V.V.U na Upimaji wake (Coincidences)


causes of these immuno deficiency states can be
1. genetical
2. virus induced like HTLV1


examples of immono defieciency diseases by common names
1.agammaglobulinemia
2.x-linked Brutons's agammaglobulinemia
3. common variable immonodeficiency(CVI) incidence is 1 in 25,000 and it occurs from the age of 21 years to 71
4. IgA deficiency
5. isolated IgG subclass deficiency
6. severe combined immono deficiency(SCID)
7. DiGeorge anomaly
8. purine neucleoside phosphorylase deficiency
9. wiskott-Aldrich syndrome
10. defect of neutrophil function
11.chronic granulomatous disease (OGD) na hii huanza mtoto akiwa na mwaka mmoja anavamiwa na bacteria, fungus burkholderiacepacia
12. leukocyte adhetion defieciency
13.complement deficiency
 
Sina hakika kama malaria...kipindupindu ....tb...etc unamkanganyiko wa kitaalamu kama ulivo ukimwi...

Hahaha ukielewa au ukitaka wewe haina mkanganyiko ila usipoelewa au usipotaka wewe ina mkanganyiko. Sayansi sio dini.
 

Mimi najua kinachosababisha watu wadhoofu kama nitapewa nafasi ya kuchangia mawazo kwa daktari anayempima mgonjwa.Unajua unaweza kuona kama ni complicated lakini ni rahisi sana kujua,mimi mbona nawachomoa wengi tu katika mitego hii?Hebu kama kuna mtu anamfahamu jamaa yake yeyote mwenye tatizo hili(feki) ambaye hajaanza bado kutumia ARVs anishirikishe halafu tulete marejesho hapa."Experience is the best teacher", he he heee.

Lakini mkuu umesahau hoja nyingine kwenye bandiko lako.Vipi kuhusu mumewe?Kwa nini hajaambukizwa na wameishi kwa miaka 2?Au hajapata michubuko?He he heee.
 
anaugua tofauti ingawa inategemea na chembe za kinga ziliathirika. fuailia utaona kuna mahali nimetaja magonjwa ambayo yako katika immuno deficiency state. inategemea na magojwa. fuatilia post mahali fulani utaonna magonjwa na unawez kwenda kuyagugo
 

Mkuu, hawa couple walikuwa wanatoa ushuhuda kwenye vyombo vya habari juu ya UKIMWI, na kuleta matatizo hasa kwa sisi wengine ambao tunaona UKIMWI ni GDP issue ya Wamarekani kuliko kuwa ugonjwa au tatizo.
Hivyo kuhusu hitimisho la mume ilikuwa hakuna maelezo kuhusu michubuko au lah.
Lakini hihitaji kuwa mtaalam au mwanasayaansi kujua kuwa biashara in terms of dollars inayofanyika kwenye ukimwi haina uhusiano hata kidogo na madhara ambayo huo uitwao UKIMWI unasababisha kwa binadamu, nafahamu na naamini nawe unafahamu kuwa malaria ambayo tumeambiwa inauwa mtu mmoja kila baada ya sekunde 33 duniani haijawekewa investment kama ambayo kirusi wa UKIMWI kawekewa, kwa nini ?
 
Kwanini usitupie hapa kwa faida ya wote? Au jamaa atakua kagusa maslahi ya wengi nawewe ukiwemo?

Kabla haujampa hiyo elimu ya vipimo uliyosema unayo, tuambie kwanza ni jinsi gani VVU anaweza sababisha UKIMWI (upungufu wa kinga mwilini)
 
Kwahiyo ukiwa mwalimu wa chuo cha mwimbili sisi itatusaidia nn wakati ndugu zetu wanakufa kwa ugonjwa wenu feki na hakuna juhudi zozote zinazo onyesha mutafanikiwa kuushinda?

Mwalimu anakua na akili za kushilkiwa na akina Lucy Montegra?
 

Nimefatilia kwa makini mjadala huu but naona wewe huna hoja za msingi unapayuka tu rudi kajipange upya mkuu
 
Kwanini usitupie hapa kwa faida ya wote? Au jamaa atakua kagusa maslahi ya wengi nawewe ukiwemo?

