Lisemwalo Lipo ngoja tuone mambo yatakavyokwenda Kwa Vanessa ila siaminiamini kabisa
Mtu unawezaje kutembea mbele za watu au kushoot video na vichupi bila kutumia madawa ya kulevya ya aina yoyote ile?!! Inajulikana wasanii wengi duniani hutumia haya makitu. Nimefanya kazi "methadone clinic," mateja huwa wananipa story kibao tu! Anyways!
labda ujaribu ww mkuu!..mi nimeongea nae kakataa kasema eti ni snichi za mahata
Jigo
Na Vanessa nae? Haiwezekani, ngoja nimulize..
Kwani kuna atakaye kuambia ndio natumia madawa ??? Chidi benzi ilifikia hatua akamshushia makonde Ray C ,kisa alitaka sijui apewe tiba ya matumizi ya madawa ,labda ujaribu ww mkuu!..mi nimeongea nae kakataa kasema eti ni snichi za mahata
Jigo
Una bifu na mshana eeeeh!!!!🙁Hata mshana jr nasikia na yeye anagonga haya makitu mazee
Yupi???....Daah hili n tatzo la kitaifa aisee kuna na yule mwanamuzk Wa gospel naye nackia anabwia nae
Yule Wa ni bebe mkuuYupi???....
Ahsante mkuu, nimekusoma.Yule Wa ni bebe mkuu
huyu sijui hajui kusoma na kuandika huyuRip v money