Ni ombi na nitashukuru sana ukininunulia dictionary
Both of them please......kama nimekosea cheka kimya kimyaEnglish to Swahili, Swahili to English or both.
Both of them please......kama nimekosea cheka kimya kimya
Naandikiwa sio mie......Natabasamu kwa vile unavyokiandika vizuri.
Naandikiwa sio mie......
Zimefika anasema shukrani sanaMpe hongera huyo anayekuandikia toka kwa BAK.
Zimefika anasema shukrani sana
Uwiiiii ndio naamini ule msemo wa a liar should have good memory sijui ndio hivyo ngoja niulize.......kama nimekosea cheka kimyakimya. Shukrani sana.
Uwiiiii ndio naamini ule msemo wa a liar should have good memory sijui ndio hivyo ngoja niulize
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hili jipya nalo..Nani huyo amejitoa muhanga?
Shida yenu kunizibia fursa nimeshawaona
Decent,responsible..Hivi vimekuondoa[emoji23] [emoji23] unahisi kigezo gani sina labda
Ulikuwa wapi we mwanamke..Hukai ukatulia..Makalio yanawasha?Shida yenu kunizibia fursa nimeshawaona
Kwendraa...umbea tu mxìiiuuuDecent,responsible..Hivi vimekuondoa
From now on ukiniona pita kama hunijui nimeshagundua wewe si mtu mzuri kabisaUlikuwa wapi we mwanamke..Hukai ukatulia..Makalio yanawasha?
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Kwenda huko na wewe mume ulinipa?[emoji57] [emoji57] [emoji57] ngoja nitume application usinicheleweshe[emoji125]
Na umbea wako[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Yaani nilikuwa nalisubiri hili jibu kwa hamu. Hebu changamkia fursa.