kauzu12
JF-Expert Member
- Nov 11, 2016
- 868
- 783
Wataalamu wamekula chocho(kukimbia)huu!huu mjadala sijui uliisha vp!! maana naona wataalamu wa afya wakikopi na kupest!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wataalamu wamekula chocho(kukimbia)huu!huu mjadala sijui uliisha vp!! maana naona wataalamu wa afya wakikopi na kupest!!!
Kaveli maswali yako duh sijui nani atakuja akujibu yote with confidence sijaona hata waziri wa afya hawezi aisee. Ila nimekuelewa bro
sipo kwa ajili ya kupambana.somaarticle niliyokutumia hapoo juu. utaelewa ninachokisema ni nini. unatakiwa kuelewa hili. pia naomba uache kudanganya watuuuuLaboratory DiagnosisEvidence of infection by HIV can be detected in three ways: (1) virus isolation, (2) serologic determination of antiviral antibodies, and (3) measurement of viral nucleic acid or antigens.Virus IsolationHIV can be cultured from lymphocytes in peripheral blood (and occasionally from specimens from other sites). The numbers of circulating infected cells vary with the stage of disease (Figure 445). Higher titers of virus are found in the plasma and in peripheral blood cells of patients with AIDS as compared with asymptomatic individuals.
Huwezi kuufunua ukweli kwa lugha ya kiingereza!!!tumia kiswahili ili ueleweke!!!sio wote wanaweza kuzungumza hii lugha..
kubishana na mpumbavu ni kuoteza muda, kama mnaamini ukimwi haupo basi vizuri kwenu. endeleeni kupuza ushauri wa kitaalam. yapo mambo ambayo ukianza kubishana na much know wanaokaa kwenye mitandao na kufukiri wameelewa kila kitu kwa kusoma article ambazo hawajui hata maana yakeKaveli sisi waTz tumeshakamatwa fahamu zetu. Watu wanapigia debe ukimwi utadhani ni chakula. Tangu niliposomaga uzi wa Deception nilipata shida sana ikabidi na mimi nianze kutafuta ukweli. Nawaombeni nyie watu wabishi nenda youtube andika hiv/aids deception kisha tafuta documenatry imeandikwa hiv=aids true or deception inachukua muda 1:56:28 kama sijakosea. Huko utakutana na hao wazungu tunaojua kuwaabudu na ni wataalam wa sayansi molecular bioligy wengine ni machemist mabingwa na wengine wameshashinda tuzo fulani katika mambo yao hao ya tiba na ugunduzi. Wanakuelezea siasa iliyochezwa na kina Robert Gallo na Lucy M wakisaidiwa na CDC. Utaelewa kwa nini huyu mwenzetu Deception anasema hivi.
Tatizo tunapenda kujibu kwa kuangalia yanayotuzunguka bali si kwa kujifunza.
Tangu Deception anifungue akili nimeshagundua tunachezewa sana. Maana hata hii kitu inaitwa Global Warming ni ushenzi mwingine hila za watu wachache. Usipokubali kujifunza tukakalia starehe na ubishi bado hatutakua tunalitendea haki jukwaa hili.
Ss mnaombishia Deception walau mm nimewaonesha kwa kujifunza watafuteni hao wanasayansi wasikilizeni hadi mwisho.kisha njoo tena hapa tujadiliane vzr.
Mm naunga mkono kuwa HIV hasababishi ukimwi
Ume panic ...! Wasomi pia hudanganya kwsnye baadhi ya tafiti zao.kubishana na mpumbavu ni kuoteza muda, kama mnaamini ukimwi haupo basi vizuri kwenu. endeleeni kupuza ushauri wa kitaalam. yapo mambo ambayo ukianza kubishana na much know wanaokaa kwenye mitandao na kufukiri wameelewa kila kitu kwa kusoma article ambazo hawajui hata maana yake
endeleeni kubisha hamna ukimwi, kesho mtabisha kuwa hakuna malaria na kansa. mtu anayesema hata waziri hawezi kumweleweza au mtaalam yoyote wakati hajui lolote ila anakaa you tube kuangalia videos ambazo yeyote anayetaka umaarufu anaweza kupost. kwa waliosoma masters na phd wanajua credible sources za kupata articles za research kwenye kila field. sintashangaa nikiuliza elimu yako
haya ndio magufuri anataka uhakiki, tuna wajinga wengi sana na mbaya wapumbavu wanaongezeka kila siku
endelea na upumbafu na kuaminisha huo upumbafu kuwa hamna ukimwi na wadanganye wavivu na mabush lawyers wenye kukaa mitandaoni kuangalia article za wikipedia na kufikia kudharau wataalam nawatafiti na wanasayansi na wateknolojia.
