Vanessa Mdee afichua sababu za Ali Kiba kuzimiwa Mic Mombasa

Cha ajabu anamlaum Sallam
 
[emoji15] Hata wewe umemgeuka?
Labda unijuwi vizuri unanisoma kwa woga.

Hawa watoto Diamond na huyu Kiba usiwakosowe for what?

Diamond hamna shule pale lakini inaonekana wazi ni quick learner tofauti na huyu dogo mwingine ambaye ana sayari yake ya peke yake anayoishi.

Ndio maana nilimtalajia kwenye chama langu la Dar Yanga Afrika.

Kanuni za muziki wa kiushindani huyu dogo sidhani kama anazijuwa.

Ana kipaji kikubwa sana lakini ni sikio la kufa.
 
Yaani huyo duanzi Chriss Brown ambaye ni zao la babu zetu kupelekwa utumwani ndio anakuja Africa halafu hana mood sijui nzuri ? Kwani alikuja bure au kufanya kazi na analipwa ?
Zao la babu yako gan mzee au yule wa Nangwada..
 
"tell that man (kiba) to step down or we will use force" Hahaaa! Hivi walinzi wa Chris Brown hawamjui Kiba hadi wamwite "that man"!?
Aiseeeh ww unataka kukasirisha watumishi wa mfalme eeeh???? . Kuwa muungwana aiseeeh
 
litakuwa lilikuwa tamasha la level za kiba na la kiswahil sana, ndio maana diomond akwenda
 
Mganga kasema microphone ilipigwa juju.
 
"tell that man (kiba) to step down or we will use force" Hahaaa! Hivi walinzi wa Chris Brown hawamjui Kiba hadi wamwite "that man"!?
Mwambie Bwana Yule ashuke....hahhaahahaa
 
Yes naona chief Matola umekuwa muungwana.

Kwenye hili alikiba anachokitafuta ni chuki from diamond fans....

Na huruma kutoka kwa wafuasi wake

Anyway akikubali kubadilika atakuwa msanii mkubwa africa
 
Kiba ana tatizo la kisaikolojia
Kazimiwa mic,bila kupepesa macho kamshutumu meneja wa Diamond
Kumbe muda aliopewa kauchezea kwa kutega kupanda jukwaani
Vanessa anastahili pongezi sana,Kiba ni mwanamuziki mdogo sana kujikweza kiasi cha kutaka kujipima na wizkid
Kiuwezo kiba hana tofauti na Timbulo au Babu Ayubu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…