Kwa kweli bestNafurahi kusikia hivyo best.
Hapana best sijapata bado. Kilichobaki ni kupambana tu na hali zetu sababu imeshakuwa kama hadithi sasa.
[emoji5] [emoji5] [emoji5] [emoji5] ndo hivyo mkuu no way out..ni kupambana tu.Hahaaaa. Haya bana Shukrani. [emoji120] [emoji120] [emoji120]
Pole sana na hongera pia sababu hiyo ndio dawa ya kwenda sawa na maisha yanavyotaka yaani kupambana ndio kila kitu aiseee.
Nami pia Mkuu. Nafurahi kukuona tena.
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji125] [emoji125]Malaya mambo!..ooops sorry changudoa mambo!..
Hahaaaa. Mie nilishangaa nikapita kimya kimya naona best umeshindwa kujizuia lol.[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji125] [emoji125]
Hahaaa kwa kweli nimeshindwa kujizuia best, kuna watu humu akili zimepinda kabisaaaHahaaaa. Mie nilishangaa nikapita kimya kimya naona best umeshindwa kujizuia lol.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Hahahaaaa. Wacha tu best yaani kasahau kabisa kama huku ni Chit Chat.Hahaaa kwa kweli nimeshindwa kujizuia best, kuna watu humu akili zimepinda kabisaaa
Yaaani duuh!!Hahahaaaa. Wacha tu best yaani kasahau kabisa kama huku ni Chit Chat.
Sasa tutaona pics za kina nani jamanMmh hapa tutaishia tu kuona picha ndg yangu, kumbe wallet yangu haisomi, labda tuunganishe nguvu twende zetu Bagamoyo, Zenji au Serengeti/Ngorongoro huko
Hahahaa hatarShoga huku ni kutaka kupandisha wanaume wa watu presha sio bure.
Sababu umeanza vyema ila hapo kwenye no 3 lazima walio wengi wanyong'onyee. 11.2 isiyo na kazi inatoka wapi saa hizi Shoga angu. Tena kwa matumizi ya siku moja. Mmh.
Watakaoenda watashare nasi, teh!Sasa tutaona pics za kina nani jaman
mekosea wap shemela si tuna Chit Chat tuu lkn!😀Hahahaaaa. Wacha tu best yaani kasahau kabisa kama huku ni Chit Chat.
Ukiona above 35 ujue huyo ni sawa na Maza wako mkuu........au unataka uwe Kibenten chake?hivi nyie mbona mnapenda wanaume above 35 years of age...!!kwa hiyo sie wenye 26+ tupambane na hali zetu!!
Ukipata mwanamke wa hivi maanake ye anawaza starehe tu.......muoe sasa umuweke ndani utajuta!!Kiwanja cha 20m x 20m ni 7mil, some where hapa mjini na pia ni kizuri kabisa.
Kila la kheri Miss curious!!
Tumia akili zako vizuri na wewe.......hivi mwanaume gani mwenye akili zake timamu aende kutumia milioni 11 kwa masaa? Huo ni uendawazimu uliokithiri!!Jamani mmesanda game ?
Na mkishindwa hilo mkome kunifata pm eti oog dada ninavutiwa na ww coz y're very charming .
Kumbe midume suruali au niwataje mnaonisumbua pm?
Nishatupia bapa zangu hapa hata msinichanganye.
Sio ubahiri ni mwanaume Mpumbavu pekee anaweza fanya hivyo vituWalivyonavyo mabahili sasa utaniambia ukipata
haahaaaaa kweli mkuu!!kwanza nimeghairi mil 11 duuuh!!Ukiona above 35 ujue huyo ni sawa na Maza wako mkuu........au unataka uwe Kibenten chake?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]haahaaaaa kweli mkuu!!kwanza nimeghairi mil 11 duuuh!!