Vanessa Mdee katika skendo kubwa ya kutumia madawa ya kulevya (Heroin)

Kidada sikipendi sana hiki, kinisamehe! Msanii gani huyo mwingine? Au yule wa wimbo wa SISIKII??
 
Je, unajua kama mpenzi wake ni dealer kwenye hiyo biashara?

Mkuu ukiwa unauza sigara kuna baadhi ya wateja watakwambia niwashie.

Labda anakuwaga kwenye kitengo cha kutest ubora!
Teh teh teh....
.
Kama kuuza pombe bila kujua ubora wake.Elimu inahitajika sana ktk jamii hasa wasanii wetu
 
Mpendwa ..hebu usinipe ugonjwa wa moyo eeeh!!!
What...? (kwanza niulize Mji /maeneo gani?)
Ustawi wa jamii upo wapi?
 
Mpendwa ..hebu usinipe ugonjwa wa moyo eeeh!!!
What...? (kwanza niulize Mji /maeneo gani?)
Ustawi wa jamii upo wapi?


Dar es salaam, Ilala na Tabata, kuna vikundi vya vijana wanaoishi katika mazingira hatalishi wavulana kwa wasichana ( wengine wakubwa nao wameathirika na drugs abuse na wengine kisaikolojia) in short matumaini ya maisha ya amani moyoni huku mitaani ni 0.00% hakuna kabisa hope!!
 
Kwa Uchungu...basi nakuja funguwa na kuasisi NGO !! (rehblisheni) hope mema mbeleni...
 
Hilo jina kapuni nalitamani maana anayetoka naye kimapenzi anajulikana labda kama anao wengi.
Nami nilitaka nimwulize hilo swali.. Maana Boyi Furendi wake anafahamika... sasa jina kapuni manake nini..!
 
Harafu wasanii wanajiita kioo cha jamii kwa misingi ipi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…