Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hakuna Cha wivu Wala Nini .hana upini wowote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hakuna Cha wivu Wala Nini .hana upini wowote
[emoji12][emoji12][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
hivi yule Mzaramo mpaka kumchoma yule dada na kutia mbolea mgomba ni mbunye tu alinyimwa? au Dada aliigawa mtaa mzima maana wapare kande ni kande tu ww kulaKuna Jamaa majuzi kamtoa uhai mtoto wa Kipare kisha kamtia moto hatari sana ...Mkuu.
au kisa chriss brown kamfollow vanesa [emoji23][emoji23]Jux ni mtu tofauti sana .
Amevumilia mengi huyo vanessa ni mpumbavu hajatulia anajiona sana naalikuwa anamdharau jux anatembea na mastaa wakimarekani ila hajajua moja alipoteza nyota yake kama daimond alivyopoteza nyota yake .
Binadamu tumeumbwa kutotambua nyota yako unaenda kwa mikosi tu watu wasiokudhamini watu wasiokujali na unamtegemea asiyekuona unafaa.
Ndio maisha lakini vane baibai nyota yako.
Utaangalia mwa macho chote ulichovuna naye kinaliwa na mwingine isitoshe hicho kifua ulichokua unakilalia wakati umeshindwa jambo hakipo tena .
mm nimeipenda /shtukia picha wapo wemgi!mchele mchele huyo dogo
Halafu ndio ilivyogi, ukiona demu anakuponda baada ya kuachana ujue aliku abuse japo you were the best version to her. Ni kama haamini kama umeondoka kwenye circle yake ya maisha.🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Shows how weak the bitch is [emoji1]
Mwamke aliefundwa vizuri na wazee wake hawezi kutamka hayoAkihojiwa EATV vanessa mdee amedai licha ya kuwa na kifua kikubwa bwana Jux kitandani alikua kama gogo.
Uzi tayari.
hahah wana spread shitYeah nnao kama watatu ivi wa hivyo, unajua sielewag man kama pipe nlikuwa nawapiga kipro kabisa, yan like a baller ila leo utasikia mara vile mara ivi yaaan daaah
Umeongea fact.......ila maneno yako makali mnooooUpunguani ni kutoa maoni ya kuunga mkono mneno matupu yasiyo na ushahidi wa video. Hii forum kumbe wakurupukaji na mapunguani wa kujifanya wanajua undani wa watu ni wengi. Mtoa mada wewe ni kenge aisee, weka video unless umetype huku wanakomba mavi.
Washafikia Huku???Mpumbavu anatoaje Siri za ndani, Jux akirudisha si ni mtafutano kitaa.
unawezaje kua na mpnz mwana ccm mkuu?Namtafuta mpenzi wangu zeshchriss wakuu, mkimuona mwambieni namtafuta.
V pesa alijua jamaa yupo real nae sana na akatumia hio power kumfanya kituko flani hivi, and she thought it was fun kumliza jamaa miezi 8 kumbe ndio amempa strength ya kuishi bila yeye.
Awamu ya pili kazingua yeye sasa akapewa chai ati anaiona yamoto kweli 🤣🤣🤣 na atalia sana ***** kutoka bongo mpaka Thailand!!! Kazi nzuri sana baharia Jux
Wivu tu bichwa lako[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]unawez
unawezaje kua na mpnz mwana ccm mkuu?
Mzee baba kama nataka nikuelewe hiv ila bado najarib kukusomaKweli huyu dada kaishiwa SERA!!
Ila sio yeye, tatizo ni nature ya kabila lake....always ipo wazi, "wanawake wa KIPARE, wana matatizo....".