Vanessa Mdee ni mwanakulitaka na amelipata

Vanessa Mdee ni mwanakulitaka na amelipata

Binafsi lawama zangu naweza kuzielekeza kwa bwana shemeji rotimi.

Siku zote ukipata mchumba anafanya kitu flan yani gafla ukajikuta huwez au huna hamu ya kufanya kile unacho kifanya.

Mziki ulimpenda vasessa na vanessa aliupenda muziki. Ilinichukua muda saana kumuelewa vanessa ila sasa nimemuelewa namuelewa muzik anaoufanya.

Vanesa asijisahau kuwa kwenye uchumba chochote akaona anachokifanya hakina maaana.

Rotimi alipaswa kumuongoza vanesa kufikia kiwango chakimataifa zaidi.

Anyway wajuvi wa mambo wakina warumi wanaweza kutupa maelezo ya haya mambo kwa undani
 
Binafsi lawama zangu naweza kuzielekeza kwa bwana shemeji rotimi.

Siku zote ukipata mchumba anafanya kitu flan yani gafla ukajikuta huwez au huna hamu ya kufanya kile unacho kifanya.

Mziki ulimpenda vasessa na vanessa aliupenda muziki. Ilinichukua muda saana kumuelewa vanessa ila sasa nimemuelewa namuelewa muzik anaoufanya.

Vanesa asijisahau kuwa kwenye uchumba chochote akaona anachokifanya hakina maaana.

Rotimi alipaswa kumuongoza vanesa kufikia kiwango chakimataifa zaidi.

Anyway wajuvi wa mambo wakina warumi wanaweza kutupa maelezo ya haya mambo kwa undani
Mambo yao waachie wenyewe.

Cc Smart
 
Ameyatambua akiwa kijana. Kuna vijana wakipata ajira wanaishi maisha ya kisanii. Wakiona dogo janja anatoka na Irene nao wanaiga mwisho wa siku wanaishia kukopa benki ili wanunue gari kali na kumiliki demu mkali wa IFM.
 
Wasanii wengi bongo ni ku fake life tu
OH nna range mbili nyumba mln 500 blh blh

Ova
Ila nandy inaonyesha mziki unamlipa maana sio kwa hayo magari, range na vitu vyote hvo
 
Juzi Vanessa anahojiwa kwa (video call) na machalii wa Clouds+(Izzo biz na mwenzake) khs hizo mambo zake za music,manzi akajieleza fresh then akaulizwa yule chalii ako yupo wapi?

Anaitwa sijui Rotini,Vanessa akasema yuko hapa hapa chumbani then akamwambia huyo jamaa hebu niambie maneno ya kiswahili niliyokufundisha jamaa akamjibu MAMBO na neno jingine ni lipi? likajibu KUJAMBA,hahah clouds wakaona sijui huu ni ungese naona wakamtoa hewani na wala hawakum discuss tena na upuuzi wake.
 
Nimeisikiliza vizuri ile interview, Vanessa kaongea ukweli halisi ila sio kwamba yeye hana maisha ni hapana. Ila pale alichomaansha wasanii wengi wana fake life, na huo ndio uhalisia wa celebs wa Bongo,

kuhusu anguko la vee money, yeye anasema kwamba kaachana na mziki na kuanza maisha yake mapya ya furaha na amani, hapa anadanganya mashabiki ili wamuache aendelee kula kwan pause kwenye penzi la shemela wetu Rotimiii, lakini vee mapesa mziki kwake uko damuni na hawezi kuacha kamweee.
 
Kuna mda nahisi anaficha kitu...i guess kuumizwa na jux ndo yameleta yote hayo na prolly ndiko depression yake ilipoanzia...hzo blah blah za mzki naona ni kuhide the real truth...tho inaweza kua pia imechangia kwa kias kdgo...bt lastly ye ndo mjuz zaid...
Weee vee anaumiaje kwa mfano? Wakat yey ndo kam dump jux, na had leo jux anahaha kuachwa na Vanessa, wacha bhana izo dea lol
 
Jux mtoto wa kishua sio marioo
Bi mkubwa wake inasemekana yupo vizuri
Jux na bi mkubwa wake wote n ma agent wa poda huko China, refer Jack, na yeye jux kudanganyia anasoma China kumbe lol, mxieeeeew
 
Ila nandy inaonyesha mziki unamlipa maana sio kwa hayo magari, range na vitu vyote hvo
Weee dea subiri siku uje ushangae hana hata bajaj, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hawa wasanii sio wa kuwaamini San, mweeeeeeh
 
Back
Top Bottom