Valuu sio nzuri tafuta mbadala!!!
Valuu sio nzuri tafuta mbadala!!!
ukinywa valuu unashikwa na njaa so inakupa uwezezo wa kula sana. ndo maana mabonge wengi wanakunywa valuu na bado wamenenepa. sababu ni kwamba inawapa hamu ya kula. muhimu acha pombe, fanya mazoezi kunywa maji ya moto mara kwa mara na punguza au acha kula mafuta japo ng'ombe ananenepa wakati hali vyakula vya mafuta. mia[/QU thanx, mazoezi, mazoezi, ni wito mkuu,. Unajua mkuu huwa nikiacha kunywa kwa mda huwa naimiss sana
Nini ubaya wa valuu? Ndiyo kinywaji changu bidada Evelyn. Lkn jina lako linanikumbusha mbali sana
Jamaa hapa anamshauri atumie "southern comfort", pia inarudisha heshima ndani ya nyumbaLinakukumbusha nini hili jina?
inapoteza kumbukumbu, proved kwangu na wadau wachache ninaogonga nao hii kitu....
take viceroy au smirnoff ni nzuri!!!
Linakukumbusha nini hili jina?
inapoteza kumbukumbu, proved kwangu na wadau wachache ninaogonga nao hii kitu....
take viceroy au smirnoff ni nzuri!!!
Jina lako linanikumbusha mpenzi wangu wa long ago!!
Mbona mm nakunywa hii kitu kwa miaka 3 sasa na memory yangu naiona OK? Halafu inaamsha steam ile mbaya!!
Inaezakuwa inamadhara kwa baadhi we utakuwa kagume gume wewe teh!!!!
try smirnoff stimu zake duu!!!!