Vanessa Mdee

Bora angekuwa mstaarabu tu maana anavyoleta pozi wakati watu wanamdharau?Yani kajitia aibu halafu bado anajishebedua mbele za watu?mfyuuuuuu

Shogaa ulimuona laveda ule mzuka makelelee,au alikua kanywaa eee,,ana jicho zuriii Ray c cha mtotoii
 
Ckaelewagi kale kabinti kwa mbali kazuri nakama kadogo kakikusogelea USO umekomaaa mwli wa kitoto
 
Comments za wadau zimeniacha hoi...kwa hiyo wanawake wa kawaida hawastahili kupendwa? manake majibu ni ooh..umempendea nini...mbona wa kawaida sana...yadah...yadah....huko mtaani kwenyewe mbona wengi ni wa kawaida?
 
Miaka yote nilijua ni mkenya mpaka sasa naamini ni mtanzania mwenye asili ya Kenya

Mifupa tu watu kama hawa hawana utamu wala nini siwapendi

Hhhhhaaaa ni sawa na yule Salma msangi yaan kajiokondesha miguh inakaribia kua njiti
 

haha haha mkuu yule bunti kamwili kake shida tupu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…