the american dream
JF-Expert Member
- Mar 25, 2013
- 1,755
- 835
Tukapate tangazo la wadhamini....
Huyu dada mwenye kilo mbili nae wa kuongelewa ??
its weekend nipo na bebizzzz mkareee u know this is how we do it garadem mazafantaz watadis lakini we enjoy life u know
Hahahaaa!!!! kweli we KANDIRI jamaani umeniacha hoiiii
Bora angekuwa mstaarabu tu maana anavyoleta pozi wakati watu wanamdharau?Yani kajitia aibu halafu bado anajishebedua mbele za watu?mfyuuuuuu
mi nilkuwa kama wewe ila niligongana nae viwanja hamu yote iliniisha!!!!
Kwanini hamu ilikuishaa?????
Kwanini hamu ilikuishaa?????
Hahaaaaaaa eti mwenye kilo mbili
Tukapate tangazo la wadhamini....
Mvua ilimkuta kaka wapi jamani?
Miaka yote nilijua ni mkenya mpaka sasa naamini ni mtanzania mwenye asili ya Kenya
Mifupa tu watu kama hawa hawana utamu wala nini siwapendi
Ebanaeee its wise mtu umuone physically kabla hujaanza kufall in love na kutengeneza picha za wewe na yeye kuimba pamoja kwenye maua. Mimi nilibahatika kukutana nae whitesands kabla hajawa maarufu kwenye muziki akifanya kipindi cha dume msimu wa kwanza ebanaeee mwanzo nilijua labda mtoto wa primary kakosea njia nae yuko location. Sijamaliza kushangaa raia ndio wananiambia huyo ndio flani wa mtv nini sijui bila kuona tatoo mguuni ningeendelea kubisha kuwa ni mtoto wa msimbazi primary.
Huyu dada mwenye kilo mbili nae wa kuongelewa ??
MO11 una akili kabsa yan