Mambo yao waachie wenyewe.Binafsi lawama zangu naweza kuzielekeza kwa bwana shemeji rotimi.
Siku zote ukipata mchumba anafanya kitu flan yani gafla ukajikuta huwez au huna hamu ya kufanya kile unacho kifanya.
Mziki ulimpenda vasessa na vanessa aliupenda muziki. Ilinichukua muda saana kumuelewa vanessa ila sasa nimemuelewa namuelewa muzik anaoufanya.
Vanesa asijisahau kuwa kwenye uchumba chochote akaona anachokifanya hakina maaana.
Rotimi alipaswa kumuongoza vanesa kufikia kiwango chakimataifa zaidi.
Anyway wajuvi wa mambo wakina warumi wanaweza kutupa maelezo ya haya mambo kwa undani
Acha kuchafua cv za watu bwanaKumbe ni ww[emoji19]
Ukijipa jibu inatosha
[emoji38][emoji38][emoji38]Acha kuchafua cv za watu bwana
Muulize v moneyKoti gani hilo la bilioni moja?!
Ila nandy inaonyesha mziki unamlipa maana sio kwa hayo magari, range na vitu vyote hvoWasanii wengi bongo ni ku fake life tu
OH nna range mbili nyumba mln 500 blh blh
Ova
Hebu dadavua vizuri hapoF.A kuwadi wa watt wa gsm?! Kutwa kufata matako ya watt wa kiarabu danganya mtu mwingine
Jux mtoto wa kishua sio mariooVee Money mbau mbau mpaka roho. Jux alimfilisi aseme ukweli. Kulea Mario Ngumbaru si kazi ndogo.
Weee vee anaumiaje kwa mfano? Wakat yey ndo kam dump jux, na had leo jux anahaha kuachwa na Vanessa, wacha bhana izo dea lolKuna mda nahisi anaficha kitu...i guess kuumizwa na jux ndo yameleta yote hayo na prolly ndiko depression yake ilipoanzia...hzo blah blah za mzki naona ni kuhide the real truth...tho inaweza kua pia imechangia kwa kias kdgo...bt lastly ye ndo mjuz zaid...
Jux na bi mkubwa wake wote n ma agent wa poda huko China, refer Jack, na yeye jux kudanganyia anasoma China kumbe lol, mxieeeeewJux mtoto wa kishua sio marioo
Bi mkubwa wake inasemekana yupo vizuri
Weee dea subiri siku uje ushangae hana hata bajaj, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hawa wasanii sio wa kuwaamini San, mweeeeeehIla nandy inaonyesha mziki unamlipa maana sio kwa hayo magari, range na vitu vyote hvo
hivi kwa umri wa GK ni sahihi kumhusisha na Mali za home kwao?Amtoe pia GK course yule anazo biashara zake na bado home ni mambo safi
huyo si kuna kipindi alikuwa hana hata mia ya kurekodia nyimbo akawa anaomba msaada?Q chief naye kafulia???