Vanessa Mdee huku ni kutuweka majaribuni sasa

ulitaka kusahau sisi Omnivorous ambao tunakula vyote Nyama pamoja na majani...!! wengine hatuoni shida kwa vanesa yupo fresh tu..alafu huwa wana ladha nzuri tu hao😀
 
Basata hii inakubalika kweli?
 
Uummmh...nah!
Wanaume watu wa ajabu kweli kweli. Vanessa havutiii hataaaa ila kuna mtu halali huko


I agree, VMoney hana mvuto na ndiyo maana anatapatapa sana ili aonekane na wajinga washindwe kulala usiku. Sikuamini kama vitako vyake vimebondeka kivile yaani, eti anashidana na Wema kuwa na mabonde tigoni?
 
Kabisa , habari yako
Nashukuru, nami niko poa. Nitakutafuta baadae PM

"ᵂᵒʳʳʸ ⁱˢ ᵃ ʷᵒʳᵈ ᵗʰᵃᵗ ᴵ ᵈᵒⁿᵗ ᵃˡˡᵒʷ ᵐʸˢᵉˡᶠ ᵗᵒ ᵘˢᵉ"
 
Karibu, Ila Avatar yako inanitisha. Uje na chupa ya wine tuburudike wakati wa maongezi
 
Karibu, Ila Avatar yako inanitisha. Uje na chupa ya wine tuburudike wakati wa maongezi
Usijali.

"ᵂᵒʳʳʸ ⁱˢ ᵃ ʷᵒʳᵈ ᵗʰᵃᵗ ᴵ ᵈᵒⁿᵗ ᵃˡˡᵒʷ ᵐʸˢᵉˡᶠ ᵗᵒ ᵘˢᵉ"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…