boaz mwalwayo
JF-Expert Member
- Jan 27, 2015
- 6,287
- 4,738
Hivi jux anasomea nini huko uchinani,udaktari au mbona hatuoni graduation mwaka wa nne sasa...
Alafu huyu sista wake fatmaeight5 na mmewe mo siwaelewi pia,wanapata wapi pesa hawa maana ni bata tu,mmh
Vanessa anajitambua sana huwezi mfananisha na jack
Unavyomuona Vanessa, licha ya kuwa mpenzi wa jux still muda mwingi yupo na nahreal na aika na sometimes yupo na weusi hiyo ndio campany yake, hawa watu wanasikilizana na kuheshimiana sana..
Unavyoyaona mafanikio ya vanessa mpaka hivi sasa, HANAGA MANAGER, MAMBO YOTE ANASIMAMIA YEYE MWENYEWE.. Ni mtu wa kusimamia sana, malengo yake although binadamu tunakumbana na vishawishi na tunaudhaifu, ila sio kwa vanessa kutumia madawa ya kulevya..
Kabla ya kujaji jiulize, je kuna supportive evidence yenye tija kutoka kwenye hayo maelezo ya mtoa mada??? au kwakuwa ni star, then baya lolote anaweza kufanya???
Anataka kutoa nyimbo mpya huo labda cash madame ilitolewa wakati usio muafaka maana darasa na mziki amewasahaulisha wanamziki wte waliotoa nyimbo Karib naeUbuyu mtamu sana asee..!!
Vanesa hanihusu and I have nothing against her ila ikumbukwe tu, the company you keep says a lot about you. Unataka kuniambia Jack alikuwa hajitambui? She knew who she was na ndiyo manna alikuwa anadanganya watu kuwa hajishughulishi na biashara ya unga na ukahaba kule Macau.
Kwa tunayejuwa haya masuala tulikuwa tunacheka tu. Jack ni malaya wa kujiuza, pusher, na kuwadi wa kuuza wenziwe watu wake wa karibu ndiyo walikuwa wasiri wake wakubwa.
Kama Vanessa anataka kubwigia sembe mbona anaweza sana kwa sababu kwenye rehearsal kuna break na anaweza kusema yupo kwenye mazoezi ila anafanya mavituz yake na watu aliyenao karibu ndio wasiri wake wakubwa.
Kumbuka, akufutae machozi when you are crying is the one who makes you cry. Yetu macho, Vanessa kama kweli anajitambua she has to stop dating this fool, Jux is a junk. Nasema haya because I care for that little girl, hata kama mimi ningekuwa baba wa Vanessa nisingeruhusu mwanangu atoke na pusher who uses my daughter for his gain.
Jux will never come here kusema kuwa yeye si pusher, we know him na nani anampa kichwa cha hizi dawa, mbona siyo siri?
Je huyu boy friend wake Vanessa Mdee naye anabugia Madawahuyu huyo alikuwa na mahusiano na mdada ambaye amefungwa china kwa madawa,huyo huyo ndio anamfundisha vanesa kuvuta,naamini story yako
Mzaramo umeelewekaItafahamika tu maana hata Chid Beenz alikuwa anabisha mpaka siku ile anaojiwa na Salama alikuwa anakuja juu kabisa Salama anampoza...
Nando alibisha....Ray C alibisha akakimbilia mpaka Kenya kuvuta kwa uhuru.
T.I.D mpaka Kesho anabisha....Q.chillah alibisha yalipomzidi akaenda mwenyewe kuomba msaada kwa Muhonda.
Young D alibisha kweli kweli...na wote hao walikuwa kuna watu kama wewe wanawatetea.
Ila kikubwa kuvuta unga ni kama kupanda mnazi uhani kwako ukiwa mdogo utafanya siri ila ukishakuwa utaipita nyumba urefu na kila mtu atajionea.
Unajua watu awajaelewa ukitaka kuwa Msanii na unajulikana ukiwa na Kiki ya kutumia Unga ndio wanaona bonge la ujanja sanaYoung dee na,Vanessa ndi next bg social networks and midia kwa madawa na ndo more story kwa sasa social networks
Mkuu why umejiuliza hii,?Ivi kingkiba habwii unga
Sawa juxHakuna kitu kama hicho, Vanessa hatumii...
Yule swala tano, mtoto wa Kiswahili sana full majungu awezi kula ungaIvi kingkiba habwii unga
kuwa mwelewa wa fasihi mkuu..wanatumia na hyo unaemjuaHilo jina kapuni nalitamani maana anayetoka naye kimapenzi anajulikana labda kama anao wengi.
wacha aondoke tupo wengi sana tz mkuuCandle in the wind.... Ataondoka angali kinda
Huwa nakuamini sana kwenye maubuyu,kama sijakusikia najua haipo hivyo.Hili nililisikia muda sana,kama mwaka mmoja uliopita.
Shauri zake,sio mtoto asiyeona madhara yatokanayo na unga.
Time will tell.