Vanessa Mdee katika skendo kubwa ya kutumia madawa ya kulevya (Heroin)

Addiction ya dawa za kulevya ni ya kusikia tu kwenye story. Ni kifo kile. Na kama jamaa mmoja alivyosema ukipanda mnazi uani ukiwa mchanga unaweza kudanganya watu kuwa huna mnazi lakini mnazi utakua na kuipita nyumba kimo. Ukweli utajifunua tu.
 
Labda anatumia unga wa ugali sio ule unga wawakina Chid na Ray c
 
Mkuu umeniogopesha hila kwenye suala la madawa siwezi kumwekea mtu zamana mfano ferooz alimwimbia Daz baba kijana mteja naw yeye ni mteja vibaya mno


Sina uhakika na hili ila kuna ndugu yangu wa ukoo naye ni msanii wa fleva kaniambia kuwa wasanii wengi wa fleva ni watumiaji wazuri tu tena kuna wengine tukiwajuwa tutashangaa na kutoamini. Bongo fleva ni janga lingine la taifa.
 
Ooh hiv haya madawa yanatengenezewa nini majani gani
 
Diamond na group lake wanauza unga, ni suala la muda tu
Nchemba anafanya kazi gani jamani?[emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35]
 
hilo nafahamu vizuri wooden....na hata boss wao anaye wasponsa ktk biashara hii anafahamika vizuri...ni mtu mmoja mzito sana ktk jamii ya watz.acheni tu jamani.
Kwa hili magufuli amechemka
 
Duuuuhh aisee! [emoji15] [emoji15] [emoji15]
Asante malkia wa ubuyu..

Ujue huu unga daraja la kwanza ni Cocaine ile yenyewe pure.. Hawa akina Chidi Benz & Co wanatumia crack cocaine au heroin..
Baba,mama wote watu wa ubuyu.ila wako ni wa kimataifa.[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Ila kwa kweli yani ukianza kutimia cocaine grade 1 ndani kama ya mwezi yani unahisis raha balaa hata mi pia nafikiri ni mtumiaji mjanja kwa mwezi mara mbili naacha kidogo kidogo.
Cocaine inauzwa sh ngapi sasa hivi?
 
Nakupa Home work mkuu....jaribu kumchunguza Vanessa labda pengine ndio alivyo maana simjui sana in Personal ila mcheki sana alivyo mchangamfu alafu angalia kwa Elimu yake na urembo wake anastahili kuwa vile?!
Vanessa yupo hivyo miaka yote ,mwili wake kuwa vile isiwe eti ndio sababu ya kula madawa ,
 
Mkuu hapo naona chumvi imezidi,mtoto wa miaka 5 anajua mwanaume?[emoji15] [emoji15]
 
Ooh hiv haya madawa yanatengenezewa nini majani gani
Majani ya mmea unaitwa Coca! Kwa muonekano unafanana na mkahawa..

Kuna process zinafanyika hapo ili kupata ule urojo urojo wa ndani ya jani, then inachanganywa na dizeli na chumvi ya carbonate! Wanaifanyia process flani flani then inachanganywa na chokaa.. Alafu mwishoni inazimuliwa na Sulphuric acid.. Hapa unakuwa umepata pure cocaine

Ila hii wanayotumia akina chidi (crack cocaine) yenyewe wanachukua ile pure cocaine alafu wanaichanganya na baking powder (sodium bicarbonate) alafu wanaifanyia process flani flani alafu inagandishwa.. Ikiganda inakuwa kama vimawe mawe flani hivi.! That's why hii ya kina chidi huwezi kusniff.. Inabidi uiyeyushe kwenye glass au kijiko then ujidunge kwa sindano..


DON'T TRY THIS AT HOME [emoji23] [emoji23]
 
Hakuna kitu kama hicho, Vanessa hatumii...

sababu na ushahidi ni muhimu kwani kuna namna nyingi za kuthibitisha madai yako. malizia hizo three dots kwenye sentenso yako tafadhali
 
mimi siwafichi anaetumia dawa nikimwangalia tu hivi nishamjua!hata kwenye picha.
kuanzia ganja hadi sembe
 
Duuuuu
 
Dahh... Sitaki kuamini lkn subiri tuone ni kama pembe LA ngombe halifichiki
 
Kwa ukali wa video za vannesaa muziki haumlipi kiasi hicho cha kutengeneza video za gharama hvyo
 
Vanessa yupo hivyo miaka yote ,mwili wake kuwa vile isiwe eti ndio sababu ya kula madawa ,
Sijazungumzia mwili wake mkuu punguza papara.

Nimezungumzia Tabia zake za uchangamfu uliopitiliza na sio mwili wake kuwa mwembamba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…