tax compliant
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 1,211
- 1,196
Kila mtu hujaribiwa na tamaa yake mwenyewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Demu ukimwangalia mara mbili tatu lazima utaona anatamanishaSURE BOSS zamani nilikuwa namcheki Vanessa kama demu flani hivi ambaye havutii kabisa Kuna siku nilitulia nikamcheki kwa umakini aisee vannesa mtamu nyie acheni kabisa
Naamini Jux sio mjinga kunasa kwa huyo mtoto
Sent using Jamii Forums mobile app
Team Kipoozeo hamjaelewa somo kabisa, wazee wa mizigo ilojaliwa ne'ema za allah!Naunga mkono mie sioni cha kuvutia kwa huyo binti.
Team Kipoozeo hamjaelewa somo kabisa, wazee wa mizigo ilojaliwa ne'ema za allah!
I see.Kila mtu hujaribiwa na tamaa yake mwenyewe.
Nimekaona!Heh! Kumbe huwa kana kanyungu!!!
Sio wote....mana yule demu ni mbovu atari nashangaaa eti anaonekana na mvuto...sema usishangae sana mana muangalie kwanza Beholder unaeza kukuta beholder ana sura mbovu zaidi ndo manaUummmh...nah!
Wanaume watu wa ajabu kweli kweli. Vanessa havutiii hataaaa ila kuna mtu halali huko
Dah mjomba unaweza kuumba hata unywele mmoja ?Wakawaida sna huyu mdada ,
Nusra nimchape wife sku moja kwa kujifananisha na hiki kinyago
Sent using Jamii Forums mobile app
Umenikumbusha mbali katuni za akina betina mh jamani we acha tu.Mhhh mimi huyu sina mzuka nae kabisa labda Mdogo wake "MIMI MASI" kidogo ana nyama nyama huyo naona mifupa tupu kama BETINA.
@king kong lll dar umetisha laanaMhhh mimi huyu sina mzuka nae kabisa labda Mdogo wake "MIMI MASI" kidogo ana nyama nyama huyo naona mifupa tupu kama BETINA.
Unajuaje kama havutii na wewe siyo mwanaume? Mtoto mkali huyo hujaona ?Uummmh...nah!
Wanaume watu wa ajabu kweli kweli. Vanessa havutiii hataaaa ila kuna mtu halali huko
Mkuu mi naona kakichuguu kakuchimbuachimbua....Mhhh mimi huyu sina mzuka nae kabisa labda Mdogo wake "MIMI MASI" kidogo ana nyama nyama huyo naona mifupa tupu kama BETINA.
Me mwenyewe nimemshangaa sanaYaani unataka mtazamo wako wa kike kuhusu mvuto kwa mwanamke uwe sawa na mtazamo wa mwanaume anavyovutiwa na mwanamke??
Mkuu kuna watu wanamwelewa matata, na figure yakeKuna Mwingine Aisee hana nyama kabisa nahisi ngozi imekamatana na mifupa ..FLAVIANA MATATA.
HahaaMhhh mimi huyu sina mzuka nae kabisa labda Mdogo wake "MIMI MASI" kidogo ana nyama nyama huyo naona mifupa tupu kama BETINA.