,HIV/AIDS ni imani kama zilivyo imani nyingine,hata kama mtu ataona haya ninasema yana ukweli bado atarudi kulekule kwenye imani yake kwamba HIV causes AIDS,HIV anaambukizwa kwa njia ya ngono na HIV hana dawa ya kumtoa mwilini.

Wewe unazungumzia kufanya ngono mara moja moja tu,Je,unajua kwamba kuna ndoa nyingi sana(hata hapo jirani yenu inaweza kuwepo) mmoja amepimwa HIV+ lakini mwingine ni HIV- na wameishi miaka mingi na wamezaa watoto katika hali hiyohiyo na watoto nao ni HIV-?Sasa kama hawa wako hivi,itakuwa wewe unayefanya mara moja moja tu?Fanya uchunguzi wako utaliona hili.

Siku utakapoanza kudadisi tu,ndipo utakapoanza kujitoa kwenye kifungo hiki taratibu.Asikwambie mtu,kuujua ukweli huu ni raha sana,unakuwa huru na hutakuwa na woga tena pindi wewe au ndugu yako yeyote atakapokuwa anaumwa umwa,utajua nini cha kufanya.Lakini kama hujui,utakuwa mtumwa na wazo lako la kwanza ni kufikiria kwenda kupima HIV,hapo ndipo utakapojipa tiketi ya kula ARVs ambazo ndio kitanzi chako.
 
Hutaki kujibu hoja zangu za msingi,badala yake una copy na ku paste mzigo wa maandishi ambayo hayako kimpangilio na yana ukakasi kuyasoma.Ni afadhali ungetoa link watu wafuatilie wenyewe.Kwa akili yako unadhani hayo mimi siyajui,mambo hayo nilishayajua muda mrefu sana huko nyuma,wewe unastuka leo hii.

Pia hata huna uelewa wa western medical system ilivyo,ndio maana nilikwambia wewe bado sana.Walioandika hayo mambo ni hao hao wenyewe,wewe hujui hilo,sasa toka lini mtu akaikashifu kazi yake mwenyewe?

Huna hata dira na hujui uzungumze nini,hoja za msingi hutaki kujibu.OK,wewe unawapinga HIV/AIDS denialists,sasa mimi nimekubandikia link mojawapo inayoonesha pro HIV/AIDS,Prof Luc Montagnier akisema mambo ambayo ni tofauti kabisa na ninyi madaktari wengine mnavyosema,nikakuuliza,Je,mgunduzi huyu naye amepotosha?Kama kapotosha tuambie ukweli ni upi?Ninyi wote mnategemea basics za HIV/AIDS kutoka kwa huyu mgunduzi,sasa tuambie kama amepotosha kwenye ile video.

Maswali haya muhimu unayakimbia na badala yake unashusha mzigo wenye ukakasi kuusoma huku ukijiona kama ni mjanja sana kumbe hamna kitu.Lakini sikushangai kwa kuwa hata darasani ndivyo mlivyokuwa,mnapenda sana ku copy kazi za wengine,mitihani pia mlikuwa mnaibia.Ndio maana huna uwezo wa kujadiliana na mimi kwa hoja.

Usikimbie hoja za msingi,jibu hoja kama wewe kweli unajua,usituwekee rundo la maandishi ya ku copy hapa,andika unachokijua kwa kiswahili ili kila mtu akuelewe una hoja gani.

Halafu unaposema mimi sikujidunga hiyo damu,mimi ni muongo,Je,una uhakika kama kweli mimi ni muongo?Ulishawahi kuniona?Nilikupa nafasi tukutane ili uone kwa macho yako mwenyewe nikifanya hivyo,Je,uliitumia hiyo nafasi kuthibitisha kama mimi ni muongo?Vita kati yangu na ninyi mnaonufaika kwa kudhulumu uhai wa wengine wasioelewa haitaisha hadi muda wangu wa kuishi hapa duniani utakapokwisha.Mnanuka dhambi na hamna hata chembe ya huruma,mnawalisha watu ARVs maisha yao yote,mnategemea nini?Mtu akifa mnasema HIV ndio amehusika,hivi hamjiulizi mtu kula dawa zenye sumu kila siku maisha yake yote anapata athari gani?Ubongo wenu una matatizo sana ninyi.

