Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂😂😂😂 muumin kacharuka
Unawasema kaka zake wa bendera za UN unategemea nini!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] muumin kacharuka
Unawasema kaka zake wa bendera za UN unategemea nini!!
Kuna watu wana maneno!!hahaha nimecheka na hyo neno UN.[emoji23][emoji23] hahahha...
Kuna watu wana maneno!!
Leo nilikutana na mmoja kavaa shati jekundu linang'aaa na tai nyeupe, kiatu kina rangi nyeusi na nyeupe. Nikaukumbuka huu uzi.
Alafu kwanini huwa ni wanyakyusa..😂😂😂 na rose mhando
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyo lazm anatokea iringa su mby au shy
Alafu kwanini huwa ni wanyakyusa..
Hahaha nimecheka sana. Kuna uhusiano gani kati ya ulokole na nguo za kung'aa?[/QUO
INASEMEKANA hawajui siku wala saa ya kurudi Bwana kuja kuwachukuwa kwenda peponi, hivyo ni lazima wajihami na kuwa tayari muda wote. Na kama unavyojua vioja vya TANESCO, wanaweza kata umeme siku ya kuruka. Lakini kwa mng´ao ule, hata gizani Bwana wao atawaona.
Hahaha nimecheka sana. Kuna uhusiano gani kati ya ulokole na nguo za kung'aa?
INASEMEKANA hawajui siku wala saa ya kurudi Bwana kuja kuwachukuwa kwenda peponi, hivyo ni lazima wajihami na kuwa tayari muda wote. Na kama unavyojua vioja vya TANESCO, wanaweza kata umeme siku ya kuruka. Lakini kwa mng´ao ule, hata gizani Bwana wao atawaona.
MmmhINASEMEKANA hawajui siku wala saa ya kurudi Bwana kuja kuwachukuwa kwenda peponi, hivyo ni lazima wajihami na kuwa tayari muda wote. Na kama unavyojua vioja vya TANESCO, wanaweza kata umeme siku ya kuruka. Lakini kwa mng´ao ule, hata gizani Bwana wao atawaona.
Watakuwa wananukagahahahahaa alafu wanasweat balA koti la suti.limejikunjaaaa hapo kalifua kwa sabuni ya jamaa[emoji23][emoji23]
hahahahaha demi hujielewi ww khaa..Watakuwa wananukaga
Hlf akirudi home habadilishi ama kufua, kesho yake utamuona kavaa ile ilehahahahaha demi hujielewi ww khaa..
Hlf akirudi home habadilishi ama kufua, kesho yake utamuona kavaa ile ile
chenza [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zangu mm jaman...nakifaham huko koteeee[emoji23][emoji23]suti zao rangi za kijani,chenza,njano..alafu suti zao wanazifua km nguo zingine..si unajua suti ikifuliwa na maji inajikunja lile koti[emoji23][emoji23][emoji23]...yaan lazima ukae kwa kucheka