V.V.U na Upimaji wake (Coincidences)

V.V.U na Upimaji wake (Coincidences)

Hiyo research ulifanyia wapi? Weka paper uliyo publish ikitueleza utafiti wako hapa.. else ni porojo za kusimuliwa

Kuna wakati kama hujui usipotoshe. Huhitaji kufanya research kujua, unahitaji kusoma research za wengine. Watu wamesoma virogy darasani na wengine wamefanyia research wewe unabishA kwa elimu ya kitaa?

Heshimu knowledge ya wanajua wanachoongea.

Leave professionals waongelee professional stuff.

Ukitoka elimu yako tuu unapotosha umma.
 
uko sawa kabisa, kwnza ukumbuke tunachomkcredit mullis ni mchango wake kwenye pcr technique, pcr technique kama ilivyo haina uhusiano wa moja kwa moja na kuona HIV tu. pcr is for amplifying a specific segment of a gene or DNA sequence. hakuwa peke yake na hii technique ilianza kabla ya carl mullis....

......pia koch's postulate ya disease inahusika na imekuwa proven beyond doubt kuwa HIV is the sore cause of HIV na mimi nimeona na sio kuambiwa.... hapo ndo umedanganya mchana kweupe kabisa..

Nijibu maswali yangu hapa tafadhali..
1. Inakuwa vipi inapotokea hiv inaweza kuwa detected kutoka kwenye damu ya panya, nguruwe, mama mja mzito au mzee mwenye tezi dume?

2. Inakuwa vipi hiv anakuwa associated na magonjwa yapatayo 30 or more?

3. Ni lini hiv alishakuwa 'isolated' na genome yake ikasasambuliwa? Ni journal gani, volume gani na issue gani iliwahi ku report hiyo study?

Issue ya Thabo Mbeki ilikuwa valid na bado maswali yake kwa hiv proponents ni valid hadi leo.. unafaham figisu alizopigwa hadi akaondolewa kwenye urais? Unashindwa kuelewa logic ndogo kuwa hiv ni conspiracy.. ambayo msingi wake ni pesa.. watu wanaoelewa dunia wako bize kutafuta pesa.. na wanafahamu pesa ilipo.

Pesa iko kwa wajinga.. na wajinga ndio hupigwa. Jamii za kijinga hazina mbinu wala concept ya kufanya utafiti unaofanya kazi ( research that works) kuweza kutatua changamoto za kiafya katika jamii husika.

Opportunists mara nyingi hutumia fursa hizo kujipatia pesa baada ya kutwist kidogo ukweli. Maana wanajuwa wazi kuwa itaichukuwa jamii ya wajinga miaka hadi 50 kung'amua ukweli. Issue ya hiv haina utofauti. Mfano.. the whole of African continent is sick .. and really sick. Why? Because the continent is undernourished and malnourished.

Wajanja ili wapate pesa na baada ya kuona desparation iliyopo katika population wakaibuka na issue ya hiv (fake) badala ya ku address the MOTHER OF ALL DISEASES.. nutrition. Africa itaendelea kuwa the most diseased contintent until tutakapojifunza somo moja.. kurudi Eden.. produce African.. eat African, drink African. Tukifikia hapo.. hiv money zitakoma maana nchi haitatoa pesa tena kununua killer arvs and condoms..

NB: sina maslahi yoyote katika sakata la hiv.. ikiwemo maslahi ya kibiashara au vinginevyo, ispokuwa kutoa ufunuo sahihi kwa jamii yangu ili ifahamu ukweli na iuishi ukweli huo.

Tuendelee kujadili..
 
......pia koch's postulate ya disease inahusika na imekuwa proven beyond doubt kuwa HIV is the sore cause of HIV na mimi nimeona na sio kuambiwa.... hapo ndo umedanganya mchana kweupe kabisa..

Nijibu maswali yangu hapa tafadhali...

I agree
 
Pia koch's postulate ya disease inahusika na imekuwa proven beyond doubt kuwa HIV is the sore cause of HIV na mimi nimeona na sio kuambiwa.... hapo ndo umedanganya mchana kweupe kabisa...
Hizi Nondo ni zaidi ya Abdul. Educative and useful.

-Kaveli-
 
Hivi nessi au Mkunga anayepima watu anaweza kupredict kuwa unaMaambukizi kwa kuwaangalia pekee.Mwezi uliopita tulipiga repoti na Wife ili aanze clinic,sasa hata kabla hajatuchukua vipimo akatupa hongera.

Madai yake kuwa kwa uzoefu walio nao yaani ile Wakimuona Mteja au Mgonjwa wanafahamu kila kitu sema wanaamua kuthibitisha kwa kuchukua vipimo.