Mkiambiwa ARVs zina madhara makubwa na ndio yanayoua,eti mnasema "si wote wanaopata madhara hayo",hivi unafanya uchunguzi wako wewe?au unakurupuka tu kupinga.Sasa nakupa homework,fanya uchunguzi wako kwenye vituo vya afya kwa wale wote waliolazwa hospitali wanaotumia ARVs utaona wana matatizo yafuatayo;

1.Moyo, 2.Ini, 3.Figo, 4.Cancer yoyote ile, 5.Matatizo ya damu/anaemia, 6.Kisukari. Matatizo mengine madogomadogo ni; Nywele kuwa dhaifu/kunyonyoka,ngozi kufubaa/kuota vipele/vidonda/kuwasha,kuvimba vitezi shingoni nk.

Haya yote ni madhara ya ARVs na ndio yanayowaua,hakuna hata tatizo moja hapo juu linalosababishwa na HIV.

Don't take my words,just do your own research,fanya uchunguzi wako wewe mwenyewe na uje hapa tena kutoa marejesho.

Watu hamna elimu ya kutosha halafu mnakurupuka kupinga tu.

Haha, yo just bluffing in shame!! Poor you!! Nimejaribu kuweka article yote na sio link ili kuweka kumbukumbu ya maneno.
Unakomaa na hyo video, ila kumbuka hata aliyegundua umeme hakuwahi kuuperfect!! Hakuna mwenye haki miliki na scientific findings. People with better knowledge and knowhow will always perfect and outperform you. And that is simply science. Yeye uwezo wake uliishia hapo,, sio kwamba ana hati miliki kuhusu kuelewa kirusi alichogundua.

Hujui basis ya scientific studies wewe. so it's a waste of your, and what is INFINITELY WORSE , A WASTE OF MY TIME.. so, suck it!!
 
mkuu ninavyojuwa kwenye alere kama una malaria kali inadetect positve

Mkuu, kama ndo hivyo kweli basi hii 'HIV/AIDS' hypothesis ni dudumizi na kizungumkuti kikubwa sana. Kama hicho ulichokisema ni kweli, najaribu ku-imagine ni watu wangapi leo hii wapo under pressure/stress (au under ARVs) baada ya kupewa majibu ya HIV+ yaliyosababishwa na malaria mwilini?!!!! Hii ni hatari aisee

BUT, why 'tips' kama hizi haziwekwi wazi kwenye jamii ?? WHY?
 
mkuyati og , ahsante sana mkuu kwa michango yako ambayo inatufunza mengi. Nina hoja zifuatazo, naomba usichoke kutupa elimu...

(A) Umeeleza kwamba ''ANTIBODIES do differ, in class, type and function. Even antibodies of the same class or type also differ depending on aina ya mdudu. Antibody test ya HIV ni specific to antibodies against HIV. ''

Nimeelewa vizuri sana mkuu, ila nina concern ya nYongeza: Kuna madai kwamba hizo 'specific' antibodies against HIV zaweza pia kuwa produced due to infections zingine kabsa mfano MARALIA. Pia kwamba MIMBA yaweza sababisha mwili ukaproduce hizo 'specific' antibodies against HIV !! JE UNALISEMEAJE HILI ??

(B) Umeeleza kwamba ''viral load ya HIV ni specific to HIV virus, haiinclude virusi ama wadudu wa aina nyingine''. Je hii inamaanisha kwamba kirusi wa HIV anaonekana physically (to be isolated) kabsa ili kupima/kupata viral load yake?? na Je ni kipimo gani kinachopima hiyo viral load?

Alafu kwa vile 'VIRAL LOAD' ni specific to HIV virus only, na haiinclude virusi ama wadudu wa aina nyingine (according to you), basi nadhani walitakiwa waiite 'HIV LOAD' ili kuwa 'specific' coz mwilini kuna virusi/wadudu wa aina mbali mbali. Mtazamo wangu.

(C) Umeeleza kwamba... ''The only scenario ambayo antibody test inakuwa sio conclusive ni pale ambapo utampima mtoto chini ya miezi 18 waliozaliwa na mama wenye maambukizi ya HIV sababu kipindi cha mimba na wakati wa unyonyeshaji antibodies hizi hupita na kufikia mfumo wa damu wa mtoto hivyo ukipima wakati huu unaweza kupata a false positive test maana antibodies ulizopima ni zile zilizotoka kwa mama ...''

