Vanessa Mdee ajitoa kutumbuiza Mombasa na Chriss Brown

Vanessa Mdee ajitoa kutumbuiza Mombasa na Chriss Brown

brave one

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2013
Posts
4,879
Reaction score
7,386
Vanessa amejitoa baada ya waandaaji kuto timiza masharti ya wali ya makubaliano, vanessa ametoa taarifa hiyo kitia kurasa zake za mitandao ya kijamii
1475827386279.png
 
Nna was was na wengine wanao enda kuperfom isje ikawa ndo kutafta unaarufu tu eti ulipanda jukwa moja na Chris breezy, ili uridhishe mashabili wako
*safi Vanesa ndio kujitambua huko


Samahani kwa wale nlio wakera [emoji1]
 
Tutegemee surprise perfomance kutoka kwa Shilole.
 
Vee money sio msanii wa surprise, Hongera zake mdada anaelewa anafanya nini...
 
Muziki Ni kazi,Kama waandaaji wamekiuka makubariano,usiende...wanamuziki kuweni na msimamo.
 
KAZIKWEPA DHARAU, HUKU TZ TUNAKUITA MSANII WA KIMATAIFA na mwingine tunamuita "king",HALAFU HAPO KWENYA TU HAWAKUPI HADHI YAKO. SASA ONA HATA KWENYE MATANGAZO YAO HAWAWATAJI KUWA KUTAKUWA NA MSANII FULANI KUTOKA TZ,ZAIDI YA CHRISS BROWN NA WIZKID.
proxy.php
 
Nna was was na wengine wanao enda kuperfom isje ikawa ndo kutafta unaarufu tu eti ulipanda jukwa moja na Chris breezy, ili uridhishe mashabili wako
*safi Vanesa ndio kujitambua huko


Samahani kwa wale nlio wakera [emoji1]

Jiwe GIZANI..!
 
KAZIKWEPA DHARAU, HUKU TZ TUNAKUITA MSANII WA KIMATAIFA na mwingine tunamuita "king",HALAFU HAPO KWENYA TU HAWAKUPI HADHI YAKO. SASA ONA HATA KWENYE MATANGAZO YAO HAWAWATAJI KUWA KUTAKUWA NA MSANII FULANI KUTOKA TZ,ZAIDI YA CHRISS BROWN NA WIZKID.
proxy.php
Wanataka kuwafanyia surprise mashabiki..!
 
KAZIKWEPA DHARAU, HUKU TZ TUNAKUITA MSANII WA KIMATAIFA na mwingine tunamuita "king",HALAFU HAPO KWENYA TU HAWAKUPI HADHI YAKO. SASA ONA HATA KWENYE MATANGAZO YAO HAWAWATAJI KUWA KUTAKUWA NA MSANII FULANI KUTOKA TZ,ZAIDI YA CHRISS BROWN NA WIZKID.
proxy.php
dah kweli aya ni madharau
 
Hahhaa mbona kiba aonekani kwenye matangazo nn tena au ndo anajaziwa watu bdae aseme aliwajaza
 
Back
Top Bottom