Vanessa Mdee afichua sababu za Ali Kiba kuzimiwa Mic Mombasa

Nucky Thompson

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2016
Posts
1,817
Reaction score
4,061
Vanessa mdee ambaye pia ali pafomu Mombassa ametaja sababu iliyosababisha Ali Kiba kuzimiwa mic ni kuwa Chris Brown aliingia akiwa hana mood nzuri, kwa hivyo ili kumfurahisha wale waandaji ikabidi wakatishe shoo ya Ali Kiba wampe muda wa kupanda jukwaani atakapojisikia yeye

 
Wenzetu wanajua kwenda na muda lile tamasha ilibidi lianze saa 8 mchana lakin likaanza saa 3 usku (naskia et lakin)
Sasa Kiba alipoteza tyme kwenye kubishana kuwa msanii mdogo wiz kid (nadhani alimaanisha mdogo ki umri)aanze alafu yeye ndo aingie then chris ndo amalizie.
Walipo kuja kina Chris wakasema tym yetu msha tuchelewsha sana mtu ache tuimbe , so walikuwa sahihi
Na ndipo ndugu yetu akazimiwa maiki kwa aibu kama hivo
 
Tamasha halikuwa na maandalizi mazuri ya kutosha, lawama ni kwa waandaaji uswahili mwingi.
 
Chris Brown hana adabu, na hizo bangi zake hawezi kumvunjia heshima Balozi.
 
Wizkid sio msanii mdogo
 
Yaani huyo duanzi Chriss Brown ambaye ni zao la babu zetu kupelekwa utumwani ndio anakuja Africa halafu hana mood sijui nzuri ? Kwani alikuja bure au kufanya kazi na analipwa ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…