HOJA: Just by common sense... mama mjamzito kutest HIV+ ni lazima/must pia na mtoto atazaliwa akiwa HIV+, maana mtoto akiwa tumboni anashea damu, oxygen, chakula n.k kutoka kwa mama. BUT mbona kuna wajawazito wanatest HIV+ na hawatumii ARVs ila wanazaa watoto HIV- ????

(D) Mkuu pia umetuelimisha kwamba... ''virus vya HIV pia hutofautiona kwa types na jinsi gani vina uwezo wa kusababisha dalili za ugonjwa haraka, ... Inategemea tu huyo anayekupa atakupa aina ngapi, ndio maana hata wawili wenye maambukizi bado tunashauri watumie kinga ili wasibadilishane virus wapya...''

SWALI: Je mpaka sasa, kuna types ngapi za huyu kirusi wa HIV? Je ni kweli kwamba hizi types za HIV hutofautiana kwa eneo na eneo? i.e. bara na bara (yaani regionally), mfano nasikia eti HIV wa Africa ni tofauti na HIV wa America or Europe, pia nasikia eti HIV type ya East Africa ni tofauti na HIV type ya West Africa. Hii ikoje mkuu

BY THE WAY, nilitegemea kwamba dunia nzima kungeenea Kirusi cha HIV aina moja tu kile kile kilichogunduliwa by Dr Luc & Gallo !!

(E) Kuna baadhi ya watu wanatest HIV+ na wanakaa bila kuugua (very healthy) kwa muda mrefu tu, i.e. huyo kirusi anakuwa harmless mwilini kwa muda wa miaka 10 au 15 ndipo mtu anaanza kuugua AIDS!
My concern now... mbona huu ni mda mrefu sana?? Hili wewe halikufanyi ufikiri tofauti (just to think out of the box) kuhusu HIV/AIDS hypothesis?

(F) Kuhusu ''denialism''.
Mimi binafsi sijawahi kusikia either HPV denialism! wala HEPATITIS B denialism! wala INFLUENZA denialism! n.k (I stand to be corrected). But nimekuwa nikisikia kuwa kuna HIV/AIDS denialism by competent/expert personnels of medical science. Why DENIALISM on HIV/AIDS, and not other many viral diseases?? Hili wewe halikufanyi ufikiri tofauti (just to think out of the box) kuhusu HIV/AIDS hypothesis?

Elimu muhimu sana hii. Usichoke kutuhabarisha mkuu.

Namshukuru pia mkuu Deception kwa kukubali uchokozi ili kushea knowledge katika suala hili.
 
Last edited by a moderator:
Dear All
This subject is a bit complex but as an expert in the field of HIV testing since 1986 nitajaribu kurahisisha kidogo
1 detection of HIV antibodies is one of the methods to diagnose infection. The other test detect HIV antigen (p24). These tests are very sensitive and specific although some may give false positive or false negative results
2. Using PCR. Method one can also diagnose HIV infection. This is done for children below 18 months because of possible presence of maternal antibodies
3. HIV. Viral load and CD4 are used to monitor the disease but not diagnosis.
As a mater of principle antibodies produced by viral of bacterial infections are specific

In RED, so mkuu unakiri kwamba mpaka leo hii kuna watu ambao wanakula ARVs ili kutibu false positive? Na je nini madhara kwenye afya ya mtu huyo?

By the way, how are they ''very sensitive and specific'' while they sometimes display false postive/negative?? This is interesting !
 
Ila we jamaa Deception hoja zako zinamashiko usije tufanya watu tukapiga kavukavu

He he hee,ndio maana nilisema kwamba,HIV/AIDS ni imani kama zilivyo imani nyingine,hata kama mtu ataona haya ninasema yana ukweli bado atarudi kulekule kwenye imani yake kwamba HIV causes AIDS,HIV anaambukizwa kwa njia ya ngono na HIV hana dawa ya kumtoa mwilini.

