Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kesho naenda ibadani, Mimi ni msabato. Karibu ibadani Hapa MagomeniNgoja watake invoice na kesho ni wikienda nasubiri mrejesho 😂 boss
Mnasali saa ngp?Kesho naenda ibadani, Mimi ni msabato. Karibu ibadani Hapa Magomeni
Karibu Sana, hujachelewaAww! Naijua hii
Kwa hiyo ukaona nitafaiiidi ukinidip nifike hapo, nije na ule mzigo kwenye kibunduu 😂😂Hakika imeenda vizuri sana na nimefurahia 😊.
Kwako imeendaje hii siku?
😂Hukutuma maua jmni Monetary doctorAfro ooh ......
Afro mama ooh......
Mtoto wa sagane.......
Salamu zangu ninakutumia popote ulipo zipokee........
Wasalimie ndugu, na wazazi wako mama eeh popote walipo Afro!
Mimi sijambo lakini mawazo tele moyoni.......
Nikikumbuka tulivyo achana mara ya mwisho uliniahidi Afro!
Tungeonana mapema bibiye 😍..
This song to Qashy Lilith
Tuko ibadani tayari Ndugu yangu, Karibu SanaMnasali saa ngp?
Tufanye hivi tuzidi kuwasiliana jumamosi ijayo uzima ukiwepo Leo nisingeweza,Tuko ibadani tayari Ndugu yangu, Karibu Sana
Hakuna hata alie ni wish!, jana nimekaa kama mjusi kazi yangu ilikuwa kukimbia mtu yoyote alievaa nguo nyekundu!Hakika imeenda vizuri sana na nimefurahia 😊.
Kwako imeendaje hii siku?
Yule dada wa massage hajakupigia simu?Niko hapa Nefaland Hotel, nafurahia my own company na live band
Tag zangu hujaziona ? Au mishangazi inakuchanganya!Yule dada wa massage hajakupigia simu?
Ilienda vizuri, mambo yalikua mengi ila cha muhimu nilipewa ile chakula ya usiku, nikaenjoy sanaHakika imeenda vizuri sana na nimefurahia 😊.
Kwako imeendaje hii siku?

😍😋Ilienda vizuri, mambo yalikua mengi ila cha muhimu nilipewa chakula ya usiku, nikaenjoy sana![]()
Futa hyo qoute yangu mkuu ..
Futaaa
Mwenyeji anikaribishe hapa siku mojaMontana Lounge
Millennium tower, Makumbusho