Triple G
JF-Expert Member
- Aug 12, 2011
- 3,018
- 4,369
mbona yupo fresh sana tu VanessaUummmh...nah!
Wanaume watu wa ajabu kweli kweli. Vanessa havutiii hataaaa ila kuna mtu halali huko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mbona yupo fresh sana tu VanessaUummmh...nah!
Wanaume watu wa ajabu kweli kweli. Vanessa havutiii hataaaa ila kuna mtu halali huko
ulitaka kusahau sisi Omnivorous ambao tunakula vyote Nyama pamoja na majani...!! wengine hatuoni shida kwa vanesa yupo fresh tu..alafu huwa wana ladha nzuri tu hao😀unajua ktk hii dunia tunatofautiana matamanio, mimi napenda vinyama kidogo na wapo wanapenda kama Vanessa, so uniamini nisemacho.
pia haifai kuwa fisi yaani kila mzoga unazoa, hapana...uchaguzi na kuheshimu hisia ni muhimu sana bila kujali ulivyo wewe
Sent using Jamii Forums mobile app
ulitaka kusahau sisi Omnivorous ambao tunakula vyote Nyama pamoja na majani...!! wengine hatuoni shida kwa vanesa yupo fresh tu..alafu huwa wana ladha nzuri tu hao[emoji3]
Demi hujambo?Ka-body katamu
Kabisa , habari yakoDemi hujambo?
"ᵂᵒʳʳʸ ⁱˢ ᵃ ʷᵒʳᵈ ᵗʰᵃᵗ ᴵ ᵈᵒⁿᵗ ᵃˡˡᵒʷ ᵐʸˢᵉˡᶠ ᵗᵒ ᵘˢᵉ"
Uummmh...nah!
Wanaume watu wa ajabu kweli kweli. Vanessa havutiii hataaaa ila kuna mtu halali huko
Uummmh...nah!
Wanaume watu wa ajabu kweli kweli. Vanessa havutiii hataaaa ila kuna mtu halali huko
usitujumlishe, huyo hata tulale na tukumbatiane usiku kucha wala simgusi
Sent using Jamii Forums mobile app
Uummmh...nah!
Wanaume watu wa ajabu kweli kweli. Vanessa havutiii hataaaa ila kuna mtu halali huko
Mhhh mimi huyu sina mzuka nae kabisa labda Mdogo wake "MIMI MASI" kidogo ana nyama nyama huyo naona mifupa tupu kama BETINA.
Nashukuru, nami niko poa. Nitakutafuta baadae PMKabisa , habari yako
Karibu, Ila Avatar yako inanitisha. Uje na chupa ya wine tuburudike wakati wa maongeziNashukuru, nami niko poa. Nitakutafuta baadae PM
"ᵂᵒʳʳʸ ⁱˢ ᵃ ʷᵒʳᵈ ᵗʰᵃᵗ ᴵ ᵈᵒⁿᵗ ᵃˡˡᵒʷ ᵐʸˢᵉˡᶠ ᵗᵒ ᵘˢᵉ"
Usijali.Karibu, Ila Avatar yako inanitisha. Uje na chupa ya wine tuburudike wakati wa maongezi
😀😀😀😀😀 una utani na Juma Mussa (Jux) wewe.Uummmh...nah!
Wanaume watu wa ajabu kweli kweli. Vanessa havutiii hataaaa ila kuna mtu halali huko