kitalembwa
JF-Expert Member
- Jul 12, 2014
- 3,607
- 9,430
Enjoy ungali na nguvu na afya,,,maisha ni haya hayaNiko poa, leo lazima tuenjoy
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Enjoy ungali na nguvu na afya,,,maisha ni haya hayaNiko poa, leo lazima tuenjoy
Sababu ni kusitishwa kwa misaada au ni nini?Valentine Wangu ni K-vant na Live band! Nimewaambia room Yangu iwe Wazi kabisa nikitoka hapa straight to my room. Nakoroma weee Hadi Kesho saa nne. Sina stress ya kulala na mtoto wa MTU
Chunga wallet 😃Subutuuuu subutuuu Mie na Wanawake urafiki wetu unaishia kwenye Salam Tu not more zan zati
Nilikosea,,nishaedit,,,,, haya masimu balaa tupuUgali usiku huu Hapana 😜
Nakuona unavyozungusha kiuno kama feni😊Band imenoga hatari 😜 sijui niwaoneshe ninavyocheza
Ndio maana sipendi kulala na strangers! Hili nalo Neno! Drink responsibly. Jamaa wanakung'uta nyimbo za zamani tamu Sana Sana sanaChunga wallet 😃
1. Land alienationSababu ni kusitishwa kwa misaada au ni nini?
Oldies is GoldNdio maana sipendi kulala na strangers! Hili nalo Neno! Drink responsibly. Jamaa wanakung'uta nyimbo za zamani tamu Sana Sana sana
Haya mambo ukiyaendekeza ndio mwisho wake huwa huu😂😂😂 vijana wanateseka kibwege sana.
6.Taxation1. Land alienation
2. Lack of capital
3. Poor infrastructure
4. Limited communication
5. Unrealistic Taxes
Omba yasikukute kama huyuHaya mambo ukiyaendekeza ndio mwisho wake huwa huu😂😂😂 vijana wanateseka kibwege sana.
Saaaaana sana aiseeeeee wapiga hapa, Dereva Taxi nikomboleshe Gari..... dahOldies is Gold
Haiwezi kunikuta hiyo mkuu😅😅Omba yasikukute kama huyu
View attachment 3236675
MUNGU akubariki, Ndio Maombi Yangu pia kwakoHaiwezi kunikuta hiyo mkuu😅😅