Kabla haujampa hiyo elimu ya vipimo uliyosema unayo, tuambie kwanza ni jinsi gani VVU anaweza sababisha UKIMWI (upungufu wa kinga mwilini)
hilo ni somo refu na inahiaji kuongea kuliko kuandika maana nimetuma articlehapo lakini hakuna anayesoma maana ni kubwa sana
 
Bottom line, sidhani kama hapa patapatikana concensus. Watu wamepewa facts, tena kwa maandishi ila wengi humu wame ignore. Ni ngumu kulazimisha watu waamini unachoamini, ila hata facts hamuoni? Kuna jamaa kaweka article juu ya HIV na jinsi gani anaathiri mbili, ila kwakuwa hakuna utamaduni wa kusoma basi watu wanapita tuna mwisho wake wanarudia kuuliza maswali Yale Yale!! I rest my case, every one is entitled to their own opinion. Remember, STAY SAFE. peace
 


Mkuu hizo definition zimekuwa zikichange several times ili kucheza na mind za watu wasoijua science ili kuficha utapeli wao. Definition yao ya kwanza wame publish 1982.
Ok! Tembelea hapa; uone hii AIDS, Case Definition of - TheBody.com

Pili , Sasa huo muda unaosema ambao virus anafanya mambo yake na kushusha kinga ya mwili ndiyo umebase kwenye imagination zaidi kuliko scientific fact. Yaani miaka inavyozidi kusogea na hiyo duration time na incubation period inaongezeka pia, leo unaweza kuwa na HIV na ukaishi miaka 30 mbele. Huu ni ulaghai na ku buy time tu, nothing more.

Wewe ni medical expert, kipindi ambacho virus anahitaji kujidurufu na kufanya infection huwa akizidi mwezi, why mtu awe infected 1990 aje kuugua Ukimwi mwaka 2015?

Kama HIV ingekuwa ina play role kusababisha ukimwi ilipaswa dalili za ugonjwa zianze kuonekana ndani ya siku kadhaa, juma au kipindi kisichozidi mwezi. Na hiyo ndiyo fact ya kisayansi ambayo imekuwepo kwa karne na karne, sasa why hii fact ipinduliwe juu chini kwenye ugonjwa wa ukimwi au ndiyo Advanced Science hiyo unayosema?



Tatu, naona unaenda kwenye imagination zaidi kuliko scientific fact, wewe unaangalia uhusuano (correlation ) kati ya HIV na wagonjwa wa ukimwi, uhusiano (correlation) hauwezi kuwa kithibitisho cha usababisho (causation).

Kuwepo kwa HIV kwa waathirika wa UKIMWI si uthibitisho tena kuwa HIV ni sababu ya UKIMWI. Kuna scientific paper nyingi zimeandikwa, hakuna hata scientific document ambayo inathibitisha kwamba HIV is the cause of AIDS na jinsi gani inabreak down mfumo mzima wa kinga ya binadamu . Hakuna document kama hiyo.

Hivyo mahusiano kati ya HIV na AIDS hayako proved scientifically. Na ndiyo maana wakina Peter Duesberg waliomba independent group of researchers kuprove hiyo hypothesis ila walikataliwa bila kuwa na sababu za msingi.

Sasa swali linakuja hawa ambao hawana HIV na lakini wana dalili za ugonjwa wa UKIMWI , ukimwi kwao umesababishwa na kitu gani?? Hapa ndiyo tunapoona tofauti ya UKIMWI kati ya AFRIKA na nchi za magharibi.

Ukimwi hausabishwi na kirusi na wala hauambukizwi na ndiyo maana hata statistics za huu ugonjwa ziko tofauti sana kati ya Afrika na nchi zilizoendelea.
Ugonjwa ambao unasabishwa na virus na ambao hunaambukizwa huwa unasaamba kwa kiwango kinachowiana duniani kote kuanzia katika upande wa kijiografia mpaka jinsia. But UKIMWI haupo hivyo kwenye hii dunia. Na ndiyo maana kuna waafrika wanaamini wazungu wameleta UKIMWI kuwaangamiza watu weusi, kwasababu huu ugonjwa unawaangamiza waafrika kuliko watu wa bara lolote kwenye hii dunia.

Mwisho, Kwahiyo ukweli usingumzwe kwasababu ya kurudisha mapambano ya HIV nyuma?
Ni watu wangapi wemepoteza maisha kwasababu ya Misdiagnosis? Watu hawawezi kukaa kimya dhidi huu uhalifu….haya ni mauaji ya kukusudia.
 

Wewe huna sifa ya kuwa mwalimu inakuaje unashindwa kutumia akili yako badala yake una copy na kupast tumia ubongo wako kutetea hoja yako kwa lugha ya kiswahili sio wote wanaojua kingereza na pia wanahitaji faida
 

Mkuu onesha ukomavu kifikra. Shambulia hoja, acha kushambulia mtu.
 
Wewe huna sifa ya kuwa mwalimu inakuaje unashindwa kutumia akili yako badala yake una copy na kupast tumia ubongo wako kutetea hoja yako kwa lugha ya kiswahili sio wote wanaojua kingereza na pia wanahitaji faida
ahaaa kumbe wewe ndio unaetoa sifaaa. kama ni wewe bora hata kutkuwa mwalimu kama ni standard zingine nafikiri umekurupuka. nimetoa samari nyingi sana. soma thread yote ndio unaona ulikotkea. ukurupukaji wanamna hii ndio unawafanya watu kujiunga na deci, ndio uliowafanya watu kukimbilia kwa kikombe na kuacha tiba halisi, ndiko kunakowafanya watu waamini mayai ya kware na kuacha dawa za kisukari. vijana wakurupukaji, wavivu wa kusoma na wanaojua sana kusoma mambo ya umbea baadala ya kutafuta vitabu viliko na kupata maarifa wanakwenda you tube alafu wanakuja kusumbua hapa
ndio hawa hawa vijana wanolalamika rushwa ana serikali mbaya lakini makazini ndio mabingwa wa kuchelewa na wala rushwa wazuri. soma tena nasema soma tena ana heri anayeelewa kwa kusoma kuliko anayetegemea kuambiwa na kusikiliza. mwalimu anasaidia wanafunzi kuelewa kwa kuwaongza namna ya kufanya ili waelewe.
baadala ya kusoma content ya hayo unakuja na kukosoa.
unakuja katika ya mjadala huelewi umetoka wapiii du kweli wewe ni janga
huyu mwenzako nimempa hadi namba ya simu ili niongee naye kw kujadiliana lakini yeye ameamua kuamini kuwa hakuna ukimwi
kinachonipa shida ni kitu kimoja tu, kwa nini mpaka anafikia huko, je alienda kupima akakutwa anao kwa hiyo kaamua kujitoa akilia na kutafuta vuchambuzi unaendana na mawazo yake, kaamua kuwadanganya watu ili wakimwambia wakapime akatae, jamani hutu mwogopeni kama ibilisi. maana mwisho wa siku ukweli unabaki kuwa ugonjwa huu upo na hata ukikataa huo ndio ukweli
hiyo article ni ndefu kweli lakini ni sura ya kitabu ambayo nimempe nikijua kabisa ana tabia ya kusoma maarticle marefu yanayopotosha kwa hiyo asome kitabu na afuatilie hizo references
pia na wewe usikurupuke fuatilia mjadala tokea ulipoanzia na michongo ya watu mpaka mwisho ndio uje na maneno ya kukejeli
 

Mkuu mbona kama unageuza mambo, UKIMWI upo ila sababu ya UKIMWI si HIV hapo ndiyo Denialists na Defendants wa hypothesis ya HIV/AIDS wanapokinzana.
 

Brazil , london, india, thailand, USA .........kote huko kuna ukimwi . Je huko nako ni africa. Sema ukimwi wa africa unakuwa mkali zaidi kutokana na uchumi unaochangia lishe duni
 
Mkuu onesha ukomavu kifikra. Shambulia hoja, acha kushambulia mtu.

Ukomavu upi au kumwambia mtu asiharibu jamii? Au kumshauri afungue clinic au akasaidiane na madaktari kuokoa watu wanaokufa na ukimwi kila siku mahospitalini
 

Ukimwi upo dunia nzima ..........je malaria ipo dunia nzima? Je USA au UK au Germany kuna malaria?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…