Wewe unazungumzia kufanya ngono mara moja moja tu,Je,unajua kwamba kuna ndoa nyingi sana(hata hapo jirani yenu inaweza kuwepo) mmoja amepimwa HIV+ lakini mwingine ni HIV- na wameishi miaka mingi na wamezaa watoto katika hali hiyohiyo na watoto nao ni HIV-?Sasa kama hawa wako hivi,itakuwa wewe unayefanya mara moja moja tu?Fanya uchunguzi wako utaliona hili.

Siku utakapoanza kudadisi tu,ndipo utakapoanza kujitoa kwenye kifungo hiki taratibu.Asikwambie mtu,kuujua ukweli huu ni raha sana,unakuwa huru na hutakuwa na woga tena pindi wewe au ndugu yako yeyote atakapokuwa anaumwa umwa,utajua nini cha kufanya.Lakini kama hujui,utakuwa mtumwa na wazo lako la kwanza ni kufikiria kwenda kupima HIV,hapo ndipo utakapojipa tiketi ya kula ARVs ambazo ndio kitanzi chako.

Huwa ni zoezi gumu sana ku-unlearn jambo ambalo umeelekezwa na kuaminishwa kwa miaka mingi since utotoni. Ila kwakweli maelezo/majibu ya mkuu Deception yananifikirisha sana. Kuna kitu kipya kabsa ambacho kimeingia akilini mwangu na kimeanza kunifikirisha sana kuhusu HIV/AIDS. I am now desirous to probe zaidi na zaidi kwenye hili suala.

Knowledge is power!!!
 
Last edited by a moderator:
Bwana shemeji Kaveli mnaongelea vitu vigumu hivi usiku wote huu!! Au mie peke yangu ndio usiku kwangu!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu, kama ndo hivyo kweli basi hii 'HIV/AIDS' hypothesis ni dudumizi na kizungumkuti kikubwa sana. Kama hicho ulichokisema ni kweli, najaribu ku-imagine ni watu wangapi leo hii wapo under pressure/stress (au under ARVs) baada ya kupewa majibu ya HIV+ yaliyosababishwa na malaria mwilini?!!!! Hii ni hatari aisee

BUT, why 'tips' kama hizi haziwekwi wazi kwenye jamii ?? WHY?

1....kama ndo hivyo kweli basi hii 'HIV/AIDS' hypothesis ni dudumizi na kizungumkuti kikubwa sana...

Ndio maana nilisema,"There is no way to test for HIV",hakuna njia yoyote ile inayoweza kupima HIV,HAKUNA.

2.BUT, why 'tips' kama hizi haziwekwi wazi kwenye jamii ?? WHY?

Kwasababu zitaharibu biashara
 
Huwa ni zoezi gumu sana ku-unlearn jambo ambalo umeelekezwa na kuaminishwa kwa miaka mingi since utotoni. Ila kwakweli maelezo/majibu ya mkuu Deception yananifikirisha sana. Kuna kitu kipya kabsa ambacho kimeingia akilini mwangu na kimeanza kunifikirisha sana kuhusu HIV/AIDS. I am now desirous to probe zaidi na zaidi kwenye hili suala.

Knowledge is power!!!

Unajua mkuu,walioanzisha nadharia ya HIV/AIDS wanajua wazi mikanganyiko iliyopo kuhusu dhana hii,ndio maana wanakuna vichwa kutunga nadharia nyingine za uongo ili kurubuni akili za watu na kuwafanya wasiwe na mashaka na suala zima la HIV/AIDS.Mifano;

1.Watu waliopima HIV+ kwa miaka mingi sana lakini hawaugui hata kama hawatumii ARVs huitwa CARRIERS.

2.Wanandoa wanaoishi pamoja muda mrefu lakini mmoja ni HIV+ lakini mwingine ni HIV- huitwa DISCORDANT COUPLES.

3.Baada ya kuona watu wenye huyo HIV wanaugua kwa viwango na kasi tofauti katika maeneo tofauti duniani wakaja na nadharia ya HIV-1 na HIV-2.

SWALI:
Je,mimi niliyejidunga damu ya mtu alipima HIV+ na baada ya muda mrefu nilipima HIV- watatumia nadharia gani kujibu huu mkanganyiko?Inabidi tuwaite WHO waje Tanzania kunifanyia uchunguzi.Ha ha haaa,kweli knowledge is power.
 
