Dota ndio unazidi kunivuruga kabisa, kwahiyo niandae parking?Nimeshatuma, nikikatwa nta-appeal tu kama mzee Wassira. Wewe hujui farming na huduma za public?
[emoji57] [emoji57] [emoji57]Vigezo na masharti kuzingatiwa...
Ngoja nimkumbuke jina lake nitakwambiaYupi huyo!! Huu ni uchochezi haki vile!!
[emoji125] [emoji125] [emoji125]
Parking unataka kupafagia au? Hapa ni tuanzishe tu darasa la ujasiriamali, fursa hiyo. Na zile bustani ndo naanza kuzitengeneza Hapa, farming lazimaDota ndio unazidi kunivuruga kabisa, kwahiyo niandae parking?
Oooh kumbe!! Kulima tena[emoji125] [emoji125] [emoji125]Parking unataka kupafagia au? Hapa ni tuanzishe tu darasa la ujasiriamali, fursa hiyo. Na zile bustani ndo naanza kuzitengeneza Hapa, farming lazima
usiharibie watu ujue in box ishajaaAmaaa kweli, ukishangaa ya Musa, hujaona ya Firauni.
Ngoja tuone kifaranga kitakachojipeleka kwenye mtego wa mwewe.
Kila la kheri mtegaji...
Mkwe ya kweli haya??
Ngoja nichangamkie fursa.
Hutaki mtaji?Oooh kumbe!! Kulima tena[emoji125] [emoji125] [emoji125]
Hahahaaaa... dahusiharibie watu ujue in box ishajaa
Nasubiri uniambie, ole wako usiniambie.Ngoja nimkumbuke jina lake nitakwambia
Hii fursa acha niichangamkie.Kwel vile tena pale mwishon kasema uwe na uzoefu usiopungua miaka 18-30 hapo wewe unafit kabisa
Hii fursa acha niichangamkie.
Nimeishamsahau jina lakeNasubiri uniambie, ole wako usiniambie.
Unatamani hiyo bahati ikuangukie eeehHahahaaaa... dah
Mdogo wangu atakuwa kacheza kama Pele...
Atamtafuna mmoja baada ya mwingine wakati wa intavyuu... LOL
hapana wala sio mwenyewe nimeogopa ili tangazo, lisije kuliza wengi maana magu kafanya hali iwe ngumuHuyu ndio yule mbeba box nini[emoji85] [emoji85]
Maana sio kwa kitisho hicho!!
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]hapana wala sio mwenyewe nimeogopa ili tangazo, lisije kuliza wengi maana magu kafanya hali iwe ngumu
[emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57]Nimeishamsahau jina lake
[emoji3] [emoji3] [emoji3]Unatamani hiyo bahati ikuangukie eeeh