Numbisa, logic ya kuandika hivyo ni fupi tu.
Kama Mtanzania, naamini elimu ya msingi wote wanaoingia humu wamepitia. Basi kama ni hivyo ni rahisi kuelewa nilichoandika (tena nimejitahidi kutumia lugha nyepesi kabisa).
Huyo ni mwalimu mwenzangu na kwakweli hii lugha haimpigi chenga, hivyo atakuwa msaada mkubwa katika kunitafsiria.UCHOCHEZI: Huyo wa kwanza umemuandika wa nini?
Ile ni lulu hivyo hawezi kuipata kirahisi rahisi tu. Hawa vijana bila mikwara hawaendi.Hahahaa una mikwara,mpaka aje apate mke atakua amesota kweli.
Ile ni lulu hivyo hawezi kuipata kirahisi rahisi tu. Hawa vijana bila mikwara hawaendi.
[emoji86][emoji86]Kwanini jana unenichomesha mahindi[emoji57] [emoji57] [emoji57]
Kumbe ni mke!! Weee usiniambie!!emmyta mke anatafutwa huku
Ndiyo maana nikaongezea part ya mwisho.
Hivi ile elimu ya msingi inaendana na hiki kiinglishi kweli!! Maana mie nazikumbuka picha za familia ya mr and mrs Daudi tu, ila lugha iliniwereva kwakweli.Haa elimu ya msingi ile ya st kayumba hapo tunatoka kapa. Maana unakuta wapo wenye nia ila lugha hata kama kaielewa anaingia mitini shida ya nn
Dawa yako iko jikoni, we ziba masikio tu.[emoji86][emoji86]
Kumbe ni mke!! Weee usiniambie!!
Evelyn Salt mbona kama sielewi elewi[emoji134] [emoji134] [emoji134]
UCHOCHEZI.Kumbe ni mke!! Weee usiniambie!!
Evelyn Salt mbona kama sielewi elewi[emoji134] [emoji134] [emoji134]
Hivi ile elimu ya msingi inaendana na hiki kiinglishi kweli!! Maana mie nazikumbuka picha za familia ya mr and mrs Daudi tu, ila lugha iliniwereva kwakweli.
Hahahaa! Na hawachelewagi haoBonny ndio mkalimani ila usimtegemee sana anaweza kuja kukutasfiria vingine ukakosa fursa adimu.
Hahahaa! Na hawachelewagi hao