Baada ya kutuchukua vipimo majibu yakawa Damu zetu ni salama na akatupongeza na kutujulisha kuwa wao wanauzoefu na hiyo kazi.Maana wakishaona dalili wanaanza kuwaseti mapema na ushauri mwiiiingi sana.Nashukuru Mungu ameendelea kutulinda na pale nilitoka na Wosia kuwa PENDANENI JAMANI ACHENI UDANGANYIFU MUNGU HAPENDI
 
Wajanja ili wapate pesa na baada ya kuona desparation iliyopo katika population wakaibuka na issue ya hiv (fake) badala ya ku address the MOTHER OF ALL DISEASES.. nutrition. Africa itaendelea kuwa the most diseased contintent until tutakapojifunza somo moja.. kurudi Eden.. produce African.. eat African, drink African. Tukifikia hapo.. hiv money zitakoma maana nchi haitatoa pesa tena kununua killer arvs and condoms..
Hapa ndo ulipompiga nyoka kichwani, this is very true. Enzi hizo wazee wetu walikula vyakula 'og' na dawa walitumia mitishamba, hawakuumwa ovyo Kama Sasa na waliishi mda mrefu kuliko Sasa.

But since the introduction of Western food and medicine mambo yamekuwa worse day to day. Added sugar in processed foods, hizi dawa za kisasa kwa asilimia kubwa zinalegeza mfumo mzima wa kinga ya mwili (Mimi ni shahidi binafsi kwenye dawa za vidonda vya tumbo -H.pilori kit ni upuuzi mtupu).

Na ushahidi mkubwa kwenye hii ishu nzima ni namna Tanzania tulivyo 'covid-free' Ukiwa na akili timamu utaelewa vinginevyo utakokotwa Kama wanyama wa kufugwa.

Biashara ya dawa duniani ni kubwa mno, nchini marekani ipo kwenye soko la hisa na inafanya vizuri hatari hapa naongelea billion of dollars
 
'There is no way to test for HIV'/Hakuna njia yoyote inayoweza kupima HIV.HIV jina ambalo watu wawili tu wamekaa na kuamua kulipachika kundi fulani la 'genetic materials' jina hilo. Mpaka sasa tunapozungumza,HIV hakuwahi kunyofolewa kutoka kwenye damu ya mtu yeyote yule(HIV has never been isolate/purified,I can rather say that HIV is a belief but not fact)...
Asante sana
 
Mada tamu sana hii.
Nimesoma page zote na nimejifunza mengi sana ambayo nilikuwa siyajui.

Mjadala wa mada hii ulizua hoja nyingi za msingi ambazo bado zipo unaddressed.

Suala la HIV na upimaji wake, maswali ni mengi kuliko majibu.

Tuendelee kujifunza.

-Kaveli-
 
Hapa ndo ulipompiga nyoka kichwani, this is very true. Enzi hizo wazee wetu walikula vyakula 'og' na dawa walitumia mitishamba, hawakuumwa ovyo Kama Sasa na waliishi mda mrefu kuliko Sasa...

Kilichoimaliza Africa ni adoption of western life styles and traditions.

Drug industry does NOT create CURE. They create CUSTOMERS.

-kaveli-
 
Hivi nessi au Mkunga anayepima watu anaweza kupredict kuwa unaMaambukizi kwa kuwaangalia pekee.Mwezi uliopita tulipiga repoti na Wife ili aanze clinic,sasa hata kabla hajatuchukua vipimo akatupa hongera.Madai yake kuwa kwa uzoefu walio nao yaani ile Wakimuona Mteja au Mgonjwa wanafahamu kila kitu sema wanaamua kuthibitisha kwa kuchukua vipimo...

1. Uzoefu. Experience matters a lot.

2. Vipimo ndivyo huthibitisha.

3. Je, vipimo hivyo ni reality? ama ni hoax? Hapa ndo bado dilemma.

-Kaveli-
 
Kwa ufahamu wangu HIV ni virus na virus watu hupima kwa style ya kuona antibodies, kama sikosei, Magonjwa mengi ya virus huanza kwa kishindo lakini kadili mda unavyoenda watu wengine hujenga immunity na hivyo huo ugonjwa kutokua tishio tena,,in the case of HIV ndo maana utaona mtu anafanya uasherati mpaka basi na humwoni kafa na ukimwi.

Mtu kama amberlulu,usikute ameshajijengea immunity dhidi ya HIV..😁😁
 
Kilichoimaliza Africa ni adoption of western life styles and traditions.

Drug industry does NOT create CURE. They create CUSTOMERS.

-kaveli-
Kweli kabisa, wateja wakizoea dawa wanakuwa 'mateja' wa dawa.
ARVs sijui zimeingiza shi ngapi mpaka dakika hii toka zianze kuzalishwa
 
Hii mada ni moto hasa nimefanikiwa kusoma page zote,lakini bado maswali lukuki hayaishi kichwani!
 
Back
Top Bottom