VanguardAfrica: How "Mama Samia" Morphed into Tanzania’s Wicked Stepmother

VanguardAfrica: How "Mama Samia" Morphed into Tanzania’s Wicked Stepmother

Mbowe alikuwa anatingisha kibiriti. Chadema hawakuonyesha uungwana katika hatua mama alizokuwa anafanya za kuondoa magerezani wanachama wa chadema. Badala ya kushukuru wakaja na kejeli.

Siasa ni uungwana. Usipokuwa muungwana lazima unyooshwe.
Umesahau mstari wa mwisho: "Na mambo yanaishia hapo..." Ukishanyooshwa!
Mtakuwa ni watu wenye bahati sana nyinyi mnaonyoosha wengine "kuwanyoosha hao" safari hii.
 
Anauchapa tu nasikia kelele za chura hazimzuii mtu kusinzia wala ng'ombe kunywa maji

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
Yule mwehu wa Mbozi kawaponza wenzake, alitolewa kama hisani badala yake akageuka kwa kuleta kejeli na matusi sasa ndio watamjua mama, kwa sasa kaufyata tuone tena kama atarudia kejeli zake,mwenyekiti wake ndio huyo anayea debe.
 
Rubbish, haki haiombwi. Ndilo tatizo la Lumpen kama ny.nyi. Nayeye atakufa kama magufuli, it is a matter of time. Unadhani Mungu amesahau?
Mbowe alikuwa anatingisha kibiriti. Chadema hawakuonyesha uungwana katika hatua mama alizokuwa anafanya za kuondoa magerezani wanachama wa chadema. Badala ya kushukuru wakaja na kejeli.

Siasa ni uungwana. Usipokuwa muungwana lazima unyooshwe.
 
Huyu mama sijui kama sasa hivi anapata usingizi usiku!

Manake kila kona sasa hivi anapondwa tu.

Wale walokua wakimpa sifa wamepotelea wp? Na wakimkebehi mtanguluzi wake[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]..
Bora Magu kapumzishwa sasa maana kila dk nyuzi zilikua za Magu kumponda na kufurahia kifo chake kiko wp sasa [emoji23][emoji23] Mungu kweli si asumani [emoji30][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Rubbish, haki haiombwi. Ndilo tatizo la Lumpen kama ny.nyi. Nayeye atakufa kama magufuli, it is a matter of time. Unadhani Mungu amesahau?

Wewe hutakufa[emoji23][emoji23][emoji23] atakufa kwa ahadi yake sio yako
 
Huyu mama wa kambo tunatakiwa tumuue kama tulivyomuua yule baba wa kambo kutoka Chato.
 
Habari wanajamvi,
(I have read this publication from the Vanguard Africa Foundation website and I am eager to share with you. Thanks!)

View attachment 1870847
the wicked stepmother.

Source:
Kumuita Mama Samia, "the wicked stephmother" sio kumtendea haki!, haswa kwa kuzingatia ameupata urais as step president, kwasababu, mwenye urais wake kaitwa ghafla mbele ya haki.

Kwa vile Mama Samia ameolewa mke wa pili/tatu ukubwani na mtu mzima mwenzake, hivyo kama mumewe ana watoto kwa mke mkubwa, then Mama Samia is indeed a step mother kwa hao watoto, hivyo kumuita a wicked step mother mtu ambaye sio wicked, sio kumtendea haki!.

P.
 
Huyu mama sijui kama sasa hivi anapata usingizi usiku!

Manake kila kona sasa hivi anapondwa tu.
Alishatahadharishwa na aliyekuwa rais mwanamama sina uhakika km huyu jiran yetu au yule wa liberia kuwa kazi ya urais itamfanya awe mpweke utajitahid kufanya unayoyaona ni sahih lkn kuna watu watakunanga na ni kweli alishaanza kurekebisha kesi zote ambazo hazikuwa sawa na inawezekana alitumia nguvu kubwa kuwahimiza wahafidhina waandamiz ili mradi kubadili mfumo kiujumla wake na wengi walinufaika na maamuz hayo lkn akatokea DJ akaanza kumpiga mikwara mbuzi mwishowe wahafidhina wamepata hoja ya kushawish matakwa yao.
 
we tulia mahakama ifanye kazi yake, hajapigwa hata shoti moja mshaanza kufungua uzi
 
Back
Top Bottom