Vaa ya walokole hunifurahisha sana

Baada kuona hii thread picha yote imeenda kwa bon mwaitege

Sent using Jamii Forums mobile app

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚kuna mwska huby aliniletea cd ya bon..ile ya mamaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ nikamuomba airudishe ..zile nguo km ghost..misuti mirefuuuu...koti km KIMONOπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚..ht km una mkojoπŸ˜‚πŸ˜‚ unarudi
 
Mkuu kumbe mwenyeji duuh niliwakuta kule na Makambako aiseee

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ mbavu zangu mm jaman...nakifaham huko koteeeeπŸ˜‚πŸ˜‚suti zao rangi za kijani,chenza,njano..alafu suti zao wanazifua km nguo zingine..si unajua suti ikifuliwa na maji inajikunja lile kotiπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚...yaan lazima ukae kwa kucheka
 
Nikimshushia mabanzi mtasema wanyaki wababe
Una utani na kaka zake Heaven Sent wewe.
 
mba
mbavu zangu jmn πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mama kavaa gauni sare na shati la baba,mama kabeba kapochi ka kawaida huku baba ana briefcase ya kiaina wanakwenda kanisani


hahaha ktk kitu kilinishinda kushonesha sare na mumeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜€ uwii nitacheka kufa mm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…