Kwanini wanakopy majina ya nyimbo za mbele
Never Ever - Ciara
Oooh Na Na -- Treyz
Oo Nana - Diamond
Na nani sasa kama simjui ni siseme we kama unamjua nifahamishe ni nani maana ma star wapo wengi siku hizi mpaka stanbakora ??umetumwa?
Akili zako ww kama kitale kuchukua tuzo inategemea na nyimbo jinsi ilivyo hit katika huo mwaka au collaboration kama "mapenzi pesa " iwe best collaboration itakuwa maajabu coz haija hit the same goes to othersNAJISKIA RAHA KIBA KUWA DOWN KWA MAANA ALISHINDWA KUJUA NI NANI HASA MASHABIKI WAKE AKAAMUA KUJIWEKA KWA MAGUFULI
KIBA ANGETAKIWA ASOME MCHEZO KWA NJEE na sasa hata tuzo za kilimajnaro mwaka huu kiba lazma aburuzwe
Akili zako ww kama kitale kuchukua tuzo inategemea na nyimbo jinsi ilivyo hit katika huo mwaka au collaboration kama "mapenzi pesa " iwe best collaboration itakuwa maajabu coz haija hit the same goes to others
NILIMPENDA KIBA KUPINDUKIA, KWA SASA NAMCHUNIA KULIKO NILIVYOMPENDA.....kwa taarifa yako wtsp sina rafiki anayemkubali kiba kwa sasa.....wooote wamegeuka,,,,,akaombe kura kwa magufuliNa nani sasa kama simjui ni siseme we kama unamjua nifahamishe ni nani maana ma star wapo wengi siku hizi mpaka stanbakora ??
Kwani kosa lake ccm kama ni ccm show moja wanampa 25m sasa aache kisa mashabiki we kweli unachekesha mi ni ukawa ila siezi fanya ujinga huoNILIMPENDA KIBA KUPINDUKIA, KWA SASA NAMCHUNIA KULIKO NILIVYOMPENDA.....kwa taarifa yako wtsp sina rafiki anayemkubali kiba kwa sasa.....wooote wamegeuka,,,,,akaombe kura kwa magufuli
Unamchukia bila sababu kabla hajapiga campaign ccm alishaitwa mara nyingi na ccm akakataa ilikuwa jangwani awepo akasema ana sho mombasa alivyorudi akafuatwa tena ndo akakubali tena baada ya kuongea na die hard fans wake sasa aache 25m kisa mashabiki watachukia daa haya bwana endelea na msimamo wako leo alikuwa lindi anapiga show za ccm #mabadiliko 2015
kiba lazima avune alichopanda subiri kill music awards ndio ujue alitukasirisha kumpigia debe magufuli
diamond ni ccm na hilo liko wazi ila kiba ambaye alionesha ni mtu wa watu, na watu ni ukawa mwishoe akaenda kwa magufuli....plz namchukia diamond ila kiba staki hat kumwona
ikianza kili music award nitamkosesha kiba zaidi ya kura mia sita...nitaishawishi jumuiya yangu kuachana na KIBA KWA USALITI WAKE
Ndo maana lowassa kasemaBasi wewe si msikilizaji wa mziki wa bongo maana vanessb ndo msanii wa kike anaeongoza kwa ubora sasa
Achana na huyo ..... Anamawivu yake binafsi.... Watu kama yeye ndo huaga hawaendelei kamwe.... Wanachukua muda mwingi kuHATE hustle za wengine kuliko kufanya Zhao..... Tubadilike bana......Kwani kosa lake ccm kama ni ccm show moja wanampa 25m sasa aache kisa mashabiki we kweli unachekesha mi ni ukawa ila siezi fanya ujinga huo
Haha mkuu umetisha ila ukweli simjui mbona kama umekataa kunielewesha ngoja nika Google basi au vipi??Nahakika wewe unamfahamu sema unajitoa ufahamu maksudi