Siku zote huwa nawaambia watu kama ninyi kwamba; Kuona si kuelewa,au waswahili wanasema kwamba kukaa karibu na mahakama si kujua sheria.Huwa ninasema mara nyingi kwamba,ili uone au usikie kitu na kukielewa inabidi uwe na elimu/uelewa wa kutosha kuhusu kitu hicho.
Sasa soma kwa makini hapa chini ujue tatizo lako liko wapi;
1.".....shemeji yangu ni mgonjwa mahututi...."
Shemeji yako anasumbuliwa na ugonjwa/magonjwa gani?Yataje.Kusema tu mahututi haitoshi.Halafu taja matatizo yake halisi,usiniambie anasumbuliwa na HIV au UKIMWI,sema hasa anaumwa ugonjwa/magonjwa gani,yataje yote.
2."...Miaka 15 iliyopita alipimwa na kugundulika ana vvu..."
Sasa hapa ni vizuri ungetaja sababu zilizomfanya yeye aende kupima,jambo hili ni muhimu sana hata kama utalidharau.Pia ingekuwa vizuri sana ungetuelezea bila kutuficha/kutudanganya kuhusu aina ya maisha aliyokuwa anaishi huyo ndugu yako hasa kwenye suala la misosi,vinywaji,matumizi ya madawa mbalimbali ya hospitali nk kabla hajaenda kupima.Na je,wakati alikuwa anaenda kupima alikuwa na ugonjwa wowote?Mambo haya ni ya msingi pia tukayajua.Usifiche chochote kile kwa lengo la kunikwamisha.
3."....wakati huo kinga zilikuwa juu.."
Hapa inabidi utuambie wazi kwamba ni kinga ilikuwa juu au CD4 zilikuwa juu?Fahamu kwamba kinga ya mwili kwa ujumla ni tofauti na CD4 pekee,unalijua hilo.CD4 pekee sio kinga ya mwili.Sasa tuambie aliambiwaje kuhusu kinga yake,usiseme tu kwamba kinga iko juu,kusema hivi kwa mtu kama mimi unakuwa bado hujasema kitu cha maana.
4."..Miaka 5 baadae akaanza kuugua magonjwa tofauti..."
Narudia tena,yataje hayo magonjwa tofauti ni magonjwa gani?
5."...hali ilikuwa mbaya sana daktari walimwanzishia arv. Baada ya kuanza kutumia hizo dawa hali yake ilitengemaa kabisa na kuendelea na maisha...."
Hapa lazima kuna kitu umekiacha:Kama kweli alikuwa anaumwa magonjwa tofauti,lazima daktari alimpa mgonjwa dawa nyingine za kutibu hayo magonjwa ukiachilia mbali hizo ARVs alizopewa.Tuweke wazi hapa,usifiche,alipewa dawa gani nyingine tofauti na hizo ARVs?Hawezi kupona magonjwa yake hayo kwa kula ARVs pekee,hawezi.Tuambie alipewa dawa gani nyingine.
6."...Mwaka mmoja uliopita aliacha arv.."
Sasa hii ndio sehemu muhimu kuwa makini kusikiliza/kutafakari ili uelewe.Kwa maelezo yako inamaanisha mgonjwa alitumia ARVs kwa miaka takribani 9.Kwa mtu aliyetumia ARVs kwa miaka 9,tayari mwili wake utakuwa umeshajengengewa ARVs dependence/utegemezi mkubwa sana kwenye ARVs,au tunaweza kusema kwamba mwili wake/kinga yake imeshapata addiction kubwa sana kutokana na matumizi ya ARVs kiasi kwamba akiacha ghafla bila shaka lazima baada ya muda usiozidi mwaka 1 ataanza kupata matatizo fulani.Baadhi ya matatizo haya huwa yanaendana kabisa na yale yanawapata watu wanaotumia dawa za kulevya halafu wakaacha ghafla.Matatizo haya hayamaanishi kwamba eti virusi vimeongezeka,la hasha,ni addictive effects tu,si kingine.
Baadhi ya matatizo haya ni kama vile,upungufu wa damu,kukohoa sana,kuwashwa mwilini,homa,kukonda,matazizo ya ini,figo,cancer yoyote na mengine mengi kutegemea na mgonjwa alikuwa anaishi vipi.
7."...Miezi miwili iliyopita ile hali ya kuugua imemrudia..."
Sasa hapa ni vyema ukatuambia anaumwa magonjwa gani hasa.Fahamu pia magonjwa haya hayawezi kutibiwa kwa kupewa tena ARVs,lazima apewe tiba husika za magonjwa husika.Kama ana upungufu wa damu basi aongezewe damu au madini ya chuma/folic acid nk.Madaktari wanalijua hilo,lakini hawampi ARVs kutibu tatizo hilo.Kama anakohoa watampa tiba husika na vivyo hivyo kwa magonjwa mengine.
Sasa tuambie ana magonjwa gani?
8."...Na niko naye hapa silali ninauguza!!.."
Pole sana kwa matatizo hayo.Lakini pia,kwa lengo ni kumnusuru mgonjwa,si vibaya tukashirikiana ushauri.Naomba uniambie anaumwa kitu/vitu/magonjwa gani hasa.Kumbuka,hamna mtu anayeumwa ukimwi,watu huumwa magonjwa yatokanayo na ukimwi bila kujali ukimwi huo umesababishwa na nini(VVU/HIV hasababishi ukimwi).Sasa yataje hayo magonjwa.
Fahamu kwamba,usahihi wa ushauri haujali ni mahali gani umeupata,hata kama umeupata hapa mtandaoni usahihi wake utabaki palepale.
Hebu tuanzie hapo kwanza,mgonjwa anaumwa magonjwa gani?Pia uko naye nyumbani au hospitali?