Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Babu nina nini nawe????Hahahaaaa... dah
Mdogo wangu atakuwa kacheza kama Pele...
Atamtafuna mmoja baada ya mwingine wakati wa intavyuu... LOL
Naona wataka kudanganywa, wa st. kayumba anaweza lini kutafasiri. We changamkia fursa, kama bado lakini...Sasa mpendwa si unitafsirie ili kama ni fursa nichangamke.
Hapo red...Babu nina nini nawe????
Niache mjukuu nipate mwenza na mimi...i am dead siriaz.
Intavyuu itafanyika centro...bila kificho kabisa mbele ya kamanda Sirro.
Mi bahati hizo zilishaniangukia na zimeshapita. Hivi sasa sina nguvu tena... labda itokee tu.Unatamani hiyo bahati ikuangukie eeeh
Dah uchochezi huu mkuu!!!
Hadi kizee leo umekiri umechoka aisee ni kweli umechokaMi bahati hizo zilishaniangukia na zimeshapita. Hivi sasa sina nguvu tena... labda itokee tu.
Kila siku nakuambia nimechoka... na huwa nakutaka uje uthibitishe kwa vitendo...Hadi kizee leo umekiri umechoka aisee ni kweli umechoka
Hebu nitumie mpesa chapi nifike hapo without kabisa nije nithibitisheKila siku nakuambia nimechoka... na huwa nakutaka uje uthibitishe kwa vitendo...
Sijui kwanini huwa huji???
Haya chukua hiyo "MPESA"Hebu nitumie mpesa chapi nifike hapo without kabisa nije nithibitishe
Nyooooo ubahili ndio umekujaa wewe kizee sijui hela zako nani anazila tu????Haya chukua hiyo "MPESA"
Mabaamedi... hakyamama wanazifaidi. si unajua wale si wachoyo kama wewe??Nyooooo ubahili ndio umekujaa wewe kizee sijui hela zako nani anazila tu????
Haya ndio hadhi zako hao mabaamediMabaamedi... hakyamama wanazifaidi. si unajua wale si wachoyo kama wewe??
SanaaaaHaya ndio hadhi zako hao mabaamedi
Nani sasa ana digrii?Hebu usinijazie nzi wako mieSanaaaa
Kwani uliambiwa raha ya mgegedo inahitaji digrii???
kumbe mdogo wako hana mambo ya kisport sport? Natamani ni muripoti kwa daudiHahahaaaa... dah
Mdogo wangu atakuwa kacheza kama Pele...
Atamtafuna mmoja baada ya mwingine wakati wa intavyuu... LOL