Bwana Mapesa
JF-Expert Member
- Apr 28, 2011
- 2,551
- 1,777
Kapigiwa simu na Bashite nini?Msanii wa kizazi kipya, Vanessa mdee amekamatwa na polisi leo mchana, hata hivyo sababu ya kukamatwa kwake bado haijajulikana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kapigiwa simu na Bashite nini?Msanii wa kizazi kipya, Vanessa mdee amekamatwa na polisi leo mchana, hata hivyo sababu ya kukamatwa kwake bado haijajulikana
Duh! "...a serial connections of drugs of abuse".It might be a serial connections of drugs of abuse
Mtu anaposema hatumii kampima?Sasa watanzania watakuja na kusema hatumii dawa wanamsingizia, doh aliyeturoga kafa
Wew mtu yoyote yule mtumiaji wa ngadaa awezi taja kiurahisi huwa ni Nani anayemuuzia,,, ila akiwekwa ndani siku kama mbili akili zitapanda ataona Haina haja ya kuumia ni bora ataje anayemuuzia.... Sasa mtu awezi kuwa wa information katika biashara haramu bila kubanwa (punda bila kiboko awezi kwendaa) Sasa serikali haikosei wanajua wanachokifanyaWarumi kwani unaona ni sawa kuwakamata hawa watumiaji na kuwaweka ndani, badala ya kuwatumia kama link ya information kwa wale mapapa wakubwa wanaowauzia. . ?
Nashukru mkuu,si unajua tena stm kayumbaDuh! "...a serial connections of drugs of abuse".
Ilikuja na meliDuh! "...a serial connections of drugs of abuse".
We shemale una mambo, au wewe na makonda watoto kama alivyosema Mheshimiwa Sugu.Naona kazi ya makonda inaendelea, safi sana
nadhani V money kasikia Bashite yupo south akadhani kaenda kumkamata .Imebidi arudi mwenyewe fastaNaona kazi ya makonda inaendelea, safi sana
Si mnapenda pesa za chapchap..hakuna mapenzi watu wanaangalia connection.Hivi huyu jux ana nn, kaanza jack and now Vanessa, mmmh Nina mashaka
It might be a serial connections of drugs of abuse
Wanajitahidi kumbomoa lakini wapi.Kapewa likizo na Rais akapumzike leo anaingia jijini,vita inaendeleaNaona kazi ya makonda inaendelea, safi sana
Hii picha nikiiona huwa nacheka sana alafu kafanana na madenge