tamadunimusic
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 551
- 559
Pamoja mkuu nimekuelewa, ila katika logic ya kawaida panapokuwa na majibizano ya hoja baina ya pande mbili mara nyingi waga kunakuwa na conclusion ndomana nikaulizia, ila kwa issue yenyewe ilivyo sensitive kupata conclusion ni kazi, shukrani kwenu hakika tumeambulia mengi kupitia huu Uzi.mkuu uzi unaendelea kama kawa.
Katika hili jambo, naona kila mtu anafikia conclusion yake binafsi. Ukitaka a compromised 'consensus' on HIV and/or AIDS, utasubiri sana mkuu.
Soma, elewa, elimika.
-Kaveli-
dada Sky Eclat , thanks a bunch for sharing the link to the Article. I have checked it top to bottom.
It has been now a tendency of these scientific medical studies on HIV to always pop-up with a very 'promising' insights towards the so called 'CURE for HIV'. But in reality, it looks that there is still a long way to go to realize the so called 'cure for HIV, and highly probable this will be a 'life-time' cure hunt due to the hidden agenda behind the scene since day one of this deadly nightmare. People are making good life out of this thing, if you know what I mean!
Otherwise, let the world keep day-dreaming of having a 'long shot' to kick the so called 'HIV' from the medics. It is said that HOPE sustains life. As such, let this sick planet carry-on being in 'hope-mode' .
On a serious note, always be risk-conscious and remember to 'play' safely coz STIs are real.
-Kaveli-
Your very right Kaveli, first of all it's still a lab trial and it will take some years for this to be tested on animals before being introduced to human beings, however as you mentioned earlier such news give people internal locust, there is nothing greater in life than having a hope.
We have to protect ourselves always, and this is not for young people only, I have seen middle aged women after marriage break down now starting dating again, because you are in menopause stage does not mean you are immune to STD's.
dada Sky Eclat , you are brilliant lady! Yep, that's correct. Some women, their sex drive gets higher during menopause.
As long as sexual desire is inevitable to anyone regardless of age (young, youths, matured), then 'risk-consciousness and protection' should be our primary center of attention.
Given the fact that sex is the key driver to STIs, the world has to realize that Safe Sex should be a 'must' part of the package throughout our sex life.
The presence of known STDs should serve as a 'wake-up' call in our communities. But instead, people are being overwhelmed by sexual urge for the short-time pleasure. Despite all the health risks and alerts, people are still running 'bare-foot' in the jungle. lol
Yep dada'ake, as people continue to wave the web of HOPE, they become Warriors of Survival !
Notwithstanding the above lines, my paramount hope is that queen Sky Eclat will soon take me to the 'Sky with paradise'. lol
-Kaveli-
Kaka mambo vipi?Mr Kaveli naona bado unaundeleza uzi tu.
Mr Kaveli naona bado unaundeleza uzi tu.
Mkuu Kigonzile, habari za masiku mengi.
Wadau wanazidi kuufukunyua uzi huu Mkuu.
Cha ajabu, wengine wanauliza maswali yale yale ambayo yameshajibiwa na kujadiliwa sana humu. Sijuwi ni uvivu wa kusoma ama ni pure lazy mind. lol
Mkuu nimekuPMYes! ni kweli mkuu. Wadau wengine walikuwa busy kwenye forums nyinginezo tu, si unajua suala la afya watu hawalipi kipaumbele sana thats why waafrika tunaugua magonjwa mengi ya ajabu, mara kisukari, mara upungufu wa nguvu za kiume, mara kansa, mara figo imefeli. We are suffering due to lack of knowledge.
Mkuu nimekuPM...Siku zote huwa nawaambia watu kama ninyi kwamba; Kuona si kuelewa,au waswahili wanasema kwamba kukaa karibu na mahakama si kujua sheria.Huwa ninasema mara nyingi kwamba,ili uone au usikie kitu na kukielewa inabidi uwe na elimu/uelewa wa kutosha kuhusu kitu hicho.
Sasa soma kwa makini hapa chini ujue tatizo lako liko wapi;
1.".....shemeji yangu ni mgonjwa mahututi...."
Shemeji yako anasumbuliwa na ugonjwa/magonjwa gani?Yataje.Kusema tu mahututi haitoshi.Halafu taja matatizo yake halisi,usiniambie anasumbuliwa na HIV au UKIMWI,sema hasa anaumwa ugonjwa/magonjwa gani,yataje yote.
2."...Miaka 15 iliyopita alipimwa na kugundulika ana vvu..."
Sasa hapa ni vizuri ungetaja sababu zilizomfanya yeye aende kupima,jambo hili ni muhimu sana hata kama utalidharau.Pia ingekuwa vizuri sana ungetuelezea bila kutuficha/kutudanganya kuhusu aina ya maisha aliyokuwa anaishi huyo ndugu yako hasa kwenye suala la misosi,vinywaji,matumizi ya madawa mbalimbali ya hospitali nk kabla hajaenda kupima.Na je,wakati alikuwa anaenda kupima alikuwa na ugonjwa wowote?Mambo haya ni ya msingi pia tukayajua.Usifiche chochote kile kwa lengo la kunikwamisha.
