mheshimiwamtemi
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 291
- 218
Kwenye orodha yako mtoe AY huyo ni kama mwana fa toka kitambo wanafanya mambo yao ya pembeni na muziki, na hawalii shida na heshima wanayo japo wanaumba kwa kujisikia.
Koti gani hilo la bilioni moja?!Alisema alinunua koti la bilioni moja sasa muziki haumlipi vipi.
Sijasema najua Ila nimekupa Mfano wa wasanii ambao hawajawahi kulalamikaKwaiyo mleta uzi anajua zaid kinachopatikana kwenye zaid zaid ya huyo msanii mwenyewe??
Yaan shida kubwa ya bongo niutapiamlo
Yes Ila Tyson anapesa chafu kupitia project yake mpya na baada ya kumpata mwanamke sahihi
Hicho kilicholalamikiwa kikitumika in positive way kinaweza kuwasave hao wasanii dhid yamadawa ya kulevyaSijasema najua Ila nimekupa Mfano wa wasanii ambao hawajawahi kulalamika
Tafuta sehemu za gsm anza na pale lumunba utakua na majibuYana ukweli hayo
Unataka uwe bilionea kama Laizer ndipo uoe ?Haina tofauti nawale jamaa walioajiriwa wakakimbilia kuoa na kutafuna pesa na show off za kibabe ila mwisho wasiku corona nachangamoto zinginezimekuja wanalialia tu
Wakiongozwa na domoWasanii wengi bongo ni ku fake life tu
OH nna range mbili nyumba mln 500 blh blh
Ova
Amewahi kukupeleka kwa hao ma gsm ?F.A kuwadi wa watt wa gsm?! Kutwa kufata matako ya watt wa kiarabu danganya mtu mwingine
Wavivu wamepata cha kujiteteaWatu wote tunaishi kwa kuhustle. Chini ya mafanikio kuna vijimambo kibao vinavyowezesha mafanikio. Sasa hata ukisema ulie au ulalamike au utoe ya moyoni ukidhani labda ni wewe tu unayesota kumbe wote tunaokusikiliza tunasota na pengine kuliko wewe.
Asituone hivi, katika kumaintain hatua tulizofikia au kupiga hatua nyingine tunakutana na mambo mengi ya kuumiza.
Kuna jamaa kwenye kampuni moja alikuwa anamuelekeza bosi wake jinsi ya kuendesha kampuni, akaulizwa swaliKwaiyo mleta uzi anajua zaid kinachopatikana kwenye zaid zaid ya huyo msanii mwenyewe??
Yaan shida kubwa ya bongo niutapiamlo
Anamchafulia FA cvYana ukweli hayo
Yaan nimambo yakushangaza sanaKuna jamaa kwenye kampuni moja alikuwa anamuelekeza bosi wake jinsi ya kuendesha kampuni, akaulizwa swali
"Wewe , umewahi kuendesha kampuni ipi ?"
Sikumbuki jibu alilotoa.
Mzee Huyu ni Mimi kabisa.Haina tofauti nawale jamaa walioajiriwa wakakimbilia kuoa na kutafuna pesa na show off za kibabe ila mwisho wasiku corona nachangamoto zinginezimekuja wanalialia tu