V.V.U na Upimaji wake (Coincidences)

Uko shallow sana kama nchi inajivunia kuwa na mtaalamu kama wewe kwenye sekta ya afya tumeliwa
 
Ivi dada angu ni kweli ukitumia mate katika kipimo cha H I V kama (buffer) ni kweli yanaweza kutoa jibu sahihi maana kuna sehemu nimeona?
Virus vinahesabika kwa wings kwenye damu na sperms. Mate labda kipimo kiwe advance sana
 
Ivi dada angu ni kweli ukitumia mate katika kipimo cha H I V kama (buffer) ni kweli yanaweza kutoa jibu sahihi maana kuna sehemu nimeona?

Mkuu mate kama buffer really? Sidhani hata hiyo test kama inaweza kutembea kwenye ile test kit,

Halafu kwanini utumie mate sababu hasa ni nini?

Walau ungesema utumie hata maji

Lakini angalizo usitimie buffer tofauti na ile uliyoikuta ndani ya box
 
Mkuu mate kama buffer really? Sidhani hata hiyo test kama inaweza kutembea kwenye ile test kit,

Halafu kwanini utumie mate sababu hasa ni nini?

Walau ungesema utumie hata maji

Lakini angalizo usitimie buffer tofauti na ile uliyoikuta ndani ya box
Kuna mtu aliandika hiki kitu kwenye hii hii page ndio nikataka uhakika.
 
Nilichogundua huu ugonjwa unatuua kwa kukosa maarifa tu na madaktari wetu hawa hawakijui hata nini wanafanya wamekariri tu.
 
Sasa we dada naona unatupiga kamba now maambukizi kwa ngono zembe ni michubuko hii ya sperms hii ebu elezea uzuri.
Semen carries free floating virus along side HIV infected leukocytes.
 
Mkuu kama unatumia pombe agiza captain morgan hapo nakuja kulipia.... Najiuliza tu hv hii Tanzania yetu inatambua nafasi za watu wenye uelewa mpana wa mambo kama we[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Big Up camanda kwa darasa hili
 
Thanx jamii forums maana hata sisi vilaza tunakuwa purofesheno kwa kupitia hizi siledi za ma'intelekichuo
 
Virus vinahesabika kwa wings kwenye damu na sperms. Mate labda kipimo kiwe advance sana
Nadhani hukuwa ume mwelewa vzr swal lake ngja niku saidie kidogo rafiki. Kwnye hizi rapid test kuna KIT na Buffer( maji yake) ambayo husaidia damu kukimbia kwenye kipimo chake. Buffer ni maji ambayo PH yake iko 7.0-72 siyo acid wala base. Sasa swali la mdau ni kwamba je unaweza tumia mate badala ya iyo buffer.. kwangu ni ndio maana mate PH yake iko katikat syo acid wala base na ndio maana enzymes wako... unaweza ukaweka mate kama hauna buffer.. pia unaweza tumia maji ya klmnjro, ya mvua, ata physiological saline kama DNS, NS( drip)
haa mym.
 

NS unaweza kutumia ila habari ya mate noooooo
 
Mate yanapima maana unapima wanapima antibody
Siyo kwel mkuu huu ni upotoshaji. Hawa virus tuna detect only antbody zao ambazo huwa kwenye serum na plasma hizi sehemu ya damu baada ya kuchujwa au kuwekwa antcoagulant ndo zna patkana. Nafkiri hamna fluid nyngne kwnye mwli inayoweza kuwa na antbody nying kiasi chaku wezesha contol line kwenye rapid test kusoma.

Ku thibitisha ili kama unayo Test kit ya HIV yyte eka microlitter kadhaa za mate contorl line ikisoma hiyo ita maanisha kipmo kinaweza soma mate, isipo soma basi utapata jibu.

NOTE: Bongo tuna detect only antigen kwa rapid test... na DNA kwa PCR lakn mdudu mwenyewe hatuwez muona maana ni intracellular.
 
Daah umenigusa na hili bandiko miaka kama saba iliyopita nliwahi kuwa ktk mahusiano na binti flan, ktk mahusiano yetu huyu binti alipata ujauzito na alipoanza kwenda klinik aliambiwa aende na mwenza wake kwaajili ya vipimo vya pamoja vya H. I. V, chakushangaza na kusikitisha mwenzangu alikutwa ni HIV positive na mimi nlikuwa HIV negative, nliumia nkamlaum mwenzangu labda katoka nje ikafikia hatua nlmwambia mwenza kuwa yawezekana hata mimba aliyobeba sio yangu, alipojifungua mtoto alichukuliwa damu ktk kisigino cha mguu akapimwa na akakutwa ni negative nkampima na DNA nkakuta ni mwanangu,nkaingia ktk sintofahamu, nliendelea kuwa ktk mahusiano na kufuata ushaur tuliopewa ili mwenzangu asijihic mpweke, maisha yakaendelea huku anameza ARV's nami navaa kinga mwaka jana mwezi wa saba nlitaka mtoto mwngne hvyo kama kawaida tulienda klinik kwa ushaur, cbakushangaza mke wangu alipopimwa alikutwa negative, kizungumkuti kwangu had kwa manesi.... Daah nna mengi ya kusema lkn leo naona mkuu Deception amejaribu kunitoa tongotongo na ukakasi ktk utumwa wa fkra
Cc:
Deception
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…