3."....wakati huo kinga zilikuwa juu.."
Hapa inabidi utuambie wazi kwamba ni kinga ilikuwa juu au CD4 zilikuwa juu?Fahamu kwamba kinga ya mwili kwa ujumla ni tofauti na CD4 pekee,unalijua hilo.CD4 pekee sio kinga ya mwili.Sasa tuambie aliambiwaje kuhusu kinga yake,usiseme tu kwamba kinga iko juu,kusema hivi kwa mtu kama mimi unakuwa bado hujasema kitu cha maana.
4."..Miaka 5 baadae akaanza kuugua magonjwa tofauti..."
Narudia tena,yataje hayo magonjwa tofauti ni magonjwa gani?
5."...hali ilikuwa mbaya sana daktari walimwanzishia arv. Baada ya kuanza kutumia hizo dawa hali yake ilitengemaa kabisa na kuendelea na maisha...."
Hapa lazima kuna kitu umekiacha:Kama kweli alikuwa anaumwa magonjwa tofauti,lazima daktari alimpa mgonjwa dawa nyingine za kutibu hayo magonjwa ukiachilia mbali hizo ARVs alizopewa.Tuweke wazi hapa,usifiche,alipewa dawa gani nyingine tofauti na hizo ARVs?Hawezi kupona magonjwa yake hayo kwa kula ARVs pekee,hawezi.Tuambie alipewa dawa gani nyingine.
6."...Mwaka mmoja uliopita aliacha arv.."
Sasa hii ndio sehemu muhimu kuwa makini kusikiliza/kutafakari ili uelewe.Kwa maelezo yako inamaanisha mgonjwa alitumia ARVs kwa miaka takribani 9.Kwa mtu aliyetumia ARVs kwa miaka 9,tayari mwili wake utakuwa umeshajengengewa ARVs dependence/utegemezi mkubwa sana kwenye ARVs,au tunaweza kusema kwamba mwili wake/kinga yake imeshapata addiction kubwa sana kutokana na matumizi ya ARVs kiasi kwamba akiacha ghafla bila shaka lazima baada ya muda usiozidi mwaka 1 ataanza kupata matatizo fulani.Baadhi ya matatizo haya huwa yanaendana kabisa na yale yanawapata watu wanaotumia dawa za kulevya halafu wakaacha ghafla.Matatizo haya hayamaanishi kwamba eti virusi vimeongezeka,la hasha,ni addictive effects tu,si kingine.
Baadhi ya matatizo haya ni kama vile,upungufu wa damu,kukohoa sana,kuwashwa mwilini,homa,kukonda,matazizo ya ini,figo,cancer yoyote na mengine mengi kutegemea na mgonjwa alikuwa anaishi vipi.
7."...Miezi miwili iliyopita ile hali ya kuugua imemrudia..."
Sasa hapa ni vyema ukatuambia anaumwa magonjwa gani hasa.Fahamu pia magonjwa haya hayawezi kutibiwa kwa kupewa tena ARVs,lazima apewe tiba husika za magonjwa husika.Kama ana upungufu wa damu basi aongezewe damu au madini ya chuma/folic acid nk.Madaktari wanalijua hilo,lakini hawampi ARVs kutibu tatizo hilo.Kama anakohoa watampa tiba husika na vivyo hivyo kwa magonjwa mengine.
Sasa tuambie ana magonjwa gani?
8."...Na niko naye hapa silali ninauguza!!.."
Pole sana kwa matatizo hayo.Lakini pia,kwa lengo ni kumnusuru mgonjwa,si vibaya tukashirikiana ushauri.Naomba uniambie anaumwa kitu/vitu/magonjwa gani hasa.Kumbuka,hamna mtu anayeumwa ukimwi,watu huumwa magonjwa yatokanayo na ukimwi bila kujali ukimwi huo umesababishwa na nini(VVU/HIV hasababishi ukimwi).Sasa yataje hayo magonjwa.
Fahamu kwamba,usahihi wa ushauri haujali ni mahali gani umeupata,hata kama umeupata hapa mtandaoni usahihi wake utabaki palepale.
Hebu tuanzie hapo kwanza,mgonjwa anaumwa magonjwa gani?Pia uko naye nyumbani au hospitali?
Ubaya unachanganya lugha bila sababu za msingiam not a doctor or medical laboratory neither but I know this like this,
when the body is attacked by diseases the first thing to be attacked is antibodies
kwa kuwa hii ni askari wa mwili wako kujikinga na maadui,so maadui wakisha shambulia mara nyingi level ya askari mwilini [antibodies]huongezeka so kwenye upimaji wakiona askari wameongezeka wanajua kuwa kuna invasion ya ugonjwa mwilini
na ndio maana mfano kuna aina ya vipimio kwa mfano cappilus mara nyingi inasoma positive hata kwa maradhi sugu mfano kisonono,kaswende na mengine/
determinant atleast