Haha, yo just bluffing in shame!! Poor you!! Nimejaribu kuweka article yote na sio link ili kuweka kumbukumbu ya maneno.
Unakomaa na hyo video, ila kumbuka hata aliyegundua umeme hakuwahi kuuperfect!! Hakuna mwenye haki miliki na scientific findings. People with better knowledge and knowhow will always perfect and outperform you. And that is simply science. Yeye uwezo wake uliishia hapo,, sio kwamba ana hati miliki kuhusu kuelewa kirusi alichogundua.

Hujui basis ya scientific studies wewe. so it's a waste of your, and what is INFINITELY WORSE , A WASTE OF MY TIME.. so, suck it!!

Huko kwenye crafting sikuwezi,kwa kuwa ndio fani yako,ila ukija kwenye nondo lazima nikupoteze.Kwakuwa unalijua hilo, ndio maana ukaamua kuingia kwenye fani yako ya kufanya crafting.

Kuna baadhi ya madaktari wenzako wameitwa pia kwenye uzi huu lakini hawakujitokeza,si kama hawajauona uzi huu,la hasha,bali wameniona mimi pia nipo ndani ya nyumba,ndio maana wakajisalimisha mapema kwa kuwa wanaujua mziki huu.

He he heee,nimecheka sana ulivyoamua kujirusha mwenyewe nje ya fence.Ukiniona sehemu nyingine yoyote humu JF,iwe kwenye siasa,uchumi,science,afya nk, usikurupuke kuingia kabla hujafanya revision.
 
Nitaandika kwa lugha ya kawaida ili ujumbe uwafikie watu wengi zaidi...

1. Inawezekana kabisa kupima na kuisolate kirusi i.e virus (kwa hapa namaanisha HIV maana ndio thread inachohitaji) ukajua na aina yake na ukapatakujua kama anaresistance ya dawa ipi ya matibabu. Lakini jambo hili linahitaji uwepo wa maabara zilizobobea, katika kuhakikisha unamfikia end user ni rahisi kupeleka kipimo kwa mlaji kuliko kumleta mlaji kwa kipimo hivyo basi kuna vipimo ambavyo sensitivity yake na specificity inaridhisha na kuvifanya kuwa rahisi zaidi kumfikia mtu (as point of access test) na kurahisisha utoaji wa huduma. Ndio maana kwa baadae akishajulikana ana maambukizi ya HIV zinafanyika VIRAL Load tests kujua wingi wa hao virusi na kujua kama wana resistance na dawa.

Bottom line hizo antigen-antibody test zinawekwa kwa sababu ya urahisi wake kwa maana ya gharama na urahisi wa kuzisambaza kwenye eneo kubwa zaidi la watu. Hii ni dhana nzuri zaidi kama unataka kupambana na ugonjwa ulioenea zaidi kwenye jamii husika.

2. Antibodies ni kinga za awali zinazotengenezwa na mwili wa binadamu dhidi ya vimelea fulani mwilini. Kila kimelea kinasababisha mwili utengeneze antibodies ambazo zinakuwa mahususi kwa ajili ya kimelea husika, hivyo kuna antibodies nyingi sana kutegemea na vimelea ambavyo vimeweza kushambulia au kutambuliwa na mfumo wa kinga wa mwili.

3. Kuna virus wengi sana kutoka kwenye familia kubwa sana, ambao kimsingi wote wanaweza kupimwa kwa kipimo cha viral load. Ila hicho unachokizungumzia hapa ni specific kwa HIV kwa sababu lengo kuu ni kujua wingi wa copy za virusi walio katika mwili wa binadamu, kadri copies hizo zinavyokuwa kwa kiwango cha chini, ndivyo binadamu huyo atakavyo kuwa na kinga madhubuti mwilini mwake. Hiyo CD4 test ilikuwa inaangalia masalia ya seli hai za CD4 ambazo ndio kimsingi hushambuliwa zaidi na hao HIV, ila sio kipimo kizuri kwa kiasi hicho, na ndio maana baada ya serikali kupiga hatua kimaendeleo, kwa sasa wagonjwa wanafuatiliwa maendeleo yao kwa kuangalia kiwango cha virusi waliopo mwilini kwa maana ya Viral load.

Naona niishie hapa i hope nimesaidia kimawazo!
 
Back
Top Bottom