Vanessa Mdee: Jux hawezi kitu kitandani

au kisa chriss brown kamfollow vanesa [emoji23][emoji23]
 
Wasanii wa bongo bana
Sijui wataacha lini mambo
ya ajabu ajabu💩💩💩🤬
 
"Sizitaki mbichi hizi"
"Maneno ya mkosaji"
 

Yeah nnao kama watatu ivi wa hivyo, unajua sielewag man kama pipe nlikuwa nawapiga kipro kabisa, yan like a baller ila leo utasikia mara vile mara ivi yaaan daaah
 
Akihojiwa EATV vanessa mdee amedai licha ya kuwa na kifua kikubwa bwana Jux kitandani alikua kama gogo.

Uzi tayari.
Mwamke aliefundwa vizuri na wazee wake hawezi kutamka hayo
Ni dhahiri kwamba dada amechanganyikiwa,anarusha risasi hovyo
 
Hii jinsia ya ke inaonaga yenyewe haina kasoro......... Mkiachana anaanza shombo
 
Upunguani ni kutoa maoni ya kuunga mkono mneno matupu yasiyo na ushahidi wa video. Hii forum kumbe wakurupukaji na mapunguani wa kujifanya wanajua undani wa watu ni wengi. Mtoa mada wewe ni kenge aisee, weka video unless umetype huku wanakomba mavi.
Umeongea fact.......ila maneno yako makali mnoooo
 
kweli ndugu. Unachosema ni sahihi. Mwanamke akikuacha na kukurudia basi hiyo round ya pili inakuwa zamu yake kulia.
 
Sikufikiria kama Vanessa angekuwa na akili kama hizi! !!

Ila siku zote ukiachana na demu , tafuta mkali zaidi yake lazima ajichatue na kubwabwaja tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…