naanza kuamini utafiki uliosema sub saharan african iq yao ni ndogo sana. unaanzaje kubishi kitu ambacho kipo na watu wanakufa. unajua postulate za kuprove kuwa ugonjwa upo na unaambukizwa? au unafikiri WHO inaamua tu kuleta ugonjwa. pole nakuonea huruma kabbisa muda unaopoteza kupotosha watu ungeutumia hata kujitolea kufundisha watoto au kufanya usafi au kuufanya ulimwengu salama.
utafiti kuwa hiv ina sababisha aids hauna upinzani na ulikusha hitimishwa. tafiti zote zilizopo zinalenga chanjo na dawa. uhakika waHIVndio anasababisha AIDS haupo huo kwa sasa. currently tunajaribu kuelewa jinsi ya kupambana na huyo virus kwa njia ya chanjo na madawa ya ya kumuathiri hiv virus interms of replication, transcription, translation of HIV proteins na manipulating receptors for virusUme panic ...! Wasomi pia hudanganya kwsnye baadhi ya tafiti zao.
Kuna tafiti hufanywa na wasomi wKiwa na lengo na kusudio kabla ya kuanza huo utafiti
Kuna mambo ya kitabibu tunayaishi na kuyaenzi sana kwa kisingizio cha kuwa ni tafiti lakini ukweli ni kuwa matokeo ya utafiti na namna yalivyotafsiriwa ni kinyume kabisa na hali haljsi.
Labda wewe utufahMshe kuwa fafit khusu HIV zimekoma ?
Kama hazikoma ni kwa sababu gani ? Mawna kama HIV amekwisha fahamika INA maana kilichlpo ni kutafita silaha ya kumwangamiza au na kutafiti kuhusu tabia zake Tu.
HIV kuwa ni msababishi wa AIDS bado kuna ubishi na Bahati mbaya sana mtafiti yeyote aliyekinyume na Big bother hawezi kupublish utafiti wake na hata khudhuria mijadala na makongamano kwa kuwa ni waxi ataweza kuharibu biashara ya Condoms na ARVs ...
Kwanni tunazungumzia utafiti wa USA pekee na kuona hitimisho lake ndilo la kweli ?
Sent from my TECNO-Y4 using JamiiForums mobile app
Uzi huu unafikirishaMkuu karibu sana. Pata chakula ya ubongo kwenye uzi huu. Wadau wametema maknowledge ya hatareee.
-Kaveli-
vipio vipo vitau vikuuu, na vinagawanyika kwenye makundi mawili, vile vinavyofanyika kwenye tafiti na vile vinavyofanyika kwa ajili ya matibabuWakuu,
With due respect ta all of you.
Ever since the existence of HIV/AIDS in our lovely planet, there are some concerns that always crack my mind, and I really get puzzled! Ni kuhusu hizi HIV-Testing Kits as regards to HIV diagnosis in human bodies. Napenda sana kujifunza vitu mbali mbali, hususani issues zinazo-impact afya zetu wanadamu.
To whoever mwenye uelewa, naomba mnieleweshe (na kwa faida ya wengine pia) kwenye mambo yafuatayo ili kujifunza:
a) Je vifaa vyote vya kupimia HIV, vinatumia ''ANTIBODIES'' pekee ili kudetect HIV infections ktk mwili? Yaani is 'ANTIBODIES'' only the determinant/agent for confirmation of HIV presence in the body?
b) If YES to the (a) above, why hivyo vifaa haviwezi kudetect the HIV directly? i.e. why hivyo vipimo (HIV-Testing) haviwezi kutrace (to isolate) the Virus itself, rather than basing on the antibodies? OR ni kwa sababu kwamba all virus-related infections can be only detected by basing on antibodies only?
c) Uelewa wangu mdogo ni kwamba Human Beings tuna natural Immunity Systems kwenye miili yetu, and the primary role of such natural immunity ni kuproduce 'antibodies' to fight-off a disease infection(s) that enters the body. The strength of such Immunity varies from person to person, due to nutrition factors; life style; etc. Pia nafahamu kwamba wanadamu tuna a lot of viruses and bacteria kwenye miili yetu, though hatuugui. Mfano, niliwahi kusoma a medical Article kwamba almost kila mtu ana bacteria wa TB mwilini mwake, whenever your body Immunity becomes weak, ndo hapo unaanza kuugua TB. So all viruses or bacterias or whatever harm in the body... they do primarily depend on vulnerability of the body Immunity. Nadhania hivyo.
Now the question is: Immunity huwa inaproduce izo 'antibodies' to ALL disease infectios that enter the body?? i.e. does the Immunity System react and produce antibodies to ANY/ALL infections? OR kuna baadhi tu ya diseases/infections ambazo ndo Immunity ina-react na kutoa antibodies??
d) If the body Immunity reacts and/or produces the 'antibodies' to ANY/ALL disease infections, do the 'antibodies' differ from infection to infection? Yaani mfano: antibodies for Ebola infections are different from antibodies for HIV infections??
e) If NO to the (d) above, then it means that the allegedly produced 'antibodies' are of ONE TYPE (ONE STRUCTURE) WITH SAME FEATURES, WITH SAME PARTICLES, for ANY/ALL disease infections in the body. Now... WHY is HIV-diagnosis being based on 'antibodies' only, while other disease infections are also an avenue for the 'same antibodies' in the body???
(f) Pia kuna hizi medical terminologies: CD4 COUNT; na ''VIRAL LOAD''.
Navyoelewa mimi, viral load ni kile kiasi cha viruses mwilini, yani kiwango cha virusi kwenye damu. SWALI: Hicho kipimo cha viral load, je kinapima na kutoa matokeo ya kiwango cha virusi wote kwa ujumla (bila kujali aina ya kirusi) waliopo kwenye damu? ama kinapima na kutoa matokeo in isolation kwa kila aina ya kirusi kwenye damu??
Karibuni waungwana. Let's double-click our folders of thinking and share knowledge.
I humbly submit, and thanks in advance for reading.
N.B: I stand to be corrected!
Duh! Kwaiyo mkuu hawa wanao tupima huku mitaani hawavioni virusi mpaka hospitali kubwa mfano muhimbili bugando?vipio vipo vitau vikuuu, na vinagawanyika kwenye makundi mawili, vile vinavyofanyika kwenye tafiti na vile vinavyofanyika kwa ajili ya matibabu
kwa ajili ya tafiti mara nyingi unaweza kupanda virus na ukazalisha wengi na kuangalia tabia zao na kujua huyu ni wa aina gani kama unavyoweza kufanya kwenye bacteria
njia ya pili na kumwona kirusi mwenyewe. hii kwa hapa kwetu tuna uwezo wakufanya hii kwenyehospitali nyingi ikiwemo muhimbili, kcmc, mbeyarufaa, bugando na maabara kuu ya taifa. hapa unakuwa unampima kirusi mwenyewe na pia unaangalia kiwango cha virusi ambacho kipo kwa kiasi fulani cha damu
njia ya tatu ni serological testing system, njia hii unaweza kutumia technique nyingi sana na siwezi kuzitaja zote but nitajaribu most commoni, ya kwanza ni ezyme linked immono sorbent assays au elisa, na rapid screening test ambazo tuna serial testing system kwenye nchi yetu. hizi pia hutegemea national algorithm. hapandio tuna hizi test ndogo za kawaida kam determini, sd bioline na unigold. zote hizi zinaweza kutambua kirusi au uwepo wa kirusi chenyewe
njia ya pcr au polymerase chain reaction inatumika kupima na kuona kirusi chenyewe na kwa sababu ya gharama ni hospitali nilizozitaji ndio zinafanya njia hiyo ingawa mpango wa serikali ni kutumia njia hiyo kwenye hospitali zote za wilaya
there is a lot of science here na unahitaji muda mrefu kusoma na kuelewa. ninaweza kusema in short ni kwamba ukimwi upo na virus vya HIV vinasababisha AIDs
vipio vipo vitau vikuuu, na vinagawanyika kwenye makundi mawili, vile vinavyofanyika kwenye tafiti na vile vinavyofanyika kwa ajili ya matibabu
kwa ajili ya tafiti mara nyingi unaweza kupanda virus na ukazalisha wengi na kuangalia tabia zao na kujua huyu ni wa aina gani kama unavyoweza kufanya kwenye bacteria
njia ya pili na kumwona kirusi mwenyewe. hii kwa hapa kwetu tuna uwezo wakufanya hii kwenyehospitali nyingi ikiwemo muhimbili, kcmc, mbeyarufaa, bugando na maabara kuu ya taifa. hapa unakuwa unampima kirusi mwenyewe na pia unaangalia kiwango cha virusi ambacho kipo kwa kiasi fulani cha damu
njia ya tatu ni serological testing system, njia hii unaweza kutumia technique nyingi sana na siwezi kuzitaja zote but nitajaribu most commoni, ya kwanza ni ezyme linked immono sorbent assays au elisa, na rapid screening test ambazo tuna serial testing system kwenye nchi yetu. hizi pia hutegemea national algorithm. hapandio tuna hizi test ndogo za kawaida kam determini, sd bioline na unigold. zote hizi zinaweza kutambua kirusi au uwepo wa kirusi chenyewe
njia ya pcr au polymerase chain reaction inatumika kupima na kuona kirusi chenyewe na kwa sababu ya gharama ni hospitali nilizozitaji ndio zinafanya njia hiyo ingawa mpango wa serikali ni kutumia njia hiyo kwenye hospitali zote za wilaya
there is a lot of science here na unahitaji muda mrefu kusoma na kuelewa. ninaweza kusema in short ni kwamba ukimwi upo na virus vya HIV vinasababisha AIDs
Duh! Kwaiyo mkuu hawa wanao tupima huku mitaani hawavioni virusi mpaka hospitali kubwa mfano muhimbili bugando?