Vacancy for ladies

Haa elimu ya msingi ile ya st kayumba hapo tunatoka kapa. Maana unakuta wapo wenye nia ila lugha hata kama kaielewa anaingia mitini shida ya nn
Numbisa, logic ya kuandika hivyo ni fupi tu.

Kama Mtanzania, naamini elimu ya msingi wote wanaoingia humu wamepitia. Basi kama ni hivyo ni rahisi kuelewa nilichoandika (tena nimejitahidi kutumia lugha nyepesi kabisa).
 
Haa elimu ya msingi ile ya st kayumba hapo tunatoka kapa. Maana unakuta wapo wenye nia ila lugha hata kama kaielewa anaingia mitini shida ya nn
Hivi ile elimu ya msingi inaendana na hiki kiinglishi kweli!! Maana mie nazikumbuka picha za familia ya mr and mrs Daudi tu, ila lugha iliniwereva kwakweli.
 
Hii ngumu bana. Ile ilikua nyepesi(kwa mwalimu tu) wengine tulikua tunawaza kengele igonge tukale barafu
Hivi ile elimu ya msingi inaendana na hiki kiinglishi kweli!! Maana mie nazikumbuka picha za familia ya mr and mrs Daudi tu, ila lugha iliniwereva kwakweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…