Vanessa Mdee: Jux hawezi kitu kitandani

Vanessa Mdee: Jux hawezi kitu kitandani

Jux ni mtu tofauti sana .
Amevumilia mengi huyo vanessa ni mpumbavu hajatulia anajiona sana naalikuwa anamdharau jux anatembea na mastaa wakimarekani ila hajajua moja alipoteza nyota yake kama daimond alivyopoteza nyota yake .
Binadamu tumeumbwa kutotambua nyota yako unaenda kwa mikosi tu watu wasiokudhamini watu wasiokujali na unamtegemea asiyekuona unafaa.
Ndio maisha lakini vane baibai nyota yako.
Utaangalia mwa macho chote ulichovuna naye kinaliwa na mwingine isitoshe hicho kifua ulichokua unakilalia wakati umeshindwa jambo hakipo tena .
au kisa chriss brown kamfollow vanesa [emoji23][emoji23]
 
mchele mchele huyo dogo
mm nimeipenda /shtukia picha wapo wemgi!
1564865125328.png

hata kwa JUX kuna utata acheni mpare alalame
 
Wasanii wa bongo bana
Sijui wataacha lini mambo
ya ajabu ajabu💩💩💩🤬
 
"Sizitaki mbichi hizi"
"Maneno ya mkosaji"
 
Halafu ndio ilivyogi, ukiona demu anakuponda baada ya kuachana ujue aliku abuse japo you were the best version to her. Ni kama haamini kama umeondoka kwenye circle yake ya maisha.🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Shows how weak the bitch is [emoji1]

Yeah nnao kama watatu ivi wa hivyo, unajua sielewag man kama pipe nlikuwa nawapiga kipro kabisa, yan like a baller ila leo utasikia mara vile mara ivi yaaan daaah
 
Akihojiwa EATV vanessa mdee amedai licha ya kuwa na kifua kikubwa bwana Jux kitandani alikua kama gogo.

Uzi tayari.
Mwamke aliefundwa vizuri na wazee wake hawezi kutamka hayo
Ni dhahiri kwamba dada amechanganyikiwa,anarusha risasi hovyo
 
Hii jinsia ya ke inaonaga yenyewe haina kasoro......... Mkiachana anaanza shombo
 
Upunguani ni kutoa maoni ya kuunga mkono mneno matupu yasiyo na ushahidi wa video. Hii forum kumbe wakurupukaji na mapunguani wa kujifanya wanajua undani wa watu ni wengi. Mtoa mada wewe ni kenge aisee, weka video unless umetype huku wanakomba mavi.
Umeongea fact.......ila maneno yako makali mnoooo
 
kweli ndugu. Unachosema ni sahihi. Mwanamke akikuacha na kukurudia basi hiyo round ya pili inakuwa zamu yake kulia.
V pesa alijua jamaa yupo real nae sana na akatumia hio power kumfanya kituko flani hivi, and she thought it was fun kumliza jamaa miezi 8 kumbe ndio amempa strength ya kuishi bila yeye.

Awamu ya pili kazingua yeye sasa akapewa chai ati anaiona yamoto kweli 🤣🤣🤣 na atalia sana ***** kutoka bongo mpaka Thailand!!! Kazi nzuri sana baharia Jux
 
Sikufikiria kama Vanessa angekuwa na akili kama hizi! !!

Ila siku zote ukiachana na demu , tafuta mkali zaidi yake lazima ajichatue na kubwabwaja tu.
 
Back
Top Bottom