Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,469
- 12,391
Sawa Gadner..!Nyimbo kali kibibi (jide) kijipange la sivyo kitahadhirishwa na vitoto.
Unajua maana ya hayo maneno?Wimbo mkali ni ule unaimba,"kamata chini ooh kamatia chini oooh kamata chini ooh kamatia chini......"
maana naona hadi vitoto vya miaka 3 vinaimba huu mziki
Una funza kichwani weweNyimbo kali kibibi (jide) kijipange la sivyo kitahadhirishwa na vitoto.
Nimemtaja kutokana na muziki wake, lakini sijamuingiza kama unavyosema.Una unavyoropokwa sasa, komando kaingiaje sasa[emoji15] [emoji15]
Basi sawa..!Nimemtaja kutokana na muziki wake, lakini sijamuingiza kama unavyosema.
Asante.Una funza kichwani wewe
wimbo mbovu sana.. hata ndani ya sekunde mbili huwezi kutunga wimbo mchafu kama huuYule mwanadada mwenye juhudi za kwenda anga za kimataifa leo ameachia track yake mpya inayokwenda kwa jina la NIROGE. Ametoa audio na video kwa pamoja.
Audio imetengeneza na Nahreal
Video imepikwa na Justine Campos
Enjoy!
wimbo mbovu sana hata ndani na sekunde tatu huwezi kutunga wimbo wa kipopompo kama huoYule mwanadada mwenye juhudi za kwenda anga za kimataifa leo ameachia track yake mpya inayokwenda kwa jina la NIROGE. Ametoa audio na video kwa pamoja.
Audio imetengeneza na Nahreal
Video imepikwa na Justine Campos